Mbinu za kupika sotojo / rosti la kitimoto, unaweza kula mpaka ujiume ulimi... Enjoy

Mbinu za kupika sotojo / rosti la kitimoto, unaweza kula mpaka ujiume ulimi... Enjoy

Haya sasa, wate mlioponda upishi wangu leo nime rewind nimeliamshaa... Mlioniponda njooni hapa mnipe maua yangu... Formula ya mapishi ni ile ile niliyoweka.

Atoto Smith Rowe Eneliah Glenn Lavit Mpaji Mungu ephen_ masai dada Scars Ironbutterfly To yeye Dr hyperkid Missy Gf Half american Extrovert Ngongo Matawi ya juu MamaSamia2025 Lewis MVincent

View attachment 2760962
Kama unakuja hv kwenye 100% una 79%! Leo hawapigi bendi huku kibosho umbwe sijui hawajachinja 😁
 
Kama unakuja hv kwenye 100% una 79%! Leo hawapigi bendi huku kibosho umbwe sijui hawajachinja 😁
Leo nimeichemsha sanaa kama dakika 60 halafu ilikuwa na mafuta kidogo kwahiyo maji yalivokauka ikaanza kujikaanga yenyewe.. halafu ndo nikatoa nikarost... imekuwa laini vizuri sanaa
 
Mangi na kitimoto+mbeke/mbege ni uji na mgonjwa🤣🤣🤣
Daaaah yaaani, mpaka nawaza nifungue mahali pa kukikaanga halafu nitafute watu niwapige training waaanze kazi mara mojaaa....

Nimegundua hii kitu inalipaaa sanaa...
 
Back
Top Bottom