Mbinguni/peponi pamegunduliwa

Mbinguni/peponi pamegunduliwa

NAFIKIR TUNASAHAU KWAMBA BILA SAYANSI MIM NA WEW TUSINGEKUWA HAPA JAMII FORUM NA KUPEANA MAARIFA. WAACHENI WANASAYANSI WAEXPLORE MORE AND MORE ILI KUWEZA KUTATUA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA MAISHA YETU. NAFIKIR TUNGEKUWA NA TEKNOLOJIA KAMA TULIYOKUWA NAYO TANGU ENZI ZA ADAMU NA HAWA, TUSINGEKUWA TUNAONGOPEANA KWA SASA. IT'S ONLY SAYANSI AMBAYO INAPOGUNDUA KWAMBA JAMBO FULANI HALIKUWA SAHIHI INAACHANA NALO UNLIKE TO OUR RELIGION BELIEFS ZIMETU-BRAINWASH KWA KIASI KIKUBWA. THERE IS ONLY ONE GOD BUT WHY WE HAVE DIFFERENT CONCEPT ABOUT HIM? TUKIRUDI MIAKA TAKRIBAN 200 ILIYOPITA UTAONA TOFAUTI YA WATU WA ENZI HIZO NA SISI.... HAWA WALIKUWA WANAISHI WAKIWA NA MITAZAMO YA KUABUDU MITI NA MASANAMU, JE IWEJE WATU HAWA WAWE KATI YA WALE WALIOPOTEA... UKICHUNGUZA KWA UNDANI UTAONA NI INJUSTICE KWA WATU HAO KAMA GOD ATAWAHUKUMU KWA WASIVYOVIJUA.
 
kwa hiyo wanasayansi wamekubali kama kuna Mungu? Manake wao ndio huwa wa kwanza kulipinga hilo kwa kuamini zaidi sayansi yao ndio kila kitu. Pia mbinguni ni sehemu ya kiroho zaidi sio rahisi kuonekana kwa macho ya mwilini au kwa kutumia vifaa vilivyotengenezwa na mwanadamu, hao ni wazushi tu labda wameona sayari nyingine
Ilikuwa zamani, walishakubali mda mrefu uwepo wa Mungu. Pale mawazo ya mwanadamu yanapoishia ndipo Mungu anapoanzia ... Elimu ya Hesabu inathibitisha hilo tena kwa kuhakiki zaidi
 
Hii habari kwa ujumla wake sidhani kama ina ukweli wowote kama unavyodai.

Wanasayansi wamegundua mahali mbingu na pepo ilipo katika anga za mbali sana,Ma trilioni ya kilometer kwa speed ya mwanga kwa mabilioni ya miaka.

Wanasayansi wa nchi gani mkuuu?, nimejaribu kuangalia hiyo source uliyoitoa hapo chini sijaona hiko kitu kama hicho, kitu ambacho kimeweza kugunduliwa mpaka ni Gravitational waves kutoka black holes ambazo zilifafanuliwa na albert einstein kwenye general relativity theory, Na huko mbeleni kwa tafiti zinazoendelea ni kwamba astronomers wanaweza kutumia hizi waves badala ya light kusoma galaxies za mbali.
Gravitational Wave Observatory Finds More Colliding Black Holes
The Future of Gravitational Wave Astronomy

Aidha chombo kilichotumwa ''Centurion'' miongo kadhaa iliyopita kimetuma taarifa kadhaa hapa duniani na kudhibitika kwamba mbinguni/peponi ni jambo dhahiri.

Hakuna chombo kinachoitwa hilo jina centurion,"A centurion (Latin: centurio; Greek: κεντυρίων, kentyríōn, or ἑκατόνταρχος, hekatóntarkhos) was a professional officer of the Roman army after the Marian reforms of 107 BC.
Most centurions commanded groups of centuries of around 100 men [5] but senior centurions commanded cohorts or took senior staff roles in their legion".
Centurion - Wikipedia, the free encyclopedia
Mkuu kama hiko chombo kipo tunaomba utuwekee source cha kuaminika kinachoelezea hiko chombo na kimengenezwa wapi na wanasayansi wa nchi gani na nchi gani inachomiliki hiko chombo? na kilitumwa wapi?


Wanasayansi wameongeza kwamba hakuna kiumbe kitakachoweza kuingia maeneo hayo kwani damu itakauka umbali wa kilometer milioni kadhaaa kabla ya kupakaribia.

Kilomita milioni kadhaa ndo nini? Hao wanasayansi wa nchi gani tuanaomba ufafanulie wanashindwa kufanya makadirio ya umbali na kusema kilomita kadhaa?
Mr unafahamu nini kuhusu Alpha Centaur, huu ni mfumo ambao kwa sisi hapa tunaona kama nyota ndio ambayo ipo karibu na sisi ambapo hii sehemu pia pana sayari ambapo umbali wake ni 4 light years kutoka hapa duniani,
1 light year=5.87849981 x 10^12 miles
4 light year=?????
kama kuna chombo kinapelekwa kwenye alpha centaur kimakadilio kinaweza chukua miaka 165,000 kufika huko, sasa ww unasema kimepelekwa centaur na kugundua huu ni uongo.
Mpaka sasa hakuna teknology yakufikia alpha centaur tu hapo wanachokitumia kusoma hizo galaxies na system zingine ni telescopes, na hakuna chombo kimepelekwa huko sehemu ulizoandika kama unavyodai.
How long would it take to get to Alpha Centauri? | EarthSky.org

.Discovery science

Naomba utupe link ya habari yako kwa uhakika zaidi tupate kusoma.

New-Star-Discovered.jpg

Pia wanasayansi wamegundua kwamba Mwenyezi Mungu ni nguvu kubwakupindukia inayofanya mambo yote kwa mpangilio.

Swala la Mwenyezi Mungu linabaki kuwa la kiimani zaidi kwa jinsi ambavyo wanasayansi wanavyofanya tafiti ni ngumu sana kuthibitisha uwepo wa Mungu kwa kutumia sayansi.

Kiranga
Mish Albert
einstein newton
UHURU JR
Free ideas
 
Hii habari kwa ujumla wake sidhani kama ina ukweli wowote kama unavyodai.



Wanasayansi wa nchi gani mkuuu?, nimejaribu kuangalia hiyo source uliyoitoa hapo chini sijaona hiko kitu kama hicho, kitu ambacho kimeweza kugunduliwa mpaka ni Gravitational waves kutoka black holes ambazo zilifafanuliwa na albert einstein kwenye general relativity theory, Na huko mbeleni kwa tafiti zinazoendelea ni kwamba astronomers wanaweza kutumia hizi waves badala ya light kusoma galaxies za mbali.
Gravitational Wave Observatory Finds More Colliding Black Holes
The Future of Gravitational Wave Astronomy



Hakuna chombo kinachoitwa hilo jina centurion,"A centurion (Latin: centurio; Greek: κεντυρίων, kentyríōn, or ἑκατόνταρχος, hekatóntarkhos) was a professional officer of the Roman army after the Marian reforms of 107 BC.
Most centurions commanded groups of centuries of around 100 men [5] but senior centurions commanded cohorts or took senior staff roles in their legion".
Centurion - Wikipedia, the free encyclopedia
Mkuu kama hiko chombo kipo tunaomba utuwekee source cha kuaminika kinachoelezea hiko chombo na kimengenezwa wapi na wanasayansi wa nchi gani na nchi gani inachomiliki hiko chombo? na kilitumwa wapi?




Kilomita milioni kadhaa ndo nini? Hao wanasayansi wa nchi gani tuanaomba ufafanulie wanashindwa kufanya makadirio ya umbali na kusema kilomita kadhaa?
Mr unafahamu nini kuhusu Alpha Centaur, huu ni mfumo ambao kwa sisi hapa tunaona kama nyota ndio ambayo ipo karibu na sisi ambapo hii sehemu pia pana sayari ambapo umbali wake ni 4 light years kutoka hapa duniani,
1 light year=5.87849981 x 10^12 miles
4 light year=?????
kama kuna chombo kinapelekwa kwenye alpha centaur kimakadilio kinaweza chukua miaka 165,000 kufika huko, sasa ww unasema kimepelekwa centaur na kugundua huu ni uongo.
Mpaka sasa hakuna teknology yakufikia alpha centaur tu hapo wanachokitumia kusoma hizo galaxies na system zingine ni telescopes, na hakuna chombo kimepelekwa huko sehemu ulizoandika kama unavyodai.
How long would it take to get to Alpha Centauri? | EarthSky.org



Naomba utupe link ya habari yako kwa uhakika zaidi tupate kusoma.



Swala la Mwenyezi Mungu linabaki kuwa la kiimani zaidi kwa jinsi ambavyo wanasayansi wanavyofanya tafiti ni ngumu sana kuthibitisha uwepo wa Mungu kwa kutumia sayansi.

Kiranga
Mish Albert
einstein newton
UHURU JR
Free ideas
Nashukuru kwa umakini wako.
 
heeee!!! hujajichanganya kweli katika kupost hyo comment? angalia vizur..!
 
Hamna kitu kina choitwa mbingun... Blue sky unayo iona.. Ni mwisho wa upeo wa macho Yetu.... Nje ya sayar dunia.. Ni Giza tu. Called space...

Mi ni mtazamaji mzur tu wa discovery science.. Na his mota mada hakuwaelewa vizur....

Hata tukirud ki maandiko.. Huwez iona pepo pasi kufarikki kwanza....

Inconclusion.... Hii mada ni ya uongo
 
Hamna kitu kina choitwa mbingun... Blue sky unayo iona.. Ni mwisho wa upeo wa macho Yetu.... Nje ya sayar dunia.. Ni Giza tu. Called space...

Mi ni mtazamaji mzur tu wa discovery science.. Na his mota mada hakuwaelewa vizur....

Hata tukirud ki maandiko.. Huwez iona pepo pasi kufarikki kwanza....

Inconclusion.... Hii mada ni ya uongo
Huyu jamàa kakurupuka aisee
 
Back
Top Bottom