Mbinu bora za kivita: Russia and Ukraine war case

Mbinu bora za kivita: Russia and Ukraine war case

Uchumi ni asilimia ndogo sana kwenyevita watu mbinu na silaha ndyo Jambo la msingi alafu Ukrein siyo nchi ndogo kama nchi za kiarabu

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Nimekupa hiyo kutokana na uzoefu!
Uchumi wako ukiwa Mzuri unaweza kuhimili vita Yeyote ile!
Hujasikia msemo kuwa Tumbo linaponza makalio...
 
Hii mbinu ina ubora wake, tuliwahi kuitumia kwenye vita ya kagera wakati huo tunatumia bm 21, tulifanikiwa kuvichakaza vikosi vya amini kwa sababu adui alinyeshewa mizinga kama mvua. Kama nimfuatiliaji mzuri Russia alianza kuinyeshea makombora ukraine kama mvua lakini progress yao ya vikosi vyao imeonekana kuwa poor
Kipindi cha vita ya kagera Tanzania haikuwa na jeshi kubwa la kufanya battalion moja kuwa kubwa saana alafu mara nyingi battalion ya Tz ilikuwa inajigawa kimakundi wakati wa kushambulia vijiji au wilaya then baadae wanaungana tena wanasonga mbele
 
Ni mtu mpumbavu pekee ambaye anaweza kusema URUSI anachapika wakati uwo uwo yupo kwenye ardhi ya UKRAINE.hii vita tuombe tu watu wakae meza moja wakubaliane ila tofauti na hapo hii vita itachukua muda mrefu sana na kibaya zaidi majeshi yote yameanza mtindo wa kupanda mabomu ardhini. Hii ni hatari sana maana baadae viwete watakuwa wengi sana kama ilivyotokea miaka ya vyuma nchini LIBERIA

Swala la URUSI kuondoka kuwatelekeza WAASI ni ngumu sana hata viongozi wa UKRAINE wanajua ilo.kitu pekee kilichobaki UKRAINE kujitafakari upya kuwa ni bora kuwa na UKRAINE yenye vita kila sehemu au ni bora kuwa na UKRAINE isiyokuwa na DONESK na LUHANSK ila ina amani.

Kuhusu silaha,Muungano wa USOVIETI ndo mungano wa kwanza DUNIANI kutengeneza silaha nyingi kuliko muungano au taifa lolote lile duniani.na asilimia 80 ya silaha zote zilikuwa URUSI.kwa iyo URUSI kuishiwa Silaha si jambo la leo au kesho naimani wanaweza wakaisha wanajeshi ila sio Silaha.
 
Back
Top Bottom