Mbinu za kujua demu/mke wako katoka kubanduliwa

Mbinu za kujua demu/mke wako katoka kubanduliwa

mbona ni simple tu mkuu achuchumae nalaf mnusishe hata sigara zote zinatoka
 
Hahaaaaaaaaa
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png

Jumatatu shule

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mkiambiwa ukweli mnakimbia
 
Wakuu samahanini kwa lugha niliyoitumia ila mmenielewa.Ni hivi ukitaka kujua demu/mke wako katoka kubanduliwa fanya hivi
1:Jaribu kuchek chupi yake ,utaona imechafuka kuliko kawaida ,hii hutokea pale demu anayechepuka huwa hanawi vizur hivyo shahawa hubak nying ndani ,hivyo zinatiririka akiwa anatembe hivyo kuchafua chupi ,wewe unachotakiwa kufahamu ni kunusa tuu chupi mara unapoiona imechafuka isivyo kawaida,kama hujui harufu za shahawa jifunze mjini hapa mnaibiwa
2;Ukimwona demu/mke wako anakua na wivu sana kwako jaribu kufuatilia maana ,mwanamke akishagongwa nje wivu wake huongezeka mara dufu.
3.Huwasema sana rafiki zake,ukiona demu/mke wako anawaponda sana rafiki zake mbele yako kila mara ujue anakusaliti ,hii ni mbinu hutumia sana wanawake
4;Ukiona demu/mke wako anapokea simu anavyotaka ujue kuna ishu inaendelea jaribu kufuatilia
Hii ni mpya kama ulikua hujui ongeza na zako tuelimishane
Toka umezaliwa mpaka utakapokufa hutakuja kuwajua wanawake, achana na hao viumbe kabisaa.. ukihangaika kutafuta habari zao utakufa mapema sana..
 
Akisema yupo na shoga zake bila kutaja jina... [emoji626]
 
Upuuzi tu yaani nitoke Kazi au atoke kazini alfu nianze kugagua chupi

Ukiona unataka kufanya hvyo mnk unataka kumuacha mwanamke huyu kwa namna hvuo ila kama utaki kumuacha bas acha aliwe tu hkn nmna

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Umri wa ujana una ndoto za ajabu sana. Mtu anaweza akaoa / kuolewa na Malaya kisha anaota kuwa atakuwa wa kwake peke yake HOW??


Ukubwani unaona hayana maana yyt ni kufight kuitafuta chapaa tu
Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom