Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hiyo Itakuwa lost-sotoyo.Duh hiyo rost kweli? Au na wewe unajifunza!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Itakuwa lost-sotoyo.Duh hiyo rost kweli? Au na wewe unajifunza!?
NAleta 2kg uzitengeneze kama hutojali😂Hujui kuikausha kitimoto (nukta)
🤣Haya sawaSasa hiyo si style ingine mkuu.... mimi ndo sikutaka ikauke sana... na mbona imekuwa fresh tu nzuri
Usijali, nitajitahidi sana nisiharibu...si unajua tena chakula Cha mgeni chahitaji umakiniNAleta 2kg uzitengeneze kama hutojali😂
Nakuja share location haraka😂Usijali, nitajitahidi sana nisiharibu...si unajua tena chakula Cha mgeni chahitaji umakini
Kama unakuja hv kwenye 100% una 79%! Leo hawapigi bendi huku kibosho umbwe sijui hawajachinja 😁Haya sasa, wate mlioponda upishi wangu leo nime rewind nimeliamshaa... Mlioniponda njooni hapa mnipe maua yangu... Formula ya mapishi ni ile ile niliyoweka.
Atoto Smith Rowe Eneliah Glenn Lavit Mpaji Mungu ephen_ masai dada Scars Ironbutterfly To yeye Dr hyperkid Missy Gf Half american Extrovert Ngongo Matawi ya juu MamaSamia2025 Lewis MVincent
View attachment 2760962
😂😂😂😂Mimi sikukuponda Naanto.Haya sasa, wate mlioponda upishi wangu leo nime rewind nimeliamshaa... Mlioniponda njooni hapa mnipe maua yangu... Formula ya mapishi ni ile ile niliyoweka.
Atoto Smith Rowe Eneliah Glenn Lavit Mpaji Mungu ephen_ masai dada Scars Ironbutterfly To yeye Dr hyperkid Missy Gf Half american Extrovert Ngongo Matawi ya juu MamaSamia2025 Lewis MVincent
View attachment 2760962
Ulijipikia na umekifurahia, hilo ndilo la msingi. Mapishi hayafanani.Sasa hiyo si style ingine mkuu.... mimi ndo sikutaka ikauke sana... na mbona imekuwa fresh tu nzuri
Hahahaha wivu tu...Hiyo Itakuwa lost-sotoyo.
Leo nimeichemsha sanaa kama dakika 60 halafu ilikuwa na mafuta kidogo kwahiyo maji yalivokauka ikaanza kujikaanga yenyewe.. halafu ndo nikatoa nikarost... imekuwa laini vizuri sanaaKama unakuja hv kwenye 100% una 79%! Leo hawapigi bendi huku kibosho umbwe sijui hawajachinja 😁
Sana yaaani, ya leo kiboko... nitakukaribisha siku moja😂😂😂😂Mimi sikukuponda Naanto.
Kinaonekana kilikuwa kitamu sana
Wivu huku tunameza mate!Ningekuwa karibu hapo,nakutuma uniletee maji ya kunywa tu.Ukirudi kukaa imekula kwako.Hahahaha wivu tu...
Kabisa nakubali mkuuUlijipikia na umekifurahia, hilo ndilo la msingi. Mapishi hayafanani.
Usijali... ningekuwa ninaweza kujigawa... ningefungua mgahawa aiseee... sema basi tu... nipo vizuri sana kwenye hiyo sektaWivu huku tunameza mate!Ningekuwa karibu hapo,nakutuma uniletee maji ya kunywa tu.Ukirudi kukaa umekula kwako.
Naanto Mushi amenisikitisha kuniweka kwenye hiyo list, sikuwahi kumpinga, naona ametafuta sababu asitukaribishe😂😂😂😂😂😂Mimi sikukuponda Naanto.
Kinaonekana kilikuwa kitamu sana
Mangi na kitimoto+mbeke/mbege ni uji na mgonjwa🤣🤣🤣Usijali... ningekuwa ninaweza kujigawa... ningefungua mgahawa aiseee... sema basi tu... nipo vizuri sana kwenye hiyo sekta
Wewe na Atoto hamkunipinga ila nilitaka tu kuwakaribisha.. hahahahaNaanto Mushi amenisikitisha kuniweka kwenye hiyo list, sikuwahi kumpinga, naona ametafuta sababu asitukaribishe😂😂
Daaaah yaaani, mpaka nawaza nifungue mahali pa kukikaanga halafu nitafute watu niwapige training waaanze kazi mara mojaaa....Mangi na kitimoto+mbeke/mbege ni uji na mgonjwa🤣🤣🤣
Sema unajua kulirusha vema bossLeo nimeichemsha sanaa kama dakika 60 halafu ilikuwa na mafuta kidogo kwahiyo maji yalivokauka ikaanza kujikaanga yenyewe.. halafu ndo nikatoa nikarost... imekuwa laini vizuri sanaa