Mbinu za kupata Mishangazi ya JF

Mbinu za kupata Mishangazi ya JF

Hao ni mashangazi njaa ndugu mleta mada..mashangaz aina hii anaozungumzia huyu mwamba labda wale wanaowahi sokon asubuhi ili wapate masalo ,kwa mtu anajielewe hawez kua na mwanaume kama muhaya tu mda wote mitu cjui nilipaki gari yangu yote ya nini hayo kwan ukisema nikapaki gari tu haitoshi na mainsha ya maigizo mwanamke anaenitambua anajua tu mapema mda wote viwanja vya juu lakin akiambiwa bando tu anaunga la jero tena kwa kusumbuliwa sana hahaha
 
Mwanasheria kapatikana hewani lkn simu ikazima ghafla naona chaji imeisha ila kaniruhusu niongeze nyingine moja,,,,hakikisha mwamba unakuwa na avatar ya kuvutia hata kama sio wewe halisi,,kumbuka mwisho wa siku avatar yako ndio utambulisho wako wewe member na unakuwa kama ndio wewe,,,hii itakuongezea mvuto fulan hivi

Ili unielewe vizuri angalia madam ambao huwa wana avatar nzur na ambao huwa hawazibadilishi mara kwa mara inakuwa kama utambulisho kwao na zinavutia avatar zao,,,mfano binti yangu kipenzi Mademoiselle she looks nice,,mcheki madam Nifah au my To yeye sometime na avatar zake huwa ananoga sana

The same to you mwamba weka avatar kali trust me inakunogesha

Mwanasheria akipatana hewani ntakuja na nyingine
 
Mwanasheria kapatikana hewani lkn simu ikazima ghafla naona chaji imeisha ila kaniruhusu niongeze nyingi moja,,,,hakikisha mwamba unakuwa na avatar ya kuvutia hata kama sio wewe halisi,,kumbuka mwisho wa siku avatar yako ndio utambulisho wako wewe member na unakuwa kama ndio wewe,,,hii itakuongezea mvuto fulan hivi

Ili unielewe vizuri angalia madam ambao huwa wana avatar nzur na ambao huwa hawazibadilishi mara kwa mara inakuwa kama utambulisho kwao na zinavutia avatar zao,,,mfano binti yangu kipenzi Mademoiselle she looks nice,,mcheki madam Nifah au my To yeye sometime na avatar zake huwa ananoga sana

The same to you mwamba weka avatar kali trust me inakunogesha

Mwanasheria akipatana hewani ntakuja na nyingi
Unajicheleweshea fursa kijana....
Trust me Evelyn Salt huwa nakukubali sana kwa comment zako za kibabe,,,,ishu ni kwamba naweza kukubali halafu ukanidhulumu na usinipe chochote so ni muhimu kumshirikisha mwanasheria coz mwisho wa siku yeye ndo atasimama kizimbani kwa niaba yangu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwanasheria kapatikana hewani lkn simu ikazima ghafla naona chaji imeisha ila kaniruhusu niongeze nyingi moja,,,,hakikisha mwamba unakuwa na avatar ya kuvutia hata kama sio wewe halisi,,kumbuka mwisho wa siku avatar yako ndio utambulisho wako wewe member na unakuwa kama ndio wewe,,,hii itakuongezea mvuto fulan hivi

Ili unielewe vizuri angalia madam ambao huwa wana avatar nzur na ambao huwa hawazibadilishi mara kwa mara inakuwa kama utambulisho kwao na zinavutia avatar zao,,,mfano binti yangu kipenzi Mademoiselle she looks nice,,mcheki madam Nifah au my To yeye sometime na avatar zake huwa ananoga sana

The same to you mwamba weka avatar kali trust me inakunogesha

Mwanasheria akipatana hewani ntakuja na nyingi

Trust me Evelyn Salt huwa nakukubali sana kwa comment zako za kibabe,,,,ishu ni kwamba naweza kukubali halafu ukanidhulumu na usinipe chochote so ni muhimu kumshirikisha mwanasheria coz mwisho wa siku yeye ndo atasimama kizimbani kwa niaba yangu πŸ˜‚πŸ˜‚
Kijana sina maneno mengi, sina muda wa kuchat....naomba acc namba.

Tukutane next weekend
 
W
Hizi mbinu ninazo wapa haimaanishi kwamba mimi binafsi nimezitumia au nilishawahi kuzitumia ila hii inatokana na uzoefu wangu mdogo humu jamvini

Kwakuwa wanawake wanapenda mambo mazuri basi hupenda kuwa na wanaume ambao walau wako njema hata kama hawana pesa mingi kivile ili mradi wapate uhakika wa kutimiziwa mahitaji yao na kutatuliwa shida zao ndogo ndogo.

Kwanza mwamba ingia jukwaa la ujenzi kule halafu ulizia gharama mbali mbali za vifaa vya ujenzi,,na ikikupendeza waeza kuulizia sehemu ambayo unaweza kupata viwanja kwa ajili ya makazi,,,,hapo mwamba utakuwa umeanza safari yako ya kuwakaribia mashangazi

Nenda jukwaa la gereji kule kwa wataalamu wa magari,ima jifanye unataka kujua aina nzuri ya gari na upatikanaji wa vipuli kwa bei rahisi,,au kutaka kujua gari gani ndio ziko hot kwasasa,,,,trust me hapo mishangazi itakuwa inakukodolea mimacho kazi kwako

Hakikisha unapoleta mastory katika uzi au unapo comment,,,tengeneza matukio ambayo yataonyesha kuwa unamiliki gari,,,kwa mfano "nilipofika pale nikapaki gari yangu kisha nikaenda sehemu fulani au ofisi fulani,,,,mwamba hapo unablow their mind

Ikikupendeza zaidi onyesha unajali sana kuhusu wanawake na uwe mkali kwa kila member ambaye kwa namna moja au nyingine anadharau madam zetu,,,hapo utakuwa umejipa hadhi ya juu kabisa kuhusu hawa viumbe

Linapokuja swala la kutoka out wikiend onyesha unapendelea kutembelea sehemu ambazo zina hadhi hapo mjini ambazo watu wenye hadhi zao hupendelea maeneo hayo,,,,hii inanikumbusha madam mmoja ambaye alikuwa best yangu alikuwa anawasiliana na mwamba mmoja katika mitandao ya kijamii

Huyo mwamba alikuwa anaswaga si za nchi hii,,kila anapoenda basi anamwambia yule madam,kwamba katoka sehemu fulani now anaenda sehemu fulani,,mara katoka supermarket fulani na sasa anaelekea kiwanja fulani,na sehumu zote hizo ni zenye hadhi yake mjini,,basi yule madam akawa ana hamu kweli ya kuonana na yule mwamba,,,hao ndio madam zetu.

Anyways turudi katika mada yetu sasa,,,baada ya hatua hizo now ni hatua za utekelezaji,,usiingie pm ghafla kama mvamizi bali tengeneza ukaribu na mshangazi uliye mpoint.

Hakikisha una get their attention kwa kulike comment zao hata kama za kipuuzi,,,lengo ni kuwa familiar kwake kwahiyo hata ukiingia pm unakuwa sio mgeni kwake

Angalizo,,,tumieni mbinu zozote mnazo weza lakini msizitumie kwa madam mmoja huku jf huwa napenda kumwita "my" siku hizi, mwenyewe anajijua hahaha! It does'nt matter whether am serious or just joking but i do like her anyway

Mbinu nyingine nitawapa mara baada ya mwanasheria wangu kupatikana hewani naona yupo sehemu ambayo network haipatikani vizuri

Utakuja kunipa medali zangu baadae ukizifuata mbinu hizi

Ni hayo tu!

Hizi mbinu ninazo wapa haimaanishi kwamba mimi binafsi nimezitumia au nilishawahi kuzitumia ila hii inatokana na uzoefu wangu mdogo humu jamvini

Kwakuwa wanawake wanapenda mambo mazuri basi hupenda kuwa na wanaume ambao walau wako njema hata kama hawana pesa mingi kivile ili mradi wapate uhakika wa kutimiziwa mahitaji yao na kutatuliwa shida zao ndogo ndogo.

Kwanza mwamba ingia jukwaa la ujenzi kule halafu ulizia gharama mbali mbali za vifaa vya ujenzi,,na ikikupendeza waeza kuulizia sehemu ambayo unaweza kupata viwanja kwa ajili ya makazi,,,,hapo mwamba utakuwa umeanza safari yako ya kuwakaribia mashangazi

Nenda jukwaa la gereji kule kwa wataalamu wa magari,ima jifanye unataka kujua aina nzuri ya gari na upatikanaji wa vipuli kwa bei rahisi,,au kutaka kujua gari gani ndio ziko hot kwasasa,,,,trust me hapo mishangazi itakuwa inakukodolea mimacho kazi kwako

Hakikisha unapoleta mastory katika uzi au unapo comment,,,tengeneza matukio ambayo yataonyesha kuwa unamiliki gari,,,kwa mfano "nilipofika pale nikapaki gari yangu kisha nikaenda sehemu fulani au ofisi fulani,,,,mwamba hapo unablow their mind

Ikikupendeza zaidi onyesha unajali sana kuhusu wanawake na uwe mkali kwa kila member ambaye kwa namna moja au nyingine anadharau madam zetu,,,hapo utakuwa umejipa hadhi ya juu kabisa kuhusu hawa viumbe

Linapokuja swala la kutoka out wikiend onyesha unapendelea kutembelea sehemu ambazo zina hadhi hapo mjini ambazo watu wenye hadhi zao hupendelea maeneo hayo,,,,hii inanikumbusha madam mmoja ambaye alikuwa best yangu alikuwa anawasiliana na mwamba mmoja katika mitandao ya kijamii

Huyo mwamba alikuwa anaswaga si za nchi hii,,kila anapoenda basi anamwambia yule madam,kwamba katoka sehemu fulani now anaenda sehemu fulani,,mara katoka supermarket fulani na sasa anaelekea kiwanja fulani,na sehumu zote hizo ni zenye hadhi yake mjini,,basi yule madam akawa ana hamu kweli ya kuonana na yule mwamba,,,hao ndio madam zetu.

Anyways turudi katika mada yetu sasa,,,baada ya hatua hizo now ni hatua za utekelezaji,,usiingie pm ghafla kama mvamizi bali tengeneza ukaribu na mshangazi uliye mpoint.

Hakikisha una get their attention kwa kulike comment zao hata kama za kipuuzi,,,lengo ni kuwa familiar kwake kwahiyo hata ukiingia pm unakuwa sio mgeni kwake

Angalizo,,,tumieni mbinu zozote mnazo weza lakini msizitumie kwa madam mmoja huku jf huwa napenda kumwita "my" siku hizi, mwenyewe anajijua hahaha! It does'nt matter whether am serious or just joking but i do like her anyway

Mbinu nyingine nitawapa mara baada ya mwanasheria wangu kupatikana hewani naona yupo sehemu ambayo network haipatikani vizuri

Utakuja kunipa medali zangu baadae ukizifuata mbinu hizi

Ni hayo tu!
Which country is this ?
 
Back
Top Bottom