Kitambazi Abdul
Member
- Aug 8, 2017
- 72
- 84
Habari wakuu...
Leo katika pitapita zangu Mjini Dar es Salaam nikakumbuka Yale Mabango ya Neel Salt yalivokuwa yametapakaa Mji mzima kila barabara wakitangaza Chumvi hiyo,
Kwenye TV nako yalikuwa yamesambazwa Sana,
Watu wakaona kumbe Kuna chumvi hiyo wakaizoea na Kuona ni chumvi ya kawaida Kama chumvi nyingine,
Walisambaza madukani Sana Mpaka sasa ni Chumvi inayouzika na kuzoeleka Kama chumvi zingine...
Lkn Kwa sasa Mabango yamepungua Sana na Kutoweka kabisa na matangazo kupungua kwenye media Kwa Asilimia kubwa...
Dalili inaonesha Mmiliki Tayari kisharidhika na soko na kaamua Kupunguza Gharama za Matangazo Kwa sasa...
AKILI KUBWA SANA ILITUMIKA...
Kuna haja ya wajasiriamali wengine kutumia hii Mbinu.
Leo katika pitapita zangu Mjini Dar es Salaam nikakumbuka Yale Mabango ya Neel Salt yalivokuwa yametapakaa Mji mzima kila barabara wakitangaza Chumvi hiyo,
Kwenye TV nako yalikuwa yamesambazwa Sana,
Watu wakaona kumbe Kuna chumvi hiyo wakaizoea na Kuona ni chumvi ya kawaida Kama chumvi nyingine,
Walisambaza madukani Sana Mpaka sasa ni Chumvi inayouzika na kuzoeleka Kama chumvi zingine...
Lkn Kwa sasa Mabango yamepungua Sana na Kutoweka kabisa na matangazo kupungua kwenye media Kwa Asilimia kubwa...
Dalili inaonesha Mmiliki Tayari kisharidhika na soko na kaamua Kupunguza Gharama za Matangazo Kwa sasa...
AKILI KUBWA SANA ILITUMIKA...
Kuna haja ya wajasiriamali wengine kutumia hii Mbinu.