Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku akiweza kutoa kitu cha mfumo kama huu huenda tukaelewanaYaaani mbaya.....
Nimeitest Kwa picha...
Hajui rosti huyu
Sheikh wangu hadi wewe unapiga mdudu?🤣Mzee kama haya maelekezo ndio yanazalisha hicho ambacho nakiona kwenye hio sahani hapo basi una safari ndefu sana katika tasnia ya rosti ya mdudu.
Hujawahi kula ukapiz....?Kupizi tena duh 😂😂
Aah sheikh mdudu ni sunnah pale ambapo njaa imekupa mtihani na hamna namna ingine basi ni kujipigilia mdudu safi sio dhambi 🤣Sheikh wangu hadi wewe unapiga mdudu?🤣
Unapizi nini?Hujawahi kula ukapiz....?
Mi nishawahi
MaegiUnapizi nini?
Dah Hilo chimbo......hatariiiiiSiku akiweza kutoa kitu cha mfumo kama huu huenda tukaelewana
View attachment 2752551
Nilikua ya kazimoto porkSiku akiweza kutoa kitu cha mfumo kama huu huenda tukaelewana
View attachment 2752551
aisee 😅Maegi
Wivu tu huna lolote... ningekupa ule ungejingata nakuambiakama mavi
Nyie mmezoea kupika mpaka kila kitu kiungue kipoteze vitamin... mi hapo hata karoti na hoho nikila nazisikia ule ubichi wake... Anyway, labda mapishi yanatofautianaMh kama ndyo hiyo kwa picha basi umetupiga...nyanya imesimama dede
ngurue nyama yake inanuka sanaWivu tu huna lolote... ningekupa ule ungejingata nakuambia
Naaaam hapo sawa sawa kabisa.... hiyo imekaa vizuri... ukipata muda kipike nyumbani mwenyewe....Kitu ichi apa 😋😋😋View attachment 2752534View attachment 2752535
Hahahahaaa hamna mkuu... huo ni muongozo tu... hiyo kwenye picha nilipika kitambo ila kwa aina ya upikaji wangu inakuwa ipo safi mnoo.... ni tamu haswaa.. picha isikudanganye mkuuMzee kama haya maelekezo ndio yanazalisha hicho ambacho nakiona kwenye hio sahani hapo basi una safari ndefu sana katika tasnia ya rosti ya mdudu.
Sasa hapo nimekuelewa, hizo nyama si wanakuwa wamezikaanga sana ndo mana.... Nimeshakula na mimi kama hizo za kununua, zinakuwa na ladha ila ni kwamba nyama wanazikaanga sana... saa nyingine inakuwa ni over cooking..Siku akiweza kutoa kitu cha mfumo kama huu huenda tukaelewana
View attachment 2752551
Inawezekana mkuu.. kitimoto ni tamuu balaaaKupizi tena duh 😂😂
Naaam mkuuu... tupo pamoja.. huwa unapika mwenyewe au cha kwenye bar.. jaribu cha home made siku mojaMambo yangu haya
Weeee wasema ukweli..... embu nikaribishe hicho nije kushuhudia na mimi... hahahahaHujawahi kula ukapiz....?
Mi nishawahi