Mbinu gani nitumie kumnasa binti anayenisumbua?

Ukute umemtongoza, kakubali tu, hujafanya lolote na tayari unamuita 'ghetto'.

Umemuhonga hata kakifurushi ka data au misimbazi kadhaa ili asuke, umpigie simu umpe maneno mazuri ya uongo na ukweli, umpeleke date mahali, mnywe, umweke begani ukampanue mapaja?
 
Mshirikishe CP Awadhi akupe mbinu🤣
 
Hizo ndo mbinu Sasa nazitaka,
 
Mbinu ni hii muulize kama anajua kupika pilau la nyama,,,
Akisema ndio ...
Mwambie unatamani umpikie then atakuja tu...

Hao unacheza na mind set zao ukijifanya kutumia akili sana utafurahi
 
Akiwa comfortable atakuja kwa muda wake, jitahidi umpe comfortability atakuja.
 
Mwaga NOTI Wewe acha maneno mengi mwaga NOTI hayo mapaja atakuletea mwenyewe umfunue, muhudumu ongeza nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…