Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hii account rafiki yangu pia huwa humu wanadai inafanana na mwandiko wako😁X ndio wapi? 😜
JF bado hujawazoea? Wewe wape picha story watajazia wenyewe.!! Huko X sina account kwanza.. 🤣🤣🤣
😹😹😹Ila hii account rafiki yangu pia huwa humu wanadai inafanana na mwandiko wako😁
View attachment 3180984
Au sio?Wahuni ni watu poa tu
Wakikujua watakuvusha mbele ya makucha ya maadui wakubwa
Sijakataa, ila ukisoma comments za wachangiaji kwenye huu uzi utagundua wengi wetu hatujui kwann tumo humu.. zaidi ni kujaza server za Maxence kwa upuuzi usiokua wa maana. Nchi zilizoendelea wahenga wao hawakuwa hivi, wale wachache weliokua na ujuzi wa kusoma na kuandika waliutumia vizuri na maandiko yao ukisoma asilimia kubwa ni madini tupu.. hivi ushawahi kuwaza after 20 years mtoto wako akija kusoma michango unayoitoa humu atawaza kwamba we ulikua ni mtu wa namna gani??Usiwe serious sana mkuu
Hawa wahuni wapo mtaani wanasumbua watu
Mara kadhaa panya road wamekuwa agenda hadi wameongelewa bungeni.
We hutaki watu wajadili mambo yaliyo kwenye jamii Yao,
Haaaa kuwapa pesa watakutesaAu sio?
Wahuni ukitaka muwe marafiki uwe unawatoa pesa, hiyo ndio code yao namba 1.
Hata km mtaani kuna demu anakuringia wao wanakuletea mpk ghetto 😹😹
Hakuna kisicho na maana kinaandikwa humuSijakataa, ila ukisoma comments za wachangiaji kwenye huu uzi utagundua wengi wetu hatujui kwann tumo humu.. zaidi ni kujaza server za Maxence kwa upuuzi usiokua wa maana. Nchi zilizoendelea wahenga wao hawakuwa hivi, wale wachache weliokua na ujuzi wa kusoma na kuandika waliutumia vizuri na maandiko yao ukisoma asilimia kubwa ni madini tupu.. hivi ushawahi kuwaza after 20 years mtoto wako akija kusoma michango unayoitoa humu atawaza kwamba we ulikua ni mtu wa namna gani??
Maana vitukuu vyako.. maana internet is forever, unahisi wataambulia chochote cha Maana kwel?
Mkuu, mtoa mada aliandika mawazo yake.. jaribu kupitia post za chini utaona walichoandika ndugu zanguHakuna kisicho na maana kinaandikwa humu
We ndo huna maana
Yaani unasema mada ya jinsi ya kujinasua kwenye mazingira hatarishi ya wahuni na vibaka ni ujinga?
Wahuni wa bongo wanaibia raia na kuwadhuru Ili wapate hela ya kula.wale sio wahuni wale ni watu waliopagawa!.
uhuni ni gharama unatakiwa uwe na pesa sio ya mawazo, sasa hiyo ndo unafanyia starehe unanunua gari unatupita barabarani spidi kali halafu unafanya drift!!, hapo kiunoni bonge la pisto na mibangi kwenye gari ila bangi original sio hizi zakuchizisha watu!.
muhuni huna hata ghetto kali..🤣
Ni wewe itakua🤣🤣🤣🤣😹😹😹
Sio mimi bhana, hiyo account leo ndio mara ya kwanza naiona min 🤣
Ila kasema kweli hiyo michips sio mizuri, mnapiga show sec km kuku..!!
Muwe mnakula ugali wa dona. 😹
Mimi labda unilinganishe na huyu mwamba walau!
🤣🤣🤣Mkishavuta makushabu mnajionaga madude makubwa 🤣🤣
Ya kuambiwa changanya na zako labda sio wahuni wa MBAGALA UKO MAJI MATITUWanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road
Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua
Hapa nitawapa mbinu kadhaa
1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia. Oyaa Uncle nigei jero ya fegi Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure
2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k
3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua
4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga
5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum
6. Usikae home Kinyonge
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako
7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge
8. Juana na wazazi au ndugu zao
9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
Sasa nausiache kutuambia mitaa ipi ya kihuni unapatikana au unajichanganya nao.?Wanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road
Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua
Hapa nitawapa mbinu kadhaa
1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia. Oyaa Uncle nigei jero ya fegi Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure
2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k
3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua
4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga
5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum
6. Usikae home Kinyonge
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako
7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge
8. Juana na wazazi au ndugu zao
9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
Oyaah mimi ukinigei jaga tu nikachukue zangu kamba kwa Kapachino pale, Oyaa nakulindia mpaka demu wako!Wahuni hawaendi Gym, wahuni utawakuta maskani ..
Hizo jero jero / buku waungie tu mara moja moja ( one time moja unawaambia tu " Mazee mwenyewe sielewi).
Timba maskani zao, tembeza tano ile ki-rasta( mtafute mkali agiza Kama bush / Nga/ sungura / kuku)..
Shiriki kwenye matukio yao ya kijamii ukipata muda...
Kama Kuna deal za hapa na pale wasanue...
Usikaribishe muhuni mtaani kwako.
Usiwabandulie madem zao ( uliza ukipewa visa piga mbupu)
Utaishi nao ile poa masta..Muhuni hafadhiriki
Siyo smart maana wahuni wapo tena wakubwa..nimewataja . Sema kwa akili ndogo za mtu anaweza kudhani tanzania hakuna wahuni wahuni tanzania wameshika dolaMkuu upo smart sana, najivunia nchi yangu kuwa na watu kama wewe .
Unamjua Mzee Kachimbeubungo?Kina Matumla wamehama wapo Mbagala. Keko hakuna ambaye hamjui Muddy. Sisi home kulikuwa jirani na Mzee Khasim aliyeimbwa na Muhidin Gurumo
mtu bee univue kiatu? sio kinyonge labda ukutane na offsa la kuvimba ( mkate)... Unachoreshwa tu hata mida mida tutaishi mwanangu 👊👊 lazima ulegeze nafsi kunjaniOyaah mimi ukinigei jaga tu nikachukue zangu kamba kwa Kapachino pale, Oyaa nakulindia mpaka demu wako!
Ila Usiniambie huna, nakuvua viatu!