Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Kuna Uzi humu wa muda kidogo wanaelezea vimbwanga vya mambo ya uswahilini na vulugu a wahuni miaka hyo



Kuna mwana anakuambia alimkaba mjeda mitaa ya Magomeni baada ya siku kadhaa mjeda alirudi na wanae kibao kumtafuta mchizi,

Kesho yake yule mjeda akakutana na mwana alimkaba baada ya kurumbana jamaa akaomba kama vipi wazipige na mjeda mtumbili

Daah mjeda kuona hivyo akayeyusha akasepa hakurudi tena 😁 wahuni wa zamani noma
Mtumbike hio ni noma😁 mikono mfululu
 
Huku sisi tuna wasela nnya!.

muhuni anajua kutafuta pesa, pili anajui kuitumia anaweza akakaa miezi ama mwaka huoni ana misheni lkn anakula,anakunywa na anadrive maana wahuni wanapiga dili moja la maana anakula maisha sio watu wakutumia nguvu sanaa kutafuta pesa ni akili!, huwa wanakuwa radhi sana hata kuua ukigusa familia yake!.. sasa hapa bongo muhuni anaiba kwao badala yeye ndo akatafute alete aokoe jahazi!.
muhuni unafanya tukio unakamatwa na polisi wilaya hiyohiyo ama mkoa huohuo!, muhuni akifanya tukio mkimkosa ndo mmemkosa na mkimkamata kama sio nje ya nchi basi mbali.. sa mtu anafanya tukio zito huna hata pesa yakukimbilia unaenda kujificha kwenye magheto ya watu ambao nao wakija kupigwa mabanzi ya shingo wanakutoa...🤣
Hio ndio definition ya muhuni smart by humphrey polepole.

Kuna uhuni wa aina mbili, uhuni smart halafu kuna uhuni wa kisela mavi. Mtoa mada amemaanisha jinsi ya kuishi na wahuni wasela mavi.
 
mtu bee univue kiatu? sio kinyonge labda ukutane na offsa la kuvimba ( mkate)... Unachoreshwa tu hata mida mida tutaishi mwanangu 👊👊 lazima ulegeze nafsi kunjani
Nimecheka mno
 
wale sio wahuni wale ni watu waliopagawa!.
uhuni ni gharama unatakiwa uwe na pesa sio ya mawazo, sasa hiyo ndo unafanyia starehe unanunua gari unatupita barabarani spidi kali halafu unafanya drift!!, hapo kiunoni bonge la pisto na mibangi kwenye gari ila bangi original sio hizi zakuchizisha watu!.
muhuni huna hata ghetto kali..🤣
Mkuu Kenzy unajikuta Mnyamweeeezii hizo lifestyle Ni kama wale vijana wa Newjersely Driver😀
 
Mkuu Kenzy unajikuta Mnyamweeeezii hizo lifestyle Ni kama wale vijana wa Newjersely Driver😀
mi mnyamwezi ati... mambo gani ya kujiita muhuni halafu unakaba masikini..? ndio maana watu wanachoma moto!..
uhuni unatakiwa uwe na faida tena muhumu akistaafu uhuni unaacha legacy mtu anaacha mtaani kwake hata kajenga kiwanja cha basketball hapo baade vipaji vitachipuka tu! na watu watakukumbuka!
 
mi mnyamwezi ati... mambo gani ya kujiita muhuni halafu unakaba masikini..? ndio maana watu wanachoma moto!..
uhuni unatakiwa uwe na faida tena muhumu akistaafu uhuni unaacha legacy mtu anaacha mtaani kwake hata kajenga kiwanja cha basketball hapo baade vipaji vitachipuka tu! na watu watakukumbuka!
Aaah wapi mimi ni mwendo wa kuwatia ngwala tu!
 
Ha
mi mnyamwezi ati... mambo gani ya kujiita muhuni halafu unakaba masikini..? ndio maana watu wanachoma moto!..
uhuni unatakiwa uwe na faida tena muhumu akistaafu uhuni unaacha legacy mtu anaacha mtaani kwake hata kajenga kiwanja cha basketball hapo baade vipaji vitachipuka tu! na watu watakukumbuka!
Hakika mkuu
 
Dawa ni chuma tu unatembea nacho wanakiona. Ndo yalikuwa maisha yetu Keko Magurumbasi enzi za mwishoni mwa 1999. Kila ukipita shikamooo nyingi. Sahizi tunazeeka na utemi wetu
Halafu wababe wa miaka ile ndio walikuwa wababe kweli, jambazi ni jambazi kweli....jitu la Miraba minne

Sasahv Panya road ni vitoto vya Form IV ya miaka hii hata 25 hawana
 
Kuna mitaa niliwahi kuishi aisee wale vibaka wakikukaba km huna pesa adhabu inaongezeka.. wanakupeleka kwenye mto wanakwambia oga na maji yalivyo y’a baridi sasa usiku weeh.!! 😹😹😹

Ikiwa km unadhurula usiku uwabebee wazee wa kazi hata buku kumi, lasivyo kuoga kunakuhusu.!! 🤣🤣🤣
hao ni watemi..

Nakumbuka Kama miaka Minne nyuma kuna mwanadada nilienda kumtembelea mitaa ya external kwa upande wa chini..
Sasa pale kuna mto, Ila kabla ya kuvuka kuna wahuni wametandaza kigunia

Kwa hiyo kila anaepita 200 per day na mwenyeji wangu alikuwa analipa maana hata night kali.. Huwa anavuka fresh na wanamsindikiza hadi kwake. Ila wanaogoma, kuibiwa na kupigwa ngeta ni kugusa 😁😁😁
 
Back
Top Bottom