Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee kweli nimekua mhenga, baadhi ya vitu naona upuuzi.
Yaani ufungue biashara ili upate number za totoz?
Mbebez....Au ukijua mtaa anaokaa unafungua duka la kuuza chokaa[emoji3][emoji3]
chaaaayyyy!!! god forbidPoleni na majukumu wakuu
Leo nimeona nisheenanyi njia za uhakika ambazo ukizitumia inavotakiwa kwako namba za watoto wazuri itakua sio shida
Fungua goli(office) la huduma za kifedha yaani namaanisha uwe na tigo pesa,m pesa, Airtel money na hallo pesa, yaani hii ni njia ya uhakika na salama maana kila mtoto mzuri anaekuja kufanya muamala kwene office yako lazima umnyake kwa sababu anaotoa hela namba yake inakuja kwako na anavoeka hela anataja namba yake
Kua closed na watu wanajihusisha na huduma za kifedha apa namaanisha tengeneza urafiki na mawakala ukifeli kabisa fungua goli lolote karibu na office zao so itakua rahisi kwa wewe kuwaomba namba ya kila mtoto anaiingia na kutoka
Penda sana kutembea na gari yaani ata kama huna ndinga we fanya kuazima mzee hawa watoto wakiona ndinga akili zinahama wanazidisha kukushobokea yani ukigusa tu imo
Naomba niishie hapo kwa leo next time ntafundisha jinsi gani ya kupiga chabo gest