Mbinguni/peponi pamegunduliwa

Mbinguni/peponi pamegunduliwa

Wanasayansi wamegundua mahali mbingu na pepo ilipo katika anga za mbali sana,Ma trilioni ya kilometer kwa speed ya mwanga kwa mabilioni ya miaka.
Aidha chombo kilichotumwa ''Centurion'' miongo kadhaa iliyopita kimetuma taarifa kadhaa hapa duniani na kudhibitika kwamba mbinguni/peponi ni jambo dhahiri.
Wanasayansi wameongeza kwamba hakuna kiumbe kitakachoweza kuingia maeneo hayo kwani damu itakauka umbali wa kilometer milioni kadhaaa kabla ya kupakaribia.
Chanzo.Discovery science
New-Star-Discovered.jpg

Pia wanasayansi wamegundua kwamba Mwenyezi Mungu ni nguvu kubwakupindukia inayofanya mambo yote kwa mpangilio.
Hapo wamenema
 
NAFIKIR TUNASAHAU KWAMBA BILA SAYANSI MIM NA WEW TUSINGEKUWA HAPA JAMII FORUM NA KUPEANA MAARIFA. WAACHENI WANASAYANSI WAEXPLORE MORE AND MORE ILI KUWEZA KUTATUA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA MAISHA YETU. NAFIKIR TUNGEKUWA NA TEKNOLOJIA KAMA TULIYOKUWA NAYO TANGU ENZI ZA ADAMU NA HAWA, TUSINGEKUWA TUNAONGOPEANA KWA SASA. IT'S ONLY SAYANSI AMBAYO INAPOGUNDUA KWAMBA JAMBO FULANI HALIKUWA SAHIHI INAACHANA NALO UNLIKE TO OUR RELIGION BELIEFS ZIMETU-BRAINWASH KWA KIASI KIKUBWA. THERE IS ONLY ONE GOD BUT WHY WE HAVE DIFFERENT CONCEPT ABOUT HIM? TUKIRUDI MIAKA TAKRIBAN 200 ILIYOPITA UTAONA TOFAUTI YA WATU WA ENZI HIZO NA SISI.... HAWA WALIKUWA WANAISHI WAKIWA NA MITAZAMO YA KUABUDU MITI NA MASANAMU, JE IWEJE WATU HAWA WAWE KATI YA WALE WALIOPOTEA... UKICHUNGUZA KWA UNDANI UTAONA NI INJUSTICE KWA WATU HAO KAMA GOD ATAWAHUKUMU KWA WASIVYOVIJUA.
Good.hata vile viumbe wa ajabu aliens.walianza hivihivi.wanasayansi msichoke.
 
Mafundisho ya RC Yanasema mbingu/pepo au jehanam ni HALI TU na si mahali
 
Mbinguni is a state of being not a place to go
 
Tunadanganyana wadau ila kwa mambo yanayotekea mungu yupo
 
kwa hiyo wanasayansi wamekubali kama kuna Mungu? Manake wao ndio huwa wa kwanza kulipinga hilo kwa kuamini zaidi sayansi yao ndio kila kitu. Pia mbinguni ni sehemu ya kiroho zaidi sio rahisi kuonekana kwa macho ya mwilini au kwa kutumia vifaa vilivyotengenezwa na mwanadamu, hao ni wazushi tu labda wameona sayari nyingine
Je haya matatizo ya duniani yametoka wapi kama ukimwi na magonjwa mengine
Kuna utafiti unaoendelea kuhusu roho....wako kwenye kipengele cha nguvu za uvutana(kama sumaku)...pamoja na ndoto kuona yajayo
 
Kuna watu wana imani ya kukariri mammbo au wanafikiri Mungu naye anafanya mambo kila wakati na wakati wowote kwa namna ile ile kama binadamu.Ikiwa hivyo basi Mungu sio muweza wa yote(Omnipotent). Someni jinsi Mungu alivyowafundisha binadamu hatua kwa hatua na njia tofauti tofauti.Maandiko yanaonyesha jinsi alivyotumia Moto,ngurumo,radi na mambo mengine ya kutisha.Baadaye akatumia Manabii.Baadaye Mwanae Yesu Kristu.Na sasa ni Roho Mtakatifu kupitia wanadamu.Roho Mtakatifu anatumia mapaji saba ikiwemo Elimu.Sayansi ni Elimu.Kwa hiyo Mungu Mwenye Uwezo (Omnipotent) hashindwi kutaka aonekane kwa binadamu kwa kutumia vyombo vya kusayansi kama hivyo walivyotumia haowanasayansi.Je umesahau kuwa Yesu Kristu alipokuja alionekana kwa macho ya kibinadamu?


Pepo haitoonekana tukiwa katika ulimwengu wetu huu, ni sehemu ambayo jicho la binadamu na la kiumbe chochote kilichopo hapa Duniani Halitoweza kuona. A matter of Fact, only death is standing between you and Pepo au Moto. So kama we are eager to see them, wait for that unknown second when Malaika mtwaaji wa Roho atakapokuunganisha katika Maisha yajayo.
 
Kuna utafiti unaoendelea kuhusu roho....wako kwenye kipengele cha nguvu za uvutana(kama sumaku)...pamoja na ndoto kuona yajayo

Watu inabidi waelewe kuwa Mungu ni nguvu ambayo haielezeki(Undefined).Mungu ni Infinitive kwa uwezo!Hakuna yeyote mpaka leo anayejua kwa uhakika dunia na sayari zingine zimekuwepo toka lini na hivi njia gani na ngapi Mungu amezitumia katika kujifunua kwa mwanadamu na viumbe wengine katika sayari hizo.Kwa hiyo watu tusifikirie kuwa labda kule Mungu na utukufu wake kuweza kuonekana kwa binadamu kwa njia zao labda ni ishara ya Mungu kuishiwa Uwezo hapana.Mungu anaporuhusu au anapompa Mwanadamu uwezo wa kufanya jambo fulani ni kutaka kuonyesha kuwa yeye ni muweza wa mambo mengi.Kwamba ni kuonyesha Mungu ni tajiri wa uweza na utukufu.Kwa lugha nyingine na rahisi ni kuonyesha kuwa Mungu akikufunulia jambo fulani basi ujue bado yapo makubwa na mengi usiyoyajua bado.
 
Watu inabidi waelewe kuwa Mungu ni nguvu ambayo haielezeki(Undefined).Mungu ni Infinitive kwa uwezo!Hakuna yeyote mpaka leo anayejua kwa uhakika dunia na sayari zingine zimekuwepo toka lini na hivi njia gani na ngapi Mungu amezitumia katika kujifunua kwa mwanadamu na viumbe wengine katika sayari hizo.Kwa hiyo watu tusifikirie kuwa labda kule Mungu na utukufu wake kuweza kuonekana kwa binadamu kwa njia zao labda ni ishara ya Mungu kuishiwa Uwezo hapana.Mungu anaporuhusu au anapompa Mwanadamu uwezo wa kufanya jambo fulani ni kutaka kuonyesha kuwa yeye ni muweza wa mambo mengi.Kwamba ni kuonyesha Mungu ni tajiri wa uweza na utukufu.Kwa lugha nyingine na rahisi ni kuonyesha kuwa Mungu akikufunulia jambo fulani basi ujue bado yapo makubwa na mengi usiyoyajua bado.
Kuna watu wana imani ya kukariri mammbo au wanafikiri Mungu naye anafanya mambo kila wakati na wakati wowote kwa namna ile ile kama binadamu.Ikiwa hivyo basi Mungu sio muweza wa yote(Omnipotent). Someni jinsi Mungu alivyowafundisha binadamu hatua kwa hatua na njia tofauti tofauti.Maandiko yanaonyesha jinsi alivyotumia Moto,ngurumo,radi na mambo mengine ya kutisha.Baadaye akatumia Manabii.Baadaye Mwanae Yesu Kristu.Na sasa ni Roho Mtakatifu kupitia wanadamu.Roho Mtakatifu anatumia mapaji saba ikiwemo Elimu.Sayansi ni Elimu.Kwa hiyo Mungu Mwenye Uwezo (Omnipotent) hashindwi kutaka aonekane kwa binadamu kwa kutumia vyombo vya kusayansi kama hivyo walivyotumia haowanasayansi.Je umesahau kuwa Yesu Kristu alipokuja alionekana kwa macho ya kibinadamu?
I can't get the gist of your comment logically apart from your magic and superstitious beliefs, simply because, there are a lot of questions begging from your comments.
 
Which journal was is it published if it is a research and tell us who did such a research specifically so that we can know the authenticity of such research.
Above all, if take it as true, still there are a lot of anomalies which people can't answer from the belief about the Supreme being.
Wanasayansi wamegundua mahali mbingu na pepo ilipo katika anga za mbali sana,Ma trilioni ya kilometer kwa speed ya mwanga kwa mabilioni ya miaka.
Aidha chombo kilichotumwa ''Centurion'' miongo kadhaa iliyopita kimetuma taarifa kadhaa hapa duniani na kudhibitika kwamba mbinguni/peponi ni jambo dhahiri.
Wanasayansi wameongeza kwamba hakuna kiumbe kitakachoweza kuingia maeneo hayo kwani damu itakauka umbali wa kilometer milioni kadhaaa kabla ya kupakaribia.
Chanzo.Discovery science
New-Star-Discovered.jpg

Pia wanasayansi wamegundua kwamba Mwenyezi Mungu ni nguvu kubwakupindukia inayofanya mambo yote kwa mpangilio.
 
Hehehe huu upuuzi washamba wanaupokea haraka sana kwa kua umeongea kile wanachotaka kusikia.
Hakuna kitu kama hicho, Centurion unaongelea movie? duh! Hatuna chombo kinachoweza kwenda kwa speed ya mwanga hadi leo hii, hata 10% ya speed ya mwanga tu bado hatujakaribia, kisayansi speed ya mwanga hatuwezi kuifikia, zipo sababu maalum hapa si mahala pake wala hutonielewa.
Leo hii kwenda Mars peke yake, sayari ambayo ipo jirani yetu tunatumia miezi sita hadi nane. Huko mbinguni unaposema wewe hicho chombo walikirusha lini? miaka milioni iliyopita au? tulikua hata na chuma enzi hizo?

Watu wenye imani zinazosuasua hua mnanishangaza sana, mnatafuta kila njia ili ujiridhishe moyo wako kua Mungu yupo, hehe! kama unaamini unaamini tu, kama huamini huamini, usikae unameza vitu kama hivi. Narudia tena kwa mara ya mia moja, zaidi ya 50% ya vitu unavyosoma kwenye internet ni vya uongo kua makini sana.
 
Kuna watu wana imani ya kukariri mammbo au wanafikiri Mungu naye anafanya mambo kila wakati na wakati wowote kwa namna ile ile kama binadamu.Ikiwa hivyo basi Mungu sio muweza wa yote(Omnipotent). Someni jinsi Mungu alivyowafundisha binadamu hatua kwa hatua na njia tofauti tofauti.Maandiko yanaonyesha jinsi alivyotumia Moto,ngurumo,radi na mambo mengine ya kutisha.Baadaye akatumia Manabii.Baadaye Mwanae Yesu Kristu.Na sasa ni Roho Mtakatifu kupitia wanadamu.Roho Mtakatifu anatumia mapaji saba ikiwemo Elimu.Sayansi ni Elimu.Kwa hiyo Mungu Mwenye Uwezo (Omnipotent) hashindwi kutaka aonekane kwa binadamu kwa kutumia vyombo vya kusayansi kama hivyo walivyotumia haowanasayansi.Je umesahau kuwa Yesu Kristu alipokuja alionekana kwa macho ya kibinadamu?
Ndivyo mlivyodanganywa au unatumia akili ya kuzaliwa???
 
Wanasayansi wamegundua mahali mbingu na pepo ilipo katika anga za mbali sana,Ma trilioni ya kilometer kwa speed ya mwanga kwa mabilioni ya miaka.
Aidha chombo kilichotumwa ''Centurion'' miongo kadhaa iliyopita kimetuma taarifa kadhaa hapa duniani na kudhibitika kwamba mbinguni/peponi ni jambo dhahiri.
Wanasayansi wameongeza kwamba hakuna kiumbe kitakachoweza kuingia maeneo hayo kwani damu itakauka umbali wa kilometer milioni kadhaaa kabla ya kupakaribia.
Chanzo.Discovery science
New-Star-Discovered.jpg

Pia wanasayansi wamegundua kwamba Mwenyezi Mungu ni nguvu kubwakupindukia inayofanya mambo yote kwa mpangilio.

Hao wanasayansi wasitafute KIKI Mwenyezi Mungu alishafanya yake wao waendelee kusoma tu!
 
Haya sasa. Ni bora ukaamini ya kuwa Mungu yupo ili ukimkuta iwe heri kwako usipomkuta pia iwe heri iliyokusaidia kuishi maisha ya amani na marefu.

Ukiamini Mungu "Yupo" au "Hayupo" hakuna guarantee yeyote kua utaenda peponi!
 
Back
Top Bottom