Huku sisi tuna wasela nnya!.
muhuni anajua kutafuta pesa, pili anajui kuitumia anaweza akakaa miezi ama mwaka huoni ana misheni lkn anakula,anakunywa na anadrive maana wahuni wanapiga dili moja la maana anakula maisha sio watu wakutumia nguvu sanaa kutafuta pesa ni akili!, huwa wanakuwa radhi sana hata kuua ukigusa familia yake!.. sasa hapa bongo muhuni anaiba kwao badala yeye ndo akatafute alete aokoe jahazi!.
muhuni unafanya tukio unakamatwa na polisi wilaya hiyohiyo ama mkoa huohuo!, muhuni akifanya tukio mkimkosa ndo mmemkosa na mkimkamata kama sio nje ya nchi basi mbali.. sa mtu anafanya tukio zito huna hata pesa yakukimbilia unaenda kujificha kwenye magheto ya watu ambao nao wakija kupigwa mabanzi ya shingo wanakutoa...🤣