VODA wanakupa ruta na unachagua mwenyew ruta kubwa au kale kadogo kakutembea nako mfukoniKampuni gani mkuu maana nina mwaka wa 2 nliomba fiber to home ya ttcl sijafungiwa hadi leo
Router unachagua wew upewe potable au upewe la kukaa nyumbani mm nilichagua kadogo portable nakaweka mfukoni nakula misele kanakaa na chaji masaa 12ni portable router?
No supa kasi voda ni 115k per month
115k speed yake ni 20mbps na 120k speed yake ni 30mbps 150k speed yake ni 50mbpsIla upuuzi ni ile pesa ya security deposit miezi miwili …
Na hiyo 115k ina mbps zake
Wa 115k hawezi fanana speed na anayelipa 120/150+
Kama week 2 zilizopita..Niliambiwa hivyo na security deposit 2 months115k speed yake ni 20mbps na 120k speed yake ni 30mbps 150k speed yake ni 50mbps
yes na security deposit utarudishiwa mkataba ukiishaKama week 2 zilizopita..Niliambiwa hivyo na security deposit 2 months
115 speed ni 20, 4g only
120 speed 30
150 speed 50
250 speed 100
400 speed 200
600 speed 350…
Utapeli tu huu na kupenda hela za watuyes na security deposit utarudishiwa mkataba ukiisha
Mfano ukinununua likaisha ukakosa pesa mwezi unaofata haupigwi fainiHabari Wadau.
Naona watu wengi wanalalamika bando zinaisha haraka.
Nawashauri wafunge unlimited internet nyumbani.
Ni cheap sana kulinganisha na kununua bando.
Nyumbani mfano mnaishi watu watano wenye smart phone.
Internet unlimited ya elfu 70 kwa mwezi inawatosha kila mtu kuenjoy kwenye smart phone yake.
Kama mna tv. Mnaacha kulipia kingamuzi.. internet hiyo hiyo inatosha kutazama content za kwenye tv
Binafsi nilishaacha kulipia kingamuzi almost mwaka sasa. Na sijawai kukosa kutazama nachokitaka
Sababu ninatumia unlimited internet.
View attachment 2826359
Yeah ni kweli kabisa ila ile kweli inaumiza wallah 230000Ila upuuzi ni ile pesa ya security deposit miezi miwili …
Na hiyo 115k ina mbps zake
Wa 115k hawezi fanana speed na anayelipa 120/150+
Mbon hata hapa Tz unlimited ya ttcl ni 55,000 tu? Hazipishani sana na hiyo 2,000 ya KenyaHii inchi ya hovyo sana wenzetu kenya wanatumia unlimited internet kwa mwezi sh 2000 tu..
Na imepanda juzi baada ya Ruto kuingia madaraka.
Watu wengi wamefunga WiFi majumbani kwao.
Unlimited ya TTCL ipo, inaanzia 55k, 100k na 200k.Maeneo ya kwetu TTCL wamepitisha cable na wanadai unalipia viwango tofauti. Ngoja nifuatilie kama wanayo Unlimited na kwa sh?
Zinakuwake i.e ya 55k inatofautiana vipi na ya 100k na 200k?Unlimited ya TTCL ipo, inaanzia 55k, 100k na 200k.
Zinakuwake i.e ya 55k inatofautiana vipi na ya 100k na 200k?
Asante sana. NashukuruSpidi ndiyo inafanya bei ziwe tofauti
Internet ya 55000 unapata spidi 10mbs
Internet ya 100000 unapata spidi 20mbs
Hivyo hivyo hadi za juu...inavyoongezeka spidi na hela inaongezwa
Unaweza kuungwa kwenye maduka ya Airtel kama una TIN Number & Leseni ya biashara. Kama huna wako washkaji wanaunganisha kwa gharama ndogo (10k).Thanks najiunga vipi na vifurushi vya SME?
Hii imekaaje, nyumba mtatumia sana internet hasa weekend ambapo wote mpoHabari Wadau.
Naona watu wengi wanalalamika bando zinaisha haraka.
Nawashauri wafunge unlimited internet nyumbani.
Ni cheap sana kulinganisha na kununua bando.
Nyumbani mfano mnaishi watu watano wenye smart phone.
Internet unlimited ya elfu 70 kwa mwezi inawatosha kila mtu kuenjoy kwenye smart phone yake.
Kama mna tv. Mnaacha kulipia kingamuzi.. internet hiyo hiyo inatosha kutazama content za kwenye tv
Binafsi nilishaacha kulipia kingamuzi almost mwaka sasa. Na sijawai kukosa kutazama nachokitaka
Sababu ninatumia unlimited internet.
View attachment 2826359
Umemalizakufunga unlimeted data subscription nyumbani ni njia bora zaidi ya kujenga isolation na kutengeneza makazi ya misukule kila mmoja na ulimwengu wake.
hapo mnaweza kukuta week inakatika mzungumzi ikumbukwe verbal interaction ni msingi wa kujenga familia bora yenye umoja na mshikadano.
sasa data unlimited kila mtu na smartphoni huyu anakula huku yuko na smartphone yule chumbani kajifungia anaperuzi sites za ngono ajilipue, yule yuko chooni anakuny.a huku yuko na simu kila mtu anakua busy na simu.
Mtoto akipatwa na jambo chakwanza ni kupost status mzazi anakuja kuona "hee kumbe umepatwa na tatizo" mtoto yuko karibu na simu kuliko wazazi, mke anaburudishwa na wanaume mitandaoni mume anasaka utelezi mda wote mtandaoni hakuna mwenye muda na mwenzake data si unlimited bwana.