Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Wanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road

Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua

Hapa nitawapa mbinu kadhaa

1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia
Oyaa Uncle nigei jero ya fegi
Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure

2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k

3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua

4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga

5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum

6. Usikae home Kinyonge au kike kike
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako

7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge

8. Juana na wazazi au ndugu zao

9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu

Huku sasa ndio kunaitwa kujipendekeza.

Wahuni wanatakiwa wakujue tu ya kuwa wewe ni adui yao na upo kinyume nao basi.

Mimi nimeishi na nimekulia mitaa ya wahuni hawana wanalojia kwangu zaidi yule bro ni USTADH tu, nimemaliza na wananiheshimu balaa, mpaka nasikia habari kwao kwamba wanasema "Yule bro Hana shida na mtu kabisa.".

Tuna mambo mengi ya kufanya.
 
Tanzania hamna wahuni - Ila kuna watu ambao hawana Afya nzuri ya akili .

Bimafsi nimekaa uswahili miaka 4 nilikuwa siwapi hela Ila nilikuwa najaribu kuwajenga kiakili .

Na wachache walionisikiliza waliacha sigara , bangi na pombe na baadhi yao wapo jeshini , wengine wanaemdesha daladala na mmoja anacheza Azam.

Niliwaambia Energy au nguvu haitokani na kuvuta bangi, kunywa pombe wala sigara .

Hizo jero jero sikuwahi kuwapa Ila kuwanunulia chakula , kuwapa Unga ,magodoro ya kulalia .

Ukiishi Thug life -unakuwa mbele ya muda Active smart na hustler na sio Kama hawa ndugu zetu wa uswahilini ambao wapo Addicted with alcohol, Weed and cigarettes.

But a lot of mother F they entertain this shit Kwa kuwapa hela ya kunywa pombe ,sigara na madawa na kuhusahu kuwa wanaongeza chumvi ktk kidonda
Hawa unawajua
1)Mzee kikwete unamjua je..
2) January makamba ..
3).samia bushiri☠☠☠☠
4)mafwele☠☠☠☠
5)kinana
6)nape
7)tulia
8)rostam azizi☠☠☠☠💀💀
9)gsm
10)riziwan 🚬
11)ABDUL☠☠☠☠💀💀💀🐍☠
Nk
Ni wahuni hata kuwakuta jela ni ngumu...wapo juu ya haki yote na sheria yote ....kwao UZALENDO NI MAVII NA MZALENDO NI ADUI
 
Bongo kuna wahuni ama kuna watu waliopigwa na maisha!.
muhuni unatakiwa uwe na pesa, sasa muhuni unagongea fegi mara jero mixer kukaba watu wasio na pesa! muhuni hata pisto huna!.
muhuni unakunywa ma taputapu!
Kwani definition ya uhuni nini tuanzie hapo
 
Hawa unawajua
1)Mzee kikwete unamjaa je
2) January makamba ..
3).samia bushiri
4)mafwele
5)kinana
6)nape
7)tulia
8)rostam azizi
9)gsm
10)riziwan
Nk wahuni hata kuwakuta jela ni ngumu wapo juu ya haki yote na sheria yote ....kwao UZALENDO NI MAVII NA MZALENDO NI ADUI
Andika wosia
 
Sasa hizo mbinu ulizoorodhesha zote ni km unajipendekeza kwao?? 😹

Wewe ishi maisha yako hakikisha hukosi bisibisi na utafute pumzi ili wakikuotea umkande mmoja ili awape taarifa wenzake.!!
 
Mkuu umesema ulanzi nimepata arosto ,huku mvua kubwa inabonda Sana nampigia Bibi muuza ,anasema tusubiri mvua iishe tukutane kwake .

Hana baya huyo jamaa
Mkuu ulanzi hiyo pombe ni majuzi tu uliniambia kuwa inalegeza magoti , bora utemane nayo unywe pombe ya watu wenye akili kama wewe😁
 
Wanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road

Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua

Hapa nitawapa mbinu kadhaa

1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia
Oyaa Uncle nigei jero ya fegi
Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure

2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k

3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua

4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga

5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum

6. Usikae home Kinyonge au kike kike
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako

7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge

8. Juana na wazazi au ndugu zao

9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
Unarudi home saa 8 usiku na mbavu zako za mbuzi unamtisha panya road aliyejikataa na wako 40 are you serious. Watakugawana nyama hata mfupa hautaonekana.
 
Sasa hizo mbinu ulizoorodhesha zote ni km unajipendekeza kwao?? 😹

Wewe ishi maisha yako hakikisha hukosi bisibisi na utafute pumzi ili wakikuotea umkande mmoja ili awape taarifa wenzake.!!
Wewe igiza maisha upige bisibisi kama unakoroga sotojo la biryani 😁😁.. Ila jua tu muhuni ukishamrushia silaha na ikamkosa kinachofuata atakupiga kwa hasira na kujihami. Najua wajua kifuatacho ITV. . Tunakuimbia pambio saint peters 😁😁
 
Sasa hizo mbinu ulizoorodhesha zote ni km unajipendekeza kwao?? 😹

Wewe ishi maisha yako hakikisha hukosi bisibisi na utafute pumzi ili wakikuotea umkande mmoja ili awape taarifa wenzake.!!
Mkuu niliona reply humu watu wanadai wewe ndio labella the mafia huko x 😄😄😄😄
 
me kuna kipindi nililazimika kukaa keko miaka fulani hivi
nilikiwa natumia mbinu moja matata sana
nilikuwa nanunua bangi kwao
so nikawa najuana na PUSHA MKUU mwenyewe
Kiuharisia BANGI sivuti niliachana nayo MIAKA MINGI sana ila nilikuwa natengeneza SAFE DEFFENCE
Mbinu nyingine ndio hiyo nilikiwa napiga DOJO nao so nikawa safe kipindi chote cha kuishi KEKO hakuna sehemu watu wamepinda kama keko
halafu kulikuwa na STAREHE sana miaka hiyo tofauti na ss hivi kunepoa sana
 
Huku sasa ndio kunaitwa kujipendekeza.

Wahuni wanatakiwa wakujue tu ya kuwa wewe ni adui yao na upo kinyume nao basi.

Mimi nimeishi na nimekulia mitaa ya wahuni hawana wanalojia kwangu zaidi yule bro ni USTADH tu, nimemaliza na wananiheshimu balaa, mpaka nasikia habari kwao kwamba wanasema "Yule bro Hana shida na mtu kabisa.".

Tuna mambo mengi ya kufanya.
Hao ni vibaka na sio wahuni
 
Wewe igiza maisha upige bisibisi kama unakoroga sotojo la biryani 😁😁.. Ila jua tu muhuni ukishamrushia silaha na ikamkosa kinachofuata atakupiga kwa hasira na kujihami. Najua wajua kifuatacho ITV. . Tunakuimbia pambio saint peters 😁😁
Kuna mitaa niliwahi kuishi aisee wale vibaka wakikukaba km huna pesa adhabu inaongezeka.. wanakupeleka kwenye mto wanakwambia oga na maji yalivyo y’a baridi sasa usiku weeh.!! 😹😹😹

Ikiwa km unadhurula usiku uwabebee wazee wa kazi hata buku kumi, lasivyo kuoga kunakuhusu.!! 🤣🤣🤣
 
Sasa hizo mbinu ulizoorodhesha zote ni km unajipendekeza kwao?? 😹

Wewe ishi maisha yako hakikisha hukosi bisibisi na utafute pumzi ili wakikuotea umkande mmoja ili awape taarifa wenzake.!!
Na hiyo ni Moja ya mbinu, lakini siyo mbinu pekee ya kutamba Kwa wahuni
 
Mkuu niliona reply humu watu wanadai wewe ndio labella the mafia huko x 😄😄😄😄
X ndio wapi? 😜

JF bado hujawazoea? Wewe wape picha story watajazia wenyewe.!! Huko X sina account kwanza.. 🤣🤣🤣
 
Wewe igiza maisha upige bisibisi kama unakoroga sotojo la biryani 😁😁.. Ila jua tu muhuni ukishamrushia silaha na ikamkosa kinachofuata atakupiga kwa hasira na kujihami. Najua wajua kifuatacho ITV. . Tunakuimbia pambio saint peters 😁😁
Hamna haja ya kutumia nguvu hizo
Ukitumia nguvu watakuzulu tu
 
Back
Top Bottom