Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Napenda sana nyuzi kama hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂😂😂😂Mkuu imebidi nipaki gari yangu Range Rover Evoque ya rangi ya Dark blue pembeni ya barabara nisome uzi wako kwanza
2013 ni mtoto Hajabalehe huyoMashangazi tunaanzia age gani? Binafsi ili mtu aniite mshangazi anatakiwa kuwa amezaliwa kuanzia 2013 hadi sasa.
Huu ndio ugonjwa wao,,,hakikisha pm iko wazi kuanzia sasa 😅😅Mkuu imebidi nipaki gari yangu Range Rover Evoque ya rangi ya Dark blue pembeni ya barabara nisome uzi wako kwanza
Mashangazi yana grade yake,,, ili uende sawa na mashangazi inatakiwa walau uwe uko vizur japo kiasiMashangazi hayadati na mambo kama hayo madogo,kwanza hela yanazo kwa hio ukiwa una kula bata sehemu zao unawapata kirahisi tu tena kwa kukutunuku pasi hata na ku~fake!
Mbunye za moto motoDah project kabisa hii, lengo ni ku WIN tu mbunye au kuna Jambo lingine
Mashangazi wametukosa!eti watudolishie nyumba zao na magari yao🙄🙄🙄🙄Kumbe ndyo zenu. Mtadaka watoto wenzenu labda wanaodata na supermaket
ya nin kujipa stress ya ku~fake wakati ukizagaa maeneo yao unawapata?hawa wa humu ni vimbaumbau na midume ilojivisha uanamke yatapeli mandeziMashangazi yana grade yake,,, ili uende sawa na mashangazi inatakiwa walau uwe uko vizur japo kiasi
Ila mijimama wewe nenda na nguo zako tu yatakupokea na kukulea na yanakawaida ya kusimamia show nzima
Chief unawachokoza,,,wakali kama nyuki haoya nin kujipa stress ya ku~fake wakati ukizagaa maeneo yao unawapata?hawa wa humu ni vimbaumbau na midume ilojivisha uanamke yatapeli mandezi
man,hakuna mnyonge akiwa nyuma ya keyboard nitaruka nao tu vile watakuja wakinishinda nalog out watukane IDChief unawachokoza,,,wakali kama nyuki hao
Nimekupa medali ya gold chief 😅😅man,hakuna mnyonge akiwa nyuma ya keyboard nitaruka nao tu vile watakuja wakinishinda nalog out watukane ID
Tunarudia kuwaambia haiombwi hivyo 😆Mashangazi wametukosa!eti watudolishie nyumba zao na magari yao🙄🙄🙄🙄