Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Na dawa yenu tar 25 ipo jikoni.
Mwaka huu kazi mnayo ndugu zangu.
Mwaka huu kazi mnayo ndugu zangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaulizwa swali dogo unakimbilia google kwani wewe kichwa chako ni empty mpaka unisulutishe niende google ilihali tunajibishana kwa hoja? Ukiona mtu anakimbilia kumpa mtu kazi ya kutafuta majibu ujue huyo mtu hana majibu.Kama umeweza kuwa na access ya Mtandao na kuwa hapa umeshindwa nino tu kwenda (kuingia) Google ili umjue huyo Mwamuzi?..
atumtakiPumbavu kama umeweza kuwa na access ya Mtandao na kuwa hapa umeshindwa nino tu kwenda ( kuingia ) Google ili umjue huyo Mwamuzi?
Ukishamjua huyo Mwamuzi nenda tena nchini Uingereza katika Ligi Kuu yao pendwa ya EPL kisha mfuatilie Mwamuzi aitwae Antony Taylor ukimaliza rudi hapa uniambie ana tofauti gani na huyu Wetu Ahmed Aragije hasa kwa Kupangiwa Ratiba mfululizo za Mechi za Chelsea FC?
Yanga SC hamjawahi kuwa na 'IQ' sawa?
Mikia ni lialia tu, punguza jazba kijana wa MO.TFF na Bodi ya Ligi wanapaswa kuwachukulia hatua hawa UTOPOLO. Naona tangu TFF walipoamua kumuachia Braza Kitambi UTOPOLO wanajiona wana nguvu ya kutoa maelekezo kwa TFF.
Kama yote, hapo matusi ndiyo nyumbani kwakeBroh una gubu kama jinsi ya pili. Yaani maandishi mengi point hamna. Hukufundishwa kuandika Essay?
Nasubiri matusi yako.
Anajiropokea tu il mradi kaleta uziNaomba nikumbushe refa aliyechesha mechi ya Simba dhidi ya kaizer chief je alichezesha mechi ya nyuma mfululizo zinazohusu Simba ama kaizer chiefs? ili tuone kama huu mlinganisho unafafana?
" Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " GENTAMYCINE.Anajiropokea tu il mradi kaleta uzi
Unadhani yule aliyekuwa Kocha wao Mbelgiji Luc Eymael aliposema kuwa wana Yanga SC ni kama Nyani, Mbwa na Sokwe halafu hawana Akili alikosea Mkuu?Yanga wanatia aibu kwa kweli. Hivi kuna klabu kubwa zinafanyaga haya madudu wanayofanya Yanga?
PointUnaulizwa swali dogo unakimbilia google kwani wewe kichwa chako ni empty mpaka unisulutishe niende google ilihali tunajibishana kwa hoja? Ukiona mtu anakimbilia kumpa mtu kazi ya kutafuta majibu ujue huyo mtu hana majibu.
Zipo mkuu hata madrid walifanyaga haya kwa hernandez dhid ya barcaYanga wanatia aibu kwa kweli. Hivi kuna klabu kubwa zinafanyaga haya madudu wanayofanya Yanga?
Kama hamtaki kujadiliwa muwe mnamaliza mambo yenu kitandani. Mkishayaleta huku nje lazima tuyajadili. Bahati mbaya mengi yanakuwa mambo ya hovyoKuna watu wawili hapa JF huwa mnakera sana kila siku kuisimanga yanga wakati wewe na OKW BOBAN SUNZU ni Simba damu. Hivi huwa hamjioni kuwa mnaboa? Lini adui yako atakusema kwa mazuri? Simple minds discuss…..
Kwahyo ulipokula ban huku ukaja Na ile I'd yako ya Krav MagaNinakuja na 'Uzi' wangu mpana juu yao.