Mbinu ya uhaini imegoma; mbinu gani inafuata kuwanyamazisha waliotumwa na MABEBERU?

Mbinu ya uhaini imegoma; mbinu gani inafuata kuwanyamazisha waliotumwa na MABEBERU?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Serikali imejaribu kuingia kwenye kuuza Bandari kwa kuwanyamazisha watu kupitia uhaini ila ni kama vile wamewasha moto kimataifa

Wanaoungwa mkono na MABEBERU wanaonekana kuzidi kuwa na nguvu huku watetezi wa DP world wakizidi kunyamaza kwa kasi. Hakuna mbunge wala waziri ambaye anafungua mkono kuhusu DP world wote wameona hali si shwari

Baada ya mbinu ya uhaini kuonekana inalichafua taifa kimataifa ni mbinu gani itafuata? Waliopendekeza mbinu hii watachukuliwa hatua kwa kumdanganya DP world au ndio watasamehewa?

Wafuasi wa MABEBERU wanashukiza kufunguliwa kwa kesi ya uhaini ili waendelea kuzoa pointi tatu kimataifa; serikali imewashtukia japo kwa kuchelewa na sasa wamepanga kubaki kwenye uchochezi

Inshort mashirika ya kimataifa hayajawahi kumtetea muhaini so ukiona wanalipinga shtuka ; ni aidha uwapooze MABEBERU kwa kuwapa mikataba nawao au uwapuuze wakivurugie uchumi......

Tumefungua nchi imefungwa na uhaini. Wrong calculation
 
Serikali imejaribu kuingia kwenye kuuza Bandari kwa kuwanyamazisha watu kupitia uhaini ila ni kama vile wamewasha moto kimataifa

Wanaoungwa mkono na MABEBERU wanaonekana kuzidi kuwa na nguvu huku watetezi wa DP world wakizidi kunyamaza kwa kasi. Hakuna mbunge wala waziri ambaye anafungua mkono kuhusu DP world wote wameona hali si shwari

Baada ya mbinu ya uhaini kuonekana inalichafua taifa kimataifa ni mbinu gani itafuata?

Waliopendekeza mbinu hii watachukuliwa hatua kwa kumdanganya DP world au ndio watasamehewa?

Wafuasi wa MABEBERU wanashukiza kufunguliwa kwa kesi ya uhaini ili waendelea kuzoa pointi tatu kimataifa; serikali imewashtukia japo kwa kuchelewa na sasa wamepanga kubaki kwenye uchochezi

Inshort mashirika ya kimataifa hayajawahi kumtetea muhaini so ukiona wanalipinga shtuka ; ni aidha uwapooze MABEBERU kwa kuwapa mikataba nawao au uwapuuze wakivurugie uchumi......

Tumefungua nchi imefungwa na uhaini. Wrong calculation
Unauhakika imegoma
 
Serikali imejaribu kuingia kwenye kuuza Bandari kwa kuwanyamazisha watu kupitia uhaini ila ni kama vile wamewasha moto kimataifa

Wanaoungwa mkono na MABEBERU wanaonekana kuzidi kuwa na nguvu huku watetezi wa DP world wakizidi kunyamaza kwa kasi. Hakuna mbunge wala waziri ambaye anafungua mkono kuhusu DP world wote wameona hali si shwari

Baada ya mbinu ya uhaini kuonekana inalichafua taifa kimataifa ni mbinu gani itafuata?

Waliopendekeza mbinu hii watachukuliwa hatua kwa kumdanganya DP world au ndio watasamehewa?

Wafuasi wa MABEBERU wanashukiza kufunguliwa kwa kesi ya uhaini ili waendelea kuzoa pointi tatu kimataifa; serikali imewashtukia japo kwa kuchelewa na sasa wamepanga kubaki kwenye uchochezi

Inshort mashirika ya kimataifa hayajawahi kumtetea muhaini so ukiona wanalipinga shtuka ; ni aidha uwapooze MABEBERU kwa kuwapa mikataba nawao au uwapuuze wakivurugie uchumi......

Tumefungua nchi imefungwa na uhaini. Wrong calculation
Mama yupo kwenye stress kinoma tumuombee sana.
 
Serikali imejaribu kuingia kwenye kuuza Bandari kwa kuwanyamazisha watu kupitia uhaini ila ni kama vile wamewasha moto kimataifa

Wanaoungwa mkono na MABEBERU wanaonekana kuzidi kuwa na nguvu huku watetezi wa DP world wakizidi kunyamaza kwa kasi. Hakuna mbunge wala waziri ambaye anafungua mkono kuhusu DP world wote wameona hali si shwari

Baada ya mbinu ya uhaini kuonekana inalichafua taifa kimataifa ni mbinu gani itafuata?

Waliopendekeza mbinu hii watachukuliwa hatua kwa kumdanganya DP world au ndio watasamehewa?

Wafuasi wa MABEBERU wanashukiza kufunguliwa kwa kesi ya uhaini ili waendelea kuzoa pointi tatu kimataifa; serikali imewashtukia japo kwa kuchelewa na sasa wamepanga kubaki kwenye uchochezi

Inshort mashirika ya kimataifa hayajawahi kumtetea muhaini so ukiona wanalipinga shtuka ; ni aidha uwapooze MABEBERU kwa kuwapa mikataba nawao au uwapuuze wakivurugie uchumi......

Tumefungua nchi imefungwa na uhaini. Wrong calculation
Imeuzaje bandari?
 
Serikali imejaribu kuingia kwenye kuuza Bandari kwa kuwanyamazisha watu kupitia uhaini ila ni kama vile wamewasha moto kimataifa

Wanaoungwa mkono na MABEBERU wanaonekana kuzidi kuwa na nguvu huku watetezi wa DP world wakizidi kunyamaza kwa kasi. Hakuna mbunge wala waziri ambaye anafungua mkono kuhusu DP world wote wameona hali si shwari

Baada ya mbinu ya uhaini kuonekana inalichafua taifa kimataifa ni mbinu gani itafuata?

Waliopendekeza mbinu hii watachukuliwa hatua kwa kumdanganya DP world au ndio watasamehewa?

Wafuasi wa MABEBERU wanashukiza kufunguliwa kwa kesi ya uhaini ili waendelea kuzoa pointi tatu kimataifa; serikali imewashtukia japo kwa kuchelewa na sasa wamepanga kubaki kwenye uchochezi

Inshort mashirika ya kimataifa hayajawahi kumtetea muhaini so ukiona wanalipinga shtuka ; ni aidha uwapooze MABEBERU kwa kuwapa mikataba nawao au uwapuuze wakivurugie uchumi......

Tumefungua nchi imefungwa na uhaini. Wrong calculation
Yaaani Serikali irudi nyuma kwa watu wanaosema tutapindua nchi? Nadhani ni mgeni wa nchi hii wewe. Subiri uone
 
Yaaani Serikali irudi nyuma kwa watu wanaosema tutapindua nchi? Nadhani ni mgeni wa nchi hii wewe. Subiri uone
Huyu jamaaa atakuwa ni mtoto, mwambie aulizie historia ya rais wa tatu wa zanzibar inayohusiana na Muungano.
Serikali kwenye suala la muungano na amani ya nchi wanakuwa serious kupitiliza.
 
Labda nikupe issue ya uhaini si ndogo wazee wa baka wameshirikishwa kutoa ushahidi wa uwongo wamegoma,miwani nao wamegoma coz hakuna logic ya uhaini zaidi ya kwenda kuaibika hivyo wanajipanga kuichomoa kwa uchochezi
 
Imeuzaje bandari?
Wajuvi wanakwambia usiangalie muundo wake , unaangalia madhara yake yanakuwaje ukiitaka hicho kitu chako iwe bandari nk inabidii ukilipie kigombozi. Sasa hicho kigombozi maanake nini ? Ni kwamba unanunua kile ulicho kiuza.
 
"Kesho naenda mbiguni nikaonane na muumba tujadiriane kuhusu hili suala la bandari"
Kabla hujanihukumu kwa uhaini wa kutaka kwenda mbiguni bila kufuata utaratibu lazima ujiulize maswali yafuatayo,
1. Ninao huo uwezo wa kufika mbiguni?
2. Kama jibu ni hapana je Maneno yangu yanaweza kusababisha nikapata huo uwezo?
3. Je mpango ni wangu peke yangu?
4. Kama mpango sio wangu peke yangu, washirika wangu wanao huo uwezo?
5. kama jibu ni hapana basi nichukulie Mimi ni kichaa,mropkaji na mjinga kwa sababu Sina sifa za kuwa mhaini.
Ili mtu atiwe hatiani kwa uhaini Kuna sifa za ziada ndugu zangu ambazo nikitizama hao watu hawana.
Pole zetu tunao tamani hivyo maana aibu I malangoni petu.
 
Back
Top Bottom