Ukiwa na pesa mbona hawana shida kabisa full usalama 😹hao ni watemi..
Nakumbuka Kama miaka Minne nyuma kuna mwanadada nilienda kumtembelea mitaa ya external kwa upande wa chini..
Sasa pale kuna mto, Ila kabla ya kuvuka kuna wahuni wametandaza kigunia
Kwa hiyo kila anaepita 200 per day na mwenyeji wangu alikuwa analipa maana hata night kali.. Huwa anavuka fresh na wanamsindikiza hadi kwake. Ila wanaogoma, kuibiwa na kupigwa ngeta ni kugusa 😁😁😁
NSHA HAMA KULE ASEEEEEEEEEEEEPole sana
Unaongelea wahuni (wapolo)au mateja,?Wahuni sio poa bro
Njia ya kuwadhibiti miliki upinde na mishale ya sumu hii inaitwa silent killer.. unawapopoa bila kishindo..Wahuni waliopinda
Mimi nikiwa natoka home huwa natoka na singilendi tu, shati au tshit nakuwa nimelichomeka mfuko wa nyuma, sigara nimeiweka sikioni halafu shingoni nina plasta, mpaka leo wananiogopa kichizi.Wanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road
Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua
Hapa nitawapa mbinu kadhaa
1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia. Oyaa Uncle nigei jero ya fegi Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure
2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k
3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua
4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga
5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum
6. Usikae home Kinyonge
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako
7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge
8. Juana na wazazi au ndugu zao
9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
Uswazi tuna maisha yetu kivyetu.nisha kaa maeneo ya kigogo uswahilini..........aseeeee mida ya mvua vyooo vyote vina jaaa . na magogo yanakuja juu soo una chagua unyee juu ya gogo au unyee kwenye kiroba ukatupe mtoni..........the option is yours
Kwamaana Pana na jumuifu Tu Juana na wahuni😂🤣Wanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road
Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua
Hapa nitawapa mbinu kadhaa
1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia. Oyaa Uncle nigei jero ya fegi Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure
2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k
3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua
4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga
5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum
6. Usikae home Kinyonge
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako
7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge
8. Juana na wazazi au ndugu zao
9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
NA VINATAPISHWA ASWAAAAAUswazi tuna maisha yetu kivyetu.
Huku huwa hatuiti 'nyonyamavi', mvua ikinyesha ndiyo wakati wa kutapisha vyoo
Njia ya 10 ambayo itapunguza mzunguko wote huu ni hiiWanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road
Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua
Hapa nitawapa mbinu kadhaa
1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia. Oyaa Uncle nigei jero ya fegi Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure
2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k
3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua
4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga
5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum
6. Usikae home Kinyonge
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako
7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge
8. Juana na wazazi au ndugu zao
9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
Umemaliza kila kitu.Bongo kuna wahuni ama kuna watu waliopigwa na maisha!.
muhuni unatakiwa uwe na pesa, sasa muhuni unagongea fegi mara jero mixer kukaba watu wasio na pesa! muhuni hata pisto huna!.
muhuni unakunywa ma taputapu!
Ndo maana wanakua km mazombiee.Mabangi yenyewe wanavuta makushabu tena wanavutia chooni et?
Akati wao ndo wana pididiwa na watalii, Arusha Muhuni hana Linda,Kwa arusha wana kupididi