Mbinu za kupika sotojo / rosti la kitimoto, unaweza kula mpaka ujiume ulimi... Enjoy

Mbinu za kupika sotojo / rosti la kitimoto, unaweza kula mpaka ujiume ulimi... Enjoy

Kama ulichoelezea ndo hicho hapo kwenye sahani, bob kwenye kitimoto uko unga sana.
Yeah, bado sana.

Hapo ngoma inabidi itoke red, mchuzi mzito. Na maelezo yake kama ukiyafuata unatoa boko coz hakuna vikorombezo vingine, yaan hata vitunguu swaumu ili kuboresha radha
 
Ulafi tuh,nyama zoote hizo unaanzaje kula kiti moto?we umeskia wapi kitoweo kinaenda hadi periods??

Uchafu huo nani anataka

Sikujua kama na wewe ni mjinga kiasi hiki,naomba kasome oestrous cycle ndio uje hapa.

Je na madume ya kitimoto nayo huenda period?

Kama hamli kwa imani yenu mkae kutulia lakini sio kueneza ujinga.
 
Sikujua kama na wewe ni mjinga kiasi hiki,naomba kasome oestrous cycle ndio uje hapa.

Je na madume ya kitimoto nayo huenda period?

Kama hamli kwa imani yenu mkae kutulia lakini sio kueneza ujinga.

SASA si umeshasema madume?

Wewe kama una kula,kula tuh kwani nani kakuzuia?hata bible yako imekataza,au nipe kifungu Gani bible imekuruhusu kula huyo mdudu?

So,wanaoliwa ni kitimoto madume tuh?majike hawaliwi...
 
SASA si umeshasema madume?

Wewe kama una kula,kula tuh kwani nani kakuzuia?hata bible yako imekataza,au nipe kifungu Gani bible imekuruhusu kula huyo mdudu?

So,wanaoliwa ni kitimoto madume tuh?majike hawaliwi...

Leo unaiamini biblia si mnasemaga biblia hii ni feki imechakachuliwa[emoji28].

Kuhusu kitimoto kuingia period huo ni uzushi na uongo,hapo ndio mnapokosea kama hamli mkae kutulia sio kueneza upuuzi usio na mantiki.
 
Leo unaiamini biblia si mnasemaga biblia hii ni feki imechakachuliwa[emoji28].

Kuhusu kitimoto kuingia period huo ni uzushi na uongo,hapo ndio mnapokosea kama hamli mkae kutulia sio kueneza upuuzi usio na mantiki.

Bible ni kitabu Cha Mungu alipewa nacho nabii Issa Kwa wana wa Israel, Sasa wazungu wamekichakachua na kukifanya Chao,iweje makao makuu yawe Roma na Jesus alihubir neno lake mashariki ya Kati?we hujiulizi?
 
Leo unaiamini biblia si mnasemaga biblia hii ni feki imechakachuliwa[emoji28].

Kuhusu kitimoto kuingia period huo ni uzushi na uongo,hapo ndio mnapokosea kama hamli mkae kutulia sio kueneza upuuzi usio na mantiki.

Bible ni kitabu Cha Mungu alipewa nacho nabii Issa Kwa wana wa Israel, Sasa wazungu wamekichakachua na kukifanya Chao,iweje makao makuu yawe Roma na Jesus alihubir neno lake mashariki ya Kati?we hujiulizi?
 
Leo unaiamini biblia si mnasemaga biblia hii ni feki imechakachuliwa[emoji28].

Kuhusu kitimoto kuingia period huo ni uzushi na uongo,hapo ndio mnapokosea kama hamli mkae kutulia sio kueneza upuuzi usio na mantiki.

Bible ni kitabu Cha Mungu alipewa nacho nabii Issa Kwa wana wa Israel, Sasa wazungu wamekichakachua na kukifanya Chao,iweje makao makuu yawe Roma na Jesus alihubir neno lake mashariki ya Kati?we hujiulizi
 
Leo unaiamini biblia si mnasemaga biblia hii ni feki imechakachuliwa[emoji28].

Kuhusu kitimoto kuingia period huo ni uzushi na uongo,hapo ndio mnapokosea kama hamli mkae kutulia sio kueneza upuuzi usio na mantiki.

Bible ni kitabu Cha Mungu alipewa nacho nabii Issa Kwa wana wa Israel, Sasa wazungu wamekichakachua na kukifanya Chao,iweje makao makuu yawe Roma na Jesus alihubir neno lake mashariki ya Kati?we hujiulizi
 
Bible ni kitabu Cha Mungu alipewa nacho nabii Issa Kwa wana wa Israel, Sasa wazungu wamekichakachua na kukifanya Chao,iweje makao makuu yawe Roma na Jesus alihubir neno lake mashariki ya Kati?we hujiulizi

Usichanganye ukristo na uyahudi ni dini mbili zenye mafundisho tofauti ingawa shina moja la imani.

Yesu aliagiza injili ienezwe kote sio tena ibaki kukumbatiwa na wayahudi mana wayahudi walimkataa na kumsulubisha.

Ungeleta biblia isiyochakachuliwa ningekuona wa maana sana.
 
Back
Top Bottom