Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #121
😂😂😂 nipe muda nitafakari,,,ili lolote likitokea nisijilaumu hahahaKijana sina maneno mengi, sina muda wa kuchat....naomba acc namba.
Tukutane next weekend
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 nipe muda nitafakari,,,ili lolote likitokea nisijilaumu hahahaKijana sina maneno mengi, sina muda wa kuchat....naomba acc namba.
Tukutane next weekend
TanzaniaW
Which country is this ?
Angalia usije ukawiniwa wewe... 🤣 🤣 🤣
😂Ni kamzozo kwa kwel
Mishangazi kuanzia 40'sToa muongozo, mashangazi yaanzia umri gani?
Sisi tunaotumia footswagen tupe mbinu zetu, nina miadi na mdada kesho, nikishuka kwa mwendokasi nifanyeje ili nisionekane mnyonge?
Wana nafasi nzur sana ya kufikiriwaKwahio wale wanaowatetea wanawake jf wanapewa tunda na mishangazi
Madam kwangu ni mwanamke ambaye anajielewa na mwenye heshima zakeNasikia Kuna madam,mshangazi na jimama
Kwahyo tofaout zao ni ZIPI ,?
Misijambo, hofu kwako shanga...😋Unaendeleaje mkuu?
Si ndo yeye sasa anajifanya kama mzungu anataka akapande mlima kilimanjaro au aseme kaishi mambeleNi tips za mshangazi wa kizungu au sisi black pipo?? Unampoteza bro....
Maana kasema hizo mbinu ni za hao na wewe ukataka kutumia mbinu hizo hizo kwakeHapana
Kilicho karibu kudakwaNyonga au nyonyo???
Mashangazi hatuna mbambamba 😂😂Yaan zote alizoandika ni bila bila Sifuri bin Sifuri,
Shangazi BICHWA KOMWE - njoo utoe maelezo huku
Nikisema ndio......manake hapo atajua nilimuona yeye ni shangazi njaa njaaMaana kasema hizo mbinu ni za hao na wewe ukataka kutumia mbinu hizo hizo kwake
Kupata mbuje la JF 🤣Dah project kabisa hii, lengo ni ku WIN tu mbunye au kuna Jambo lingine
Usipate shida kumuinamisha, unaweza kumbeba kirahisi tu kurahisisha kazi yakoSema Kuna mda inahitaji moyo... imagine umemuinamisha mumamaz wa miaka 44 bafuni
Na huyo unayemwita my asome hapa ajue mbinu unazozitumia juu yake mpaka huo umai ukatengenezwa🤣🤣Hizi mbinu ninazo wapa haimaanishi kwamba mimi binafsi nimezitumia au nilishawahi kuzitumia ila hii inatokana na uzoefu wangu mdogo humu jamvini
Kwakuwa wanawake wanapenda mambo mazuri basi hupenda kuwa na wanaume ambao walau wako njema hata kama hawana pesa mingi kivile ili mradi wapate uhakika wa kutimiziwa mahitaji yao na kutatuliwa shida zao ndogo ndogo.
Kwanza mwamba ingia jukwaa la ujenzi kule halafu ulizia gharama mbali mbali za vifaa vya ujenzi, na ikikupendeza waeza kuulizia sehemu ambayo unaweza kupata viwanja kwa ajili ya makazi, hapo mwamba utakuwa umeanza safari yako ya kuwakaribia mashangazi
Nenda jukwaa la gereji kule kwa wataalamu wa magari, ima jifanye unataka kujua aina nzuri ya gari na upatikanaji wa vipuli kwa bei rahisi,,au kutaka kujua gari gani ndio ziko hot kwasasa, trust me hapo mishangazi itakuwa inakukodolea mimacho kazi kwako
Hakikisha unapoleta mastory katika uzi au unapo comment, tengeneza matukio ambayo yataonyesha kuwa unamiliki gari, kwa mfano "nilipofika pale nikapaki gari yangu kisha nikaenda sehemu fulani au ofisi fulani, mwamba hapo unablow their mind
Ikikupendeza zaidi onyesha unajali sana kuhusu wanawake na uwe mkali kwa kila member ambaye kwa namna moja au nyingine anadharau madam zetu, hapo utakuwa umejipa hadhi ya juu kabisa kuhusu hawa viumbe
Linapokuja swala la kutoka out wikiend onyesha unapendelea kutembelea sehemu ambazo zina hadhi hapo mjini ambazo watu wenye hadhi zao hupendelea maeneo hayo, hii inanikumbusha madam mmoja ambaye alikuwa best yangu alikuwa anawasiliana na mwamba mmoja katika mitandao ya kijamii
Huyo mwamba alikuwa anaswaga si za nchi hii, kila anapoenda basi anamwambia yule madam, kwamba katoka sehemu fulani now anaenda sehemu fulani, mara katoka supermarket fulani na sasa anaelekea kiwanja fulani, na sehumu zote hizo ni zenye hadhi yake mjini, basi yule madam akawa ana hamu kweli ya kuonana na yule mwamba, hao ndio madam zetu.
Anyways turudi katika mada yetu sasa, baada ya hatua hizo now ni hatua za utekelezaji, usiingie pm ghafla kama mvamizi bali tengeneza ukaribu na mshangazi uliye mpoint.
Hakikisha una get their attention kwa kulike comment zao hata kama za kipuuzi, lengo ni kuwa familiar kwake kwahiyo hata ukiingia pm unakuwa sio mgeni kwake
Angalizo, tumieni mbinu zozote mnazo weza lakini msizitumie kwa madam mmoja huku jf huwa napenda kumwita "my" siku hizi, mwenyewe anajijua hahaha! It does'nt matter whether am serious or just joking but i do like her anyway
Mbinu nyingine nitawapa mara baada ya mwanasheria wangu kupatikana hewani naona yupo sehemu ambayo network haipatikani vizuri
Utakuja kunipa medali zangu baadae ukizifuata mbinu hizi
Ni hayo tu!
Hapo sasa umefanikiwa kumvuta karibu huyo mushangazi alafu unashindwa kumuhudimia kuenenda na beats za JF zilizomvutia kwako in real life.😆aisee hii SI ni sawa na kuji tekenya mwenyewe, Kisha ujione Ume furahi?.
Ya nini uji kute taita, akati kwenu jumba la udongo Ali sikika afande sele kwenye darubini.
Mkuu hili tipwa tipwa sio mchezoUsipate shida kumuinamisha, unaweza kumbeba kirahisi tu kurahisisha kazi yako
Jina halisadifiani na manenoKwamba
Maisha ya humu usiyachukulie serious kiivoJina halisadifiani na maneno