Mbinguni/peponi pamegunduliwa

Mbinguni/peponi pamegunduliwa

THERE IS NO GOD

mh aisee, sasa ukikutana nae baada ya kufa utamwambiaje,
Mkuu wala hauko peke yako kwa hili.
Wengi wetu hatuelewi kitu.
Iko haja ya kutazama kipi tunakifuata tusije kujuta siku moja.

ili usije kujuta siku moja inabidi usome QUR-AN ndio ina majibu ya maswali yote ambayo huna majibu yake. ipo ya tafsiri ya kiswahili inaeleweka vizuri isome ndugu yangu
 
Wanasayansi wamegundua mahali mbingu na pepo ilipo katika anga za mbali sana,Ma trilioni ya kilometer kwa speed ya mwanga kwa mabilioni ya miaka.
Aidha chombo kilichotumwa ''Centurion'' miongo kadhaa iliyopita kimetuma taarifa kadhaa hapa duniani na kudhibitika kwamba mbinguni/peponi ni jambo dhahiri.
Wanasayansi wameongeza kwamba hakuna kiumbe kitakachoweza kuingia maeneo hayo kwani damu itakauka umbali wa kilometer milioni kadhaaa kabla ya kupakaribia.
Chanzo.Discovery science
New-Star-Discovered.jpg

Pia wanasayansi wamegundua kwamba Mwenyezi Mungu ni nguvu kubwakupindukia inayofanya mambo yote kwa mpangilio.
Kila siku sisi tumekua tunaambiwa tu. Hatuwezi kufanya utafiti wenyewe ndio maana tumekua watumwa wa fikra zetu. Hakuna mdudu aitwaye mungu. Jiongezeni nyie acheni utumwa huo
 
Mmmh hawa wanasayansi wageni kabisa!mpaka wanakili kuwepo mungu?! Tena wanaamini uwezo wake kuwa ni mkubwa kuliko chochote?!! Ama kweli ukweli ni kama moshi hata ukiuficha utakuumbua.
 
Kwa wakristo lengo lao Sio Kwenda PEPONI bali kwenda mbinguni .

Wanaolenga Kwenda Peponi ni Waislamu tu.
Wengine wanalenga Kwenda mahala Kwingine kabisa.

Utafiti unaendelea. Pengine Mungu anaweza kuwaonyesha tena anatomy ya peponi ambako kumejaa ngono 24hr. Mbinguni ni worship 24/7. Tofauti inaanzia hapo. Sasa wapi ni wapi, utafiti uendelee.

Jehanum nafikiri ni moja tu na huwa haibishaniwi kwa sababu haina kanuni za mtu kuzifuata akiwa duniani. Anayebishaniwagwa ni Mungu kwa kuwa Ni Mkuu sana na anamiliki mbingu, duniani na ni Mtengenezi wa kila kitu. Mungu kama vile alivyoweka sheria ya mchana na usiku mahala pake, nyota za angani na bahari kuwepo kwa utaratibu, vile vile ameweka utaratibu wa maisha ya mwanadamu akiwa katika dunia aliyoiumba. Ninadhani hata wanyama nao kawawekea tratibu zao ila kwa kuwa hatujui lugha zao, pengine hatuwezi kuwa wasemaji wake.

Ubishi juu ya Mungu unaanzia katika kiburi cha mwanadamu ambaye hataki kuongozwa, kutawaliwa wala kuishi kwa kanuni anazotaka Mungu. Anataka aishi anavyojisikia na ndiyo sababu ya kuanza kubisha habari za Mungu ili ajustify kwamba hakuna mamlaka zaidi inayoongoza maisha yake na ambayo hana ubavu hata wa kuihoji. Hajiulizi kwa nini siku ya kufa ikifika haibishi kufa. Hata kama alikuwa jeuri kama gadafi ama sadamu husseni, wakifa wanakuwa wapole wasiokuwa na uwezo hata wa kusogeza kidole. Na kwa nini watu wanaogopa na kukimbia sana kifo.

Ubishi juu ya Mungu na Mbingu zake ni kiburi cha mwanadamu ambacho ndicho mauti yake. Kwa hiyo jehanum haibishiwi kwa sababu haijawahi kujibainisha kuwa iko juu ya mtu na ikampa masharti ya kuishi. Mwanadamu ana kiburi, hatakikuongozwa wala kutawalaiwa. Anataka aishi na kufanya anachotaka na ndiyo kiburi hicho kilipelekea kumdhihaki Mungu, kumhoji Yeye na Mbingu ili watu wahalilishe ushetani wao. Angalia watakaokuja hapa wakibisha, uone hoja zao. Kikubwa Mungu hachunguziki na haishi kwa kanuni za kibinadamu. Anafanya mambo kwa mpangilio sana kama walivyofahamu waleta habari na hana mipaka. Mtu asilete habari za kwamba Mungu hawezi kuwaonyesha watu habari za Mbingu as wao ndio wanakaimu nafasi ya Mungu.

Kikubwa tu ndugu zangu. MUNGU HAJIPINGI. UFUNUO, MAONO, MAFUNDISHO AU UJUMBE WOWOTE UNAOSEMEKANA UNATOKA KWA MUNGU, TUNAUPIMA KATIKA MANENO YA MUNGU KAMA UNALINGANA NA MAANDIKO KWA UPANA WAKE. LOLOTE LINALOPINGANA NA NENO LA MUNGU HILO SI LA MUNGU WATU WA MUNGU TULIKATAE!. NINASIKITIKA KUNA WATU WANAKARIRI MSTARI MMOJA BIL AHATA KUUFAHAMU UNDANI WAKE NA UNAHUSIANA VIPI NA MAANDIKO MENGINE, WANAKUJA HA UPEPO WAKIDHANI WAMEMMJUA SANA MUNGU. HAPANA NDUGU ZANGU. TUJIFUNZE KUMJUA MUNGU KATIKA NENO LAKE KWA UPANA MAANA NDILO MUNGU ANALIHESHIMU. MATUKIO, MAFUNUO, MAFUNDISHO,,VYOTE MUNGU AMEVISEMA. ANAYEJIFUNZA HUUONA UKWELI NA HUTAFUTA KUELEWA.

Ni vizuri tukianza kujifunza kwanza katika Mungu, tuoanishe tunayoyaona na kuyasikia kama yako upande wa Mungu ama kinyume chake, ndipo tuseme. Kama mtu hana ufahamu juu ya hayo, ni afadhali kunyamaza kimya kuliko kujitengenezea hukumu za maneno ya kumdhihaki Mungu.

Mungu atupe siku njema ya amani.
 
Kila siku sisi tumekua tunaambiwa tu. Hatuwezi kufanya utafiti wenyewe ndio maana tumekua watumwa wa fikra zetu. Hakuna mdudu aitwaye mungu. Jiongezeni nyie acheni utumwa huo

Hata wewe Mungu alikufahamu mapema kwamba utakuwepo na ndiyo sababu alishakuita kuwa ni "MPUMBAVU" hata kabla hujazaliwa. Naungana na Mungu kusema wewe ni PUMBAVU!.
 
Uwongo Uliotukuka Yani Kwa Madai Yao Kuwa Umbali Wa Matrillion Ya Kilometer Kwa Speed Ya Mwanga Ni Mwendo Wa Miaka Zaidi Ya One Billion Sasa Kitu Gan Kilichotengenezwa Na Bnadamu Knaweza Kulast Mda Wote Huo? Je Chombo Gan Chenye Speed Kuliko Mwanga Kwa Technologia Hii Ikiwa Umeme Wenyewe Unasubiri Sana Tu, Vitu Vngne Tuwe Watu Wa Kureason Mambo Sio Kuendkeza Porojo Tu
 
kweli wewe ni
Wanasayansi wamegundua mahali mbingu na pepo ilipo katika anga za mbali sana,Ma trilioni ya kilometer kwa speed ya mwanga kwa mabilioni ya miaka.
Aidha chombo kilichotumwa ''Centurion'' miongo kadhaa iliyopita kimetuma taarifa kadhaa hapa duniani na kudhibitika kwamba mbinguni/peponi ni jambo dhahiri.
Wanasayansi wameongeza kwamba hakuna kiumbe kitakachoweza kuingia maeneo hayo kwani damu itakauka umbali wa kilometer milioni kadhaaa kabla ya kupakaribia.
Chanzo.Discovery science
New-Star-Discovered.jpg

Pia wanasayansi wamegundua kwamba Mwenyezi Mungu ni nguvu kubwakupindukia inayofanya mambo yote kwa mpangilio.
kweli wewe ni mtu hewa
 
Kwa hiyo wamemkuta nani kwenye mlango mkubwa wa kuingia huko peponi? Kweli na hakika huu ni mwisho wa dunia maana hadi wanaompinga Mwenyezmungu wameanza kukiri yupo na wamesadiki.
 
Kwa muktadha huo kawa wanaowatuma wenzao peponi kwa vibwagizo vya alale mahala pema peponi ni kwamba wanajisemea tu bila kufanya utafiti?
 
mh aisee, sasa ukikutana nae baada ya kufa utamwambiaje,

Kwa nini asubili mpaka nife ndo nikutane nae?kwa hiyo ananivizia?huyo ni mungu kweli?.lakini bado hujadhibitisha kwamba mungu yupo!
.......Free ideas.....
 
Back
Top Bottom