Mbinu hii ya Yanga SC si tu ni ya Kishamba bali pia ni ya Kipuuzi vile vile

Mbinu hii ya Yanga SC si tu ni ya Kishamba bali pia ni ya Kipuuzi vile vile

Kama umeweza kuwa na access ya Mtandao na kuwa hapa umeshindwa nino tu kwenda (kuingia) Google ili umjue huyo Mwamuzi?..
Unaulizwa swali dogo unakimbilia google kwani wewe kichwa chako ni empty mpaka unisulutishe niende google ilihali tunajibishana kwa hoja? Ukiona mtu anakimbilia kumpa mtu kazi ya kutafuta majibu ujue huyo mtu hana majibu.
 
Pumbavu kama umeweza kuwa na access ya Mtandao na kuwa hapa umeshindwa nino tu kwenda ( kuingia ) Google ili umjue huyo Mwamuzi?

Ukishamjua huyo Mwamuzi nenda tena nchini Uingereza katika Ligi Kuu yao pendwa ya EPL kisha mfuatilie Mwamuzi aitwae Antony Taylor ukimaliza rudi hapa uniambie ana tofauti gani na huyu Wetu Ahmed Aragije hasa kwa Kupangiwa Ratiba mfululizo za Mechi za Chelsea FC?

Yanga SC hamjawahi kuwa na 'IQ' sawa?
atumtaki
 
Ahmed Aragije(Referee)
1.Simba vs Dodoma Jiji(Quater Final)
2.Simba vs Azam FC(Semi-final)
3.Simba vs Yanga(Final)

Hii kiufundi haijakaa sawa, kuna namna hapa
 
Maelezo meeeengi na tareh 25 unadungwa tena. Wananchi hatunaga midomo mirefu, barua imeelezea kidogo tu we umeandika kitabu.
Mwamuzi huyohuyo na tunawadunga tena hata tar 3 mlikua mnajiamini ivo ivo, kilichowapata mpaka kimeleta nyufa uko kwenu 😁😁.
#sisi_tuna_watu.
 
TFF na Bodi ya Ligi wanapaswa kuwachukulia hatua hawa UTOPOLO. Naona tangu TFF walipoamua kumuachia Braza Kitambi UTOPOLO wanajiona wana nguvu ya kutoa maelekezo kwa TFF.
Mikia ni lialia tu, punguza jazba kijana wa MO.
 
Broh una gubu kama jinsi ya pili. Yaani maandishi mengi point hamna. Hukufundishwa kuandika Essay?

Nasubiri matusi yako.
Kama yote, hapo matusi ndiyo nyumbani kwake
 
Naomba nikumbushe refa aliyechesha mechi ya Simba dhidi ya kaizer chief je alichezesha mechi ya nyuma mfululizo zinazohusu Simba ama kaizer chiefs? ili tuone kama huu mlinganisho unafafana?
Anajiropokea tu il mradi kaleta uzi
 
Yanga wanatia aibu kwa kweli. Hivi kuna klabu kubwa zinafanyaga haya madudu wanayofanya Yanga?
Unadhani yule aliyekuwa Kocha wao Mbelgiji Luc Eymael aliposema kuwa wana Yanga SC ni kama Nyani, Mbwa na Sokwe halafu hawana Akili alikosea Mkuu?
 
Unaulizwa swali dogo unakimbilia google kwani wewe kichwa chako ni empty mpaka unisulutishe niende google ilihali tunajibishana kwa hoja? Ukiona mtu anakimbilia kumpa mtu kazi ya kutafuta majibu ujue huyo mtu hana majibu.
Point
 
Kwa mujibu wa manara siku waliyopewa kombe pale kwa mkapa ni kwamba watafanya kila wawezalo wamfunge Yanga kigoma,last season baada ya kushindwa kumfunga Yanga kwenye vpl,walipoona watakutana na Yanga kwenye fa,waliwarubuni shishimbi,morison na molinga wakidai watawasajili,siku ile walicheza chini ya kiwango morison alipotolewa akatoka nje ya uwanja,leo hii yuko mkiani,shishimbi goli la 2 akamtengea chama kama sikosei ndani ya 18!wengine wakapewa vijihela,juma abdul,yondani,jafar mohamed hadi mtu mzima ngasa,huyu jafar alikua chaguo la kwanza lb na Yanga wakati inamsajili yasin mustafa ilikua iachane na adeyum lkn baada ya ile skendo ikaamua jafar aende,safari hii ni mabingwa tena ila hawana raha sababu kapigwa kwenye vpl ili wafurahi lazima wapitie njia zao za ajabu ndio wanataka kupitia kwa huyo refa

Screenshot_20210722-175008_Instagram.jpg
 
Kuna watu wawili hapa JF huwa mnakera sana kila siku kuisimanga yanga wakati wewe na OKW BOBAN SUNZU ni Simba damu. Hivi huwa hamjioni kuwa mnaboa? Lini adui yako atakusema kwa mazuri? Simple minds discuss…..
Kama hamtaki kujadiliwa muwe mnamaliza mambo yenu kitandani. Mkishayaleta huku nje lazima tuyajadili. Bahati mbaya mengi yanakuwa mambo ya hovyo
 
Simba hawezi mfunga yanga wewe uwezo huo hana
Chama+ Miquessone huwa hawafurukuti kwenye derby hii hivyo hapo simba lazima mkubali kipigo tu
 
yanga ni timu iliyofaidika sana na maamuzi ya marefa wabovu, mechi ya yanga na kagera, gwambina na yanga mechi ya yanga na polisi na mechi zote mbili za simba na yanga lakini cha ajabu pamoja na kunufaika na maamuzi mambovu hawajahi kulalamika kwanini marefa hao wanawapendelea. si ajabu washamweka sawa refa ila wanatafuta kinga lakini kipigo kipo palepale.
 
Hivi akibadilishwa nyie simba mnapoteza nini?

Why mnang'ang'ana achezeshe huyu? Why him every simba's match?

Kama Yanga hawana imani naye, si abadilishwe tu achezeshe mwingine? Au ni yeye tu ndo anaweza kuchezesha

Mambo mengine mnayafanyaga kuwa makubwa bure. Na hivi mnavotetea ndo mnajenga mazingira ya mashaka zaidi.
 
Back
Top Bottom