Mbinu za kupata Mishangazi ya JF

Nyie vitoto vya 90s bado vibichi hamuwezi kuwa mashangazi. Early 80s kurudi nyuma, yaani wale wako 40s ndio mashangazi 🤣🤣🤣
Wamesema eti nimeshaqualify kuwa mshangazi, RR huyo ndio kasema.

Hela ushakopa za kidate chako cha kesho? Kama bado niko kuokoa jahazi. Lazima tushirikiane hii dhambi yako ya kuchepuka! 😀
 
Kijana naomba namba yako ya simu....
 
Wamesema eti nimeshaqualify kuwa mshangazi, RR huyo ndio kasema.

Hela ushakopa za kidate chako cha kesho? Kama bado niko kuokoa jahazi. Lazima tushirikiane hii dhambi yako ya kuchepuka! 😀
Utakuwa shangazi kwa vitoto vya 2000, kwetu wazee wewe ni pisi kali, ukiguswa kidogo dk6 tunawaza mengine🤣🤣

Ndio napiga simu hapa, nikiwa na 200k si itatosha kumalizana na hii dhambi, nataka niifanye complete nisibakishe kitu🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…