Mbinu 6 za kumpata mwanamke JF

Mbinu 6 za kumpata mwanamke JF

Nakumbuka kitambo wakati ndio mitandao ya kijamii inaanza kuvuma nikajikuta nimetongoza kimwana Facebook, cha kushangaza kuja kukutana nae haendani kabisa na ile taswira iliyonivutia, ilibidi nilale mbele ukawa ndio mwanzo na mwisho kushobokea mademu kwa social media...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pole. Wanaume MNA matukio!!!![emoji119]
 
1.profile yako iwe smart! kuanzia username,post zako na unazochangia hata akija kuchunguza hakuti mistake zaidi ya kuvutiwa tu

2.changamana nao kwenye majukwaa mbalimbali,taniana nao,zoeana nao,kuwa marafiki nao Ila usitangulize tamaa ukishafika fika halo utakua unaweza kuchat nao hadi DM mtazungumza vitu vingi wasome nachukua point .

3.kuwa tofauti,usiige kuwa kama flani,jenga brand yako,uwe na dizaini yako ya kipekee,usiwe harsh katika mazungumzo yako

4.kuwa mtu mwenye mtazamo flank na itikadi kama mwanaume kamili usiebabaika ambae unaweza kumwendesha mwanamke ,jiamini na usijisifusifu hovyo hata kidogo kuhusu wewe wala maisha yako halisi.wafanye watamani kujua zaidi kuhusu wewe

5.jipangilie,usiwe muwazi kilakitu Ila pangilia mambo yako yote yaonekane kama nikweli tupu.usitangulize mambo ya pesa mbele.

6.chagua target yako maalumu ya wanawake unaowataka wafatilie kwa umakini,wasome profile zao na mienendo yao.kishabooom!! jiandae kujilia mizigo lukuki!!


kwaniaba ya wanaaaaaa that's what we call men code.see ya there
Namba 3 nimeipenda kumbe hadi brand inajengwa?
 
Hayaa mambo unashangaa unatongoza mwanaume mwenzako huku, fake kila kitu afu kwa watu wengine walio selective hawana mda na wanawake wa huku JF
 
Mimi kama balozi wa wanaojificha natoa taarifa kwako.

Tutaendelea kujificha kama kawaida [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mshana Jr alituzidi uchawi tu hamna kingine[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aiseee kuna mtu mmoja hapa Id yake ni balaaa nikajua ewaaaaaaah

Uwiiii siku namuona akiiii alikula kibut cha mbavuu sikuamin yani ni kibwengo plus upopomaaaa

Itakuwa hizi ndo mbinu zakeeee kabisaa loooh na mm nasema tu polee yalee hakuna namna mm nisingeweza msura kama indiketa za toroli.
 
Back
Top Bottom