Mbinu za kulila DUBWI

Mie nilipoona heading nikaja fasta nikajua Dumbwi ni aina mpya ya wanawake labda ni wale wafupi wenye matako makubwa kumbe mambo ya kamari..?!
Hujui kwamba kamari ni Kharamu.?
 
Uzi ufungweeee

Wachina wanavuna sana mijihela

Ova
 
Sina uhakika kama nikweli,chukua sim ndgo (kiswaswadu) ukifika pale ktk mashine ipo lenz hiv kama jicho, wakat ushatumbukiza token zako na kuruhusu mashine ifanye kazi ww washa tochi na bonyeza namba kubwa ambayo ndio utakula pesa nyingi,mfano 100

Nikama umeshika remont ya tiv,
Angalizo:- usifanye ukagundulika ni hatar.
 
umeniongezea mbinu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…