Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Mimi shida yangu nataka kuwa kuwa na ujuzi wa kuandika hizo project proposal/writer up. Unaweza kunisaidiaje mkuu. Au kama unaweza nipatatia maelezo namna ys kuandika hizo proposal naomba unisaidie.