Mbinu za kujua demu/mke wako katoka kubanduliwa

mbona ni simple tu mkuu achuchumae nalaf mnusishe hata sigara zote zinatoka
 
Toka umezaliwa mpaka utakapokufa hutakuja kuwajua wanawake, achana na hao viumbe kabisaa.. ukihangaika kutafuta habari zao utakufa mapema sana..
 
Akisema yupo na shoga zake bila kutaja jina... [emoji626]
 
Upuuzi tu yaani nitoke Kazi au atoke kazini alfu nianze kugagua chupi

Ukiona unataka kufanya hvyo mnk unataka kumuacha mwanamke huyu kwa namna hvuo ila kama utaki kumuacha bas acha aliwe tu hkn nmna

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Umri wa ujana una ndoto za ajabu sana. Mtu anaweza akaoa / kuolewa na Malaya kisha anaota kuwa atakuwa wa kwake peke yake HOW??


Ukubwani unaona hayana maana yyt ni kufight kuitafuta chapaa tu
Kweli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…