Kinachoendelea sasa hivi ni gharama zaidi ya unachokiona pichaniWazo zuri lakini kumbuka vizuri vina gharama, bajeti ipo?
Kinachoendelea sasa hivi ni gharama zaidi ya unachokiona pichani
Sure nimekuelewa hapa kaka.. na kwa kutokea njia ya Goba pale Mbezi kuna mwinuko natural wa kutosha kukuvusha kwenda njia ya Malamba.. na kwasasa sijui kama kuna mega structures mpya kwa miaka ijayoMkuu ingetumika ramani hiyo kuna watu wangekosa ulaji wa ten percent.
Naamini tanroads officials wan exposure za kutosha maana hata happ naitobi tu kuna structures za Kenha ambazo zimejengwa locations zinazofanana kitabia na mbezi,
Mbezi patajengwa flyover ila baada ya watu kula sana kwa white elephants projects ,imagine flyover imeenda kujengwa kibamba ccm kwenda mloganzila , designer ni mmoja alishindwa nn kuvusha juu barabara ya goba kwenda malamba ?
Gharama!!???Wazo zuri lakini kumbuka vizuri vina gharama, bajeti ipo?
sure nimekuelewa hapa kaka.. na kwa kutokea njia ya goba pale mbezi kuna mwinuko natural wa kutosha kukuvusha kwenda njia ya maramba..na kwasasa sjui kama kuna mega structures mpya kwa miaka ija
Flyover ya Ubungo imetatua tatizo la foleni forever.Gharama!!???
Bora utumie pesa na tatizo liishe kuliko kifanya ubahili , uteseke na baadaye tena ulazimike kutumia pesa ,this time round ukiwa huna tena options. kwa foleni ya pale ni lazima , pajengwe barabara za juu kutoka na kwenda malamba mawili ,
Sio foerver mkuu , just matter of time , tutakuja kujua tulikosea , kumbuka wanaopita salama na kwa uhakika pale ni directions nne tu , kati ya 12 zilizopo, kwa maana ya kuwa directions nane( 8) bado zinategemea taa, put it simple zile flyover kitaalamu hazijatatua hata nusu ya tatizo kwenye junctions, ndio sbabu Tazara panasumbua na hata ile ya uhasibu ikikamilika bado foleni itasumbua.33Flyover ya ubungo imetatua tatizo la foleni forever.
Hatuna haja ya kujifananisha na yeyote akiwemo (KENYA) na kuhusu kinachofanyika palee ngoja kikamilike utakuja hapa kupongeza.. mbuyu ukiwa mdogo mdogo hauwezi kuupa heshima kama mbuyu ukishapevuka ki umbo
πππKama ni Mhandisi usipite pale unaweza zimia kwa vituko tanroad wanatufanyia.