Usije ukamtoa chozi kk maana alikuwa na matumainiNapita kama hivi[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Abeeeh hivi umeniitaYote hayo ya nini!
Waliopo mtaani ndio wapo humu ndivyo inavyoaminika au nimekosea[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unapotoshwa. Komaa na yule tu wa mtaani kwako
@carbamazepine naona kanipiga cha mbavu[emoji23] [emoji23] [emoji23] Naamini utampata. Carba pita huku!!
Umeanza kuleta gundu sasa[emoji23]Harakati za pimbi hazijawahi fanikiwa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji22] [emoji22] [emoji22]Hayo macho ya njano kama una umwa manjano?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Id yenyewe sasa daah![emoji134][emoji134]
[emoji23] [emoji23] hujajosea kabisa! Tena weka kambi humu humu jfWaliopo mtaani ndio wapo humu ndivyo inavyoaminika au nimekosea[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole mkuu. Ila usivunjike moyo. Jipange upya uje na plan b[emoji2] [emoji2]@carbamazepine naona kanipiga cha mbavu
Kwa mfano, kwa thread yako hii unategemea kuvuna wangapi?1.profile yako iwe smart! kuanzia username,post zako na unazochangia hata akija kuchunguza hakuti mistake zaidi ya kuvutiwa tu
2.changamana nao kwenye majukwaa mbalimbali,taniana nao,zoeana nao,kuwa marafiki nao Ila usitangulize tamaa ukishafika fika halo utakua unaweza kuchat nao hadi DM mtazungumza vitu vingi wasome nachukua point .
3.kuwa tofauti,usiige kuwa kama flani,jenga brand yako,uwe na dizaini yako ya kipekee,usiwe harsh katika mazungumzo yako
4.kuwa mtu mwenye mtazamo flank na itikadi kama mwanaume kamili usiebabaika ambae unaweza kumwendesha mwanamke ,jiamini na usijisifusifu hovyo hata kidogo kuhusu wewe wala maisha yako halisi.wafanye watamani kujua zaidi kuhusu wewe
5.jipangilie,usiwe muwazi kilakitu Ila pangilia mambo yako yote yaonekane kama nikweli tupu.usitangulize mambo ya pesa mbele.
6.chagua target yako maalumu ya wanawake unaowataka wafatilie kwa umakini,wasome profile zao na mienendo yao.kishabooom!! jiandae kujilia mizigo lukuki!!
kwaniaba ya wanaaaaaa that's what we call men code.see ya there
Miss uSawa Sawa
Huyo mwache alie tu hakuna namnaUsije ukamtoa chozi kk maana alikuwa na matumaini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbinu hazifanyi kazi hizo@carbamazepine naona kanipiga cha mbavu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bana. Uzuri mwenyewe keshakikubali "cha mbavu"Huyo mwache alie tu hakuna namna
HahahhaahahSiku nikijua unafake lazima nikuabisheee .
Alafu mm ndo maaana nimeamua kuolewa na mtu ambaye amejiweka open siyo hawa wa kujificha nyuma ya keybord
Unaweza kutana na mwanaume sijui yupoje hafanani na comment wala thread zakee aisee unaishiwa pozi.
Miss You Too,ntakutafta MyMiss u
Tobaaa! Ila Ninaowafahamu Mimi Wote Wazuri,wacheshi Na WastaarabuMkuu ishu sio kupata demu JF, ishu ni baada ya kumpata huyo demu atakuwa kama unavyo dhani?
Maana demu anaweza kukukubali humu akaku PM mkaanza kuchati at the end mnapanga meeting somewhere unakuta demu kakomaa kama Drogba,
Mademu wengi wa humu profile zao awajaweka za ukweli kuogopa kukimbiwa,