Mbinu nyepesi ya kupunguza gharama za bando ni kufunga unlimited internet nyumbani. Kujinunulia mmoja mmoja ni hasara

Mbinu nyepesi ya kupunguza gharama za bando ni kufunga unlimited internet nyumbani. Kujinunulia mmoja mmoja ni hasara

Habari Wadau.

Naona watu wengi wanalalamika bando zinaisha haraka.

Nawashauri wafunge unlimited internet nyumbani.

Ni cheap sana kulinganisha na kununua bando.

Nyumbani mfano mnaishi watu watano wenye smart phone.

Internet unlimited ya elfu 70 kwa mwezi inawatosha kila mtu kuenjoy kwenye smart phone yake.

Kama mna tv. Mnaacha kulipia kingamuzi.. internet hiyo hiyo inatosha kutazama content za kwenye tv


Binafsi nilishaacha kulipia kingamuzi almost mwaka sasa. Na sijawai kukosa kutazama nachokitaka

Sababu ninatumia unlimited internet
Zuku bei zikoje mkuu.
 
Mimi nyumbani natumia zuku nalipia elfu 70 kwa mwezi.

Pia nina airtel unlimited naitumia kwenye biashara zangu mbali na nyumbani hiyo nailipia laki na 15 kwa mwezi sababu ya 5g
Ukilipa 20,000/- unapata 9.5GB kwa mwezi Airtel kwa matumizi ya kawaida ni nzuri pia unakuwa na mobility tofauti na hiyo unlimited ambayo ni fixed hapo nyumbani.
 
Ukilipa 20,000/- unapata 9.5GB kwa mwezi Airtel kwa matumizi ya kawaida ni nzuri pia unakuwa na mobility tofauti na hiyo unlimited ambayo ni fixed hapo nyumbani.
Unlimited ya 20,000 unaweza jikuta unatumia hadi 200,000 kwa mwezi. Tofauti na hiyo anayoisea FRESHMAN . Hiyo unatumia uwezavyo na unadowload chochote kwa size yoyote bila bando kukata mpaka mwezi uishe kama ilivyo kwenye ving'amuzi. Kuna bando kuto expire kama hujalitumia na kuna unlimited bandle uses for a certain period
 
Habari Wadau.

Naona watu wengi wanalalamika bando zinaisha haraka.

Nawashauri wafunge unlimited internet nyumbani.

Ni cheap sana kulinganisha na kununua bando.

Nyumbani mfano mnaishi watu watano wenye smart phone.

Internet unlimited ya elfu 70 kwa mwezi inawatosha kila mtu kuenjoy kwenye smart phone yake.

Kama mna tv. Mnaacha kulipia kingamuzi.. internet hiyo hiyo inatosha kutazama content za kwenye tv


Binafsi nilishaacha kulipia kingamuzi almost mwaka sasa. Na sijawai kukosa kutazama nachokitaka

Sababu ninatumia unlimited internet
kufunga unlimeted data subscription nyumbani ni njia bora zaidi ya kujenga isolation na kutengeneza makazi ya misukule kila mmoja na ulimwengu wake.

hapo mnaweza kukuta week inakatika mzungumzi ikumbukwe verbal interaction ni msingi wa kujenga familia bora yenye umoja na mshikadano.

sasa data unlimited kila mtu na smartphoni huyu anakula huku yuko na smartphone yule chumbani kajifungia anaperuzi sites za ngono ajilipue, yule yuko chooni anakuny.a huku yuko na simu kila mtu anakua busy na simu.

Mtoto akipatwa na jambo chakwanza ni kupost status mzazi anakuja kuona "hee kumbe umepatwa na tatizo" mtoto yuko karibu na simu kuliko wazazi, mke anaburudishwa na wanaume mitandaoni mume anasaka utelezi mda wote mtandaoni hakuna mwenye muda na mwenzake data si unlimited bwana.
 
Back
Top Bottom