Wewe wa Haya ndio una weza kuja kwenye uzi wangu kuni shauri kuhusu Maisha??Ww ni wakupeleka saudi nchi imejaa mapoli unawaza kwenda kutiwa..wazo ni kalime hapa hapa bongo
Kiswahili wazambia hawajui ila wanakibemba na kingereza Cha what is laboratory rules [emoji23][emoji23][emoji23] yaan simple EnglishVip swala la lugha kwa zambia, je kiswahili kipo au kiingereza kila mtu anakijua?
Amani finyu sana msumbiji.Kama urapata walau laki 5(pesa ya kubangaiza) nenda Msumbiji sehem za Machimbo toka dar na bidhaa hata kama ni nguo, viatu ama vipodozi maana kuna Machimbo mengi sana na watanzania wamejaa + wenyeji na mataifa mengine kikubwa pata kubali cha muda maana kwao ishu ni ufate utaratibu. Wengi wametoboa sana msumbiji kupitia Biashara sehem za Machimbo ya dhahabu na Rubi.
Kwacha inanifurahisha inapanda hadi rahaHizi ni nauli za TREN toka nakonde Hadi dar na nakonde Hadi kapilimposhi note: 1 kwacha = 130 shlingi kwa leoView attachment 2590241View attachment 2590242
Hii week ahsey imeripuka saana aan huu mwaka inaeza fika 160
Apana inaongezeka thaman kakaHivi inavyo panda una jua kisarafu ndio ina kuwa devaluated yaan inavyo lipuka ndio inavyopoteza dhaman zidi ya dollar.
Ijipambanie tu si tunafurahi upande wa kwacha na Tshiling tuHivi inavyo panda una jua kisarafu ndio ina kuwa devaluated yaan inavyo lipuka ndio inavyopoteza dhaman zidi ya dollar.
Ehhh ngoja wavune vizuri watu waanze nunua MazaoHii week ahsey imeripuka saana aan huu mwaka inaeza fika 160
132 boss
Nauli tayar ndio hizo juu za mwaka 2023Kama kuna ambaye alisha enda Zambia kwa Train kutokeaTanzania naomba aje hapa atueleze inachukuwa siku ngap nakama alisafir karibuni atwambie nauli tafadhali..
Natanguliza Shukrani
Asante bro.Nauli tayar ndio hizo juu za mwaka 2023
Niliongea na mdau mmoja alihamia uganda miaka minne iliyopita, anadai uganda ya sasa ni km Tanzania ya enzi za rais mwinyi hela ni nje nje! ...kuna ukweli lolote kuhusu hilo au jamaa alikuwa ananifunga kamba?Kwa mtazamo wangu mm Go east Go west Kampala and Lusaka is the best place for small bznes and middle bznes.
Nimefanya bznes Kampala wakati najitafuta sio kwamba nimejipata bado lakini ni sehemu ambayo imeniinua mnooo. Juzi kabla ya pasaka kuna mtu/sister nimemkonect na jamaa zangu w kule alifata mzigo wa nguo Kampala kanishukuru mpk nimeshangaa baadae nikaenda sinza dukani kwake nikakuta anajumlisha nguo na reja reja akasema hatumi tena pesa china mzigo unachelewa pia faida azitofautiani na Kampala ambako mzigo wake ni 5 days tu uko Dar.Ila kwa ss mm nimebezi sana Lusaka.
All the best brother mapambano muhimu mnooo fungua mipaka uone dunia na fulsa. Ila kenye kuna mishe mmenialibia na mambo yenu ya maandamano sio poa.
Kiongozi huu ndio ukweli mtupu kabisa. Wala hajadanganya. Kwa wafanya bznes uganda kuna mwanya n nafuu kubwa. Ila piga kazi kweli kweli.Niliongea na mdau mmoja alihamia uganda miaka minne iliyopita, anadai uganda ya sasa ni km Tanzania ya enzi za rais mwinyi hela ni nje nje! ...kuna ukweli lolote kuhusu hilo au jamaa alikuwa ananifunga kamba?