The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
Code ngumu, nimetoka mweupee😏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshanunua na bia kabisa 😀😀
Mbususu ni goat 😀Hizi ni mbinu bora kabisa, nampa Heko ndugu mbususu na ndugu mbuye! Ila mbuye katisha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake majasiri sana, utakuta mke anajua kabisa kuwa bwana wake ni komandoo lakini analeta mchepuko wake ndani ya nyumba.Hahahaha[emoji23] humpi hivi hivi utalia kilio kile cha kusaga meno..!
Sikuhizi magereza na mahabusu zote Zina vyoo vya sinki.hakuna taabu Kama zamani kunyea ndoo.Kukopa benki ni njia nzuri lakini inategemea na kiwango cha mshahara unaopokea, sio mtu unapokea laki 8 kama basic salary halafu umenunua magari ya kutosha tena bei mbaya na mijengo ya maana.
Alitumia njia nzuri ingawa alidhalilika.
Kwa wanawake pia unaweza kujificha kwenye chaka la kuhongwa, unauweka utu rehani ili kuepuka kunyea ndoo....Kwani sh. ngapi?
Naleta kisa cha nne Cha mdogo wetu Mr Kipochi ManyoyaMr mbunye na Mr mbususu
haahaaUsipige honi tafadhali. Umepewa lift halafu unanilazimisha nipandishe vioo niwashe AC. ADABU YA WAPI HIYO?
😂😄haahaa
Mapenzi upofu kakaWanawake majasiri sana, utakuta mke anajua kabisa kuwa bwana wake ni komandoo lakini analeta mchepuko wake ndani ya nyumba.
Swali la uzushi:-
Hivi wahanga hawaumizwagi na mapenzi?
Kunyea ndoo imeendelea kutumika kama tafsiri ya kwenda mahabusu/kifungoni.Sikuhizi magereza na mahabusu zote Zina vyoo vya sinki.hakuna taabu Kama zamani kunyea ndoo.
Makamba junior!!!@Bujibuji hii code ngumu sana aisee..
Hii iliishia wapi? Bujibuji Simba NyamaumeNaleta kisa cha nne Cha mdogo wetu Mr Kipochi Manyoya
Nilitembelewa na Noah nyeusi nikaambiwa nikiendelea.......... nimekwenda na mafurikoHii iliishia wapi? Bujibuji Simba Nyamaume