Mbinu nyepesi ya kupunguza gharama za bando ni kufunga unlimited internet nyumbani. Kujinunulia mmoja mmoja ni hasara

Mbinu nyepesi ya kupunguza gharama za bando ni kufunga unlimited internet nyumbani. Kujinunulia mmoja mmoja ni hasara

Ila upuuzi ni ile pesa ya security deposit miezi miwili …
Na hiyo 115k ina mbps zake
Wa 115k hawezi fanana speed na anayelipa 120/150+
115k speed yake ni 20mbps na 120k speed yake ni 30mbps 150k speed yake ni 50mbps
 
115k speed yake ni 20mbps na 120k speed yake ni 30mbps 150k speed yake ni 50mbps
Kama week 2 zilizopita..Niliambiwa hivyo na security deposit 2 months
115 speed ni 20, 4g only
120 speed 30
150 speed 50
250 speed 100
400 speed 200
600 speed 350…
 
Habari Wadau.

Naona watu wengi wanalalamika bando zinaisha haraka.

Nawashauri wafunge unlimited internet nyumbani.

Ni cheap sana kulinganisha na kununua bando.

Nyumbani mfano mnaishi watu watano wenye smart phone.

Internet unlimited ya elfu 70 kwa mwezi inawatosha kila mtu kuenjoy kwenye smart phone yake.

Kama mna tv. Mnaacha kulipia kingamuzi.. internet hiyo hiyo inatosha kutazama content za kwenye tv


Binafsi nilishaacha kulipia kingamuzi almost mwaka sasa. Na sijawai kukosa kutazama nachokitaka

Sababu ninatumia unlimited internet.

View attachment 2826359
Mfano ukinununua likaisha ukakosa pesa mwezi unaofata haupigwi faini
 
Hii inchi ya hovyo sana wenzetu kenya wanatumia unlimited internet kwa mwezi sh 2000 tu..


Na imepanda juzi baada ya Ruto kuingia madaraka.

Watu wengi wamefunga WiFi majumbani kwao.
Mbon hata hapa Tz unlimited ya ttcl ni 55,000 tu? Hazipishani sana na hiyo 2,000 ya Kenya
 
Spidi ndiyo inafanya bei ziwe tofauti

Internet ya 55000 unapata spidi 10mbs

Internet ya 100000 unapata spidi 20mbs

Hivyo hivyo hadi za juu...inavyoongezeka spidi na hela inaongezwa
Asante sana. Nashukuru
 
Thanks najiunga vipi na vifurushi vya SME?
Unaweza kuungwa kwenye maduka ya Airtel kama una TIN Number & Leseni ya biashara. Kama huna wako washkaji wanaunganisha kwa gharama ndogo (10k).

Mjaribu huyu aliyeniunganisha mimi kama bado anafanya kazi.
0710535327
 
Habari Wadau.

Naona watu wengi wanalalamika bando zinaisha haraka.

Nawashauri wafunge unlimited internet nyumbani.

Ni cheap sana kulinganisha na kununua bando.

Nyumbani mfano mnaishi watu watano wenye smart phone.

Internet unlimited ya elfu 70 kwa mwezi inawatosha kila mtu kuenjoy kwenye smart phone yake.

Kama mna tv. Mnaacha kulipia kingamuzi.. internet hiyo hiyo inatosha kutazama content za kwenye tv


Binafsi nilishaacha kulipia kingamuzi almost mwaka sasa. Na sijawai kukosa kutazama nachokitaka

Sababu ninatumia unlimited internet.

View attachment 2826359
Hii imekaaje, nyumba mtatumia sana internet hasa weekend ambapo wote mpo
 
kufunga unlimeted data subscription nyumbani ni njia bora zaidi ya kujenga isolation na kutengeneza makazi ya misukule kila mmoja na ulimwengu wake.

hapo mnaweza kukuta week inakatika mzungumzi ikumbukwe verbal interaction ni msingi wa kujenga familia bora yenye umoja na mshikadano.

sasa data unlimited kila mtu na smartphoni huyu anakula huku yuko na smartphone yule chumbani kajifungia anaperuzi sites za ngono ajilipue, yule yuko chooni anakuny.a huku yuko na simu kila mtu anakua busy na simu.

Mtoto akipatwa na jambo chakwanza ni kupost status mzazi anakuja kuona "hee kumbe umepatwa na tatizo" mtoto yuko karibu na simu kuliko wazazi, mke anaburudishwa na wanaume mitandaoni mume anasaka utelezi mda wote mtandaoni hakuna mwenye muda na mwenzake data si unlimited bwana.
Umemaliza
 
Back
Top Bottom