Mbinu za kupata Mishangazi ya JF

Mbinu za kupata Mishangazi ya JF

Pisi mnafeli wapi?

Naona sasa mashangazi wanaanza kutrend mjini kwa kasi ya 5G!

Pisi mjipange. Mashangazi wanasomba kijiji... mabishoo wanataka kitonga, msingi 'kusimamia kucha'. 😎

-Kaveli-
 
Wanatumia nguvu nyingi sana aiseeee...Kuna Mmoja aliwahi tumia hii mbinu ya kunidolishia nyumba na gari nilimvua vyeo immediately!
Uliangalia ile interviw ya mume wa miriam bonge???
Alivyokua anasifia ractis
Ni balaa
 
Wanatumia nguvu nyingi sana aiseeee...Kuna Mmoja aliwahi tumia hii mbinu ya kunidolishia nyumba na gari nilimvua vyeo immediately!
Na pia inategemea unamringishia nani.....Sasa unaweza kumringishia mtu kumbe yeye anavyo kukuzidi
 
Na pia inategemea unamringishia nani.....Sasa unaweza kumringishia mtu kumbe yeye anavyo kukuzidi
Hapo ndio Kisanga!Binafsi hata kama kanizidi hanitetemeshi maana kuwa na Mimi haimaanishi kuwa zile nyumba ndio zitakuwa zangu😁
 
Back
Top Bottom