Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Kina Matumla wamehama wapo Mbagala. Keko hakuna ambaye hamjui Muddy. Sisi home kulikuwa jirani na Mzee Khasim aliyeimbwa na Muhidin Gurumo
Dah kweli wewe mzawa kaka ,msalimie Sana Muddy ,Mimi zamani ile nikikaa mitaa ya Machungwa Ila torori ,keko juu ,Magurumbasi zilikuwa sehemu zangu za kujidai na wazee wahuni akina mzee Kyamba

Keko nilienda kujificha baada ya msala nyumbani .

Dah wasalimie Sana akina ,Salma sume ,bakari kimotco na afande mwinjuma
 
Jamaa bado Sana,kwenda kufanya nao zoezi,kujua wazazi wao,kurudi usiku , hahahhaahahah,unawafahamu wahuni kweli,watu wamevurugwa halafu ujipeleke kwenye kambi yao,acha hizo
Hao wahuni wako wapo
Nimetamba Buguruni, Buza, Temeke, Mbagala na Mwananyamala sijaona muhuni wa kujichukulia changu na me huwa najiachia
 
Huku sisi tuna wasela nnya!.

muhuni anajua kutafuta pesa, pili anajui kuitumia anaweza akakaa miezi ama mwaka huoni ana misheni lkn anakula,anakunywa na anadrive maana wahuni wanapiga dili moja la maana anakula maisha sio watu wakutumia nguvu sanaa kutafuta pesa ni akili!, huwa wanakuwa radhi sana hata kuua ukigusa familia yake!.. sasa hapa bongo muhuni anaiba kwao badala yeye ndo akatafute alete aokoe jahazi!.
muhuni unafanya tukio unakamatwa na polisi wilaya hiyohiyo ama mkoa huohuo!, muhuni akifanya tukio mkimkosa ndo mmemkosa na mkimkamata kama sio nje ya nchi basi mbali.. sa mtu anafanya tukio zito huna hata pesa yakukimbilia unaenda kujificha kwenye magheto ya watu ambao nao wakija kupigwa mabanzi ya shingo wanakutoa...🤣
 
Kaa nao mbali kadri unavyoweza.
Wana akili fupi sana hao jamaa, kuna ambao hawana cha kupoteza, kukutia beto la tumbo kwa kosa la kipuuzi hawaoni kazi.

Wanachomana sana visu hao jamaa, ila habari hazisambai kwasababu ya status yao ya uhuni.
Mmekosana kidogo tu, wanaanza kusakana wachomane visu kuoneshana ubabe wa kijinga.

Ishi maisha yako tu na sio uish ili wahuni wakuone mwamba au mbabe, hujui kua kila mbabe na mbabe wake??
 
Wagongee mademu zao ili wakuone rijali
Hahaaa nilikamataga kidemu fulani kumbe ni kidemu cha wahuni.

Nimekisindikiza, tulipofika maeneo flani kikaniambia, wewe ishia hapa urudi, mimi nikafosi twende.

Tuliposogea boda moja ikaja kupaki mbele yetu, ina panya watatu, halafu akaitwa ''we mariam njooo" kumcheki demu anatetemeka kwa uoga.

Sikuonyesha uoga, wakachukua demu wao wakasepa.
 
Nipo curious kujua ulikua UNAISHI mbagala ipi..
 
Miaka ya 90 huko moshi kulikua na wahuni , wanazamia Nairobi wanaiba ndinga kali kali tu wanazichimbia handaki , kitu ikitoka huko piru, ipo sokoni kwa I'd tofauti kabisa, wale wahuni walimiliki mpaka private jet zao wenyewe .
 
Stupid Africans on your primes!
Kuringishiana na kushindania mambo ya kitaahira
Elimu ni muhimu sana, ila lawama zote zitawatafuna viongozi wenu mliowapa dhamana. Najua watajilimbikizia mali kipindi wakiwa na nguvu ila wakibahatika kuzeeka na kushindwa kupata usingizi sababu ya hekima na busara zinazoambatana na umri ndo watakumbuka wajibu wao kuokoa vizazi vya vijana waliopotea sababu ya umaskini uliotokana na elimu mbovu, ambayo kwa kiasi kikubwa imechangia vijana wengi kupotea wakati wa balehe sababu ya ujinga"

As a third world country, tulipaswa kujifunza kwenye nchi zilizotutangulia kwa kuchukua mifano mizuri na kuepuka kurudia makosa waliopitia.

Kama nyie ni wahuni kweli serikali iwape viza muhamie Haiti, Colombia huko ama Mexico.. Hapo South tu mnadondoshwa kila siku kama Kunguni zilizokutana na dawa Original and still mnajikuta great thinkers kuandika utopolo kwenye platform yenye nguvu ya kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii yetu. Shame on You
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…