ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Ungetupa hiyo picha sasaHiyo ni wiki nne nyuma... niliyoipika leo ndo balaa funga kazi mpaka nimeleta uzi huku... sio mchezooo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungetupa hiyo picha sasaHiyo ni wiki nne nyuma... niliyoipika leo ndo balaa funga kazi mpaka nimeleta uzi huku... sio mchezooo...
Hamna hiyo ni picha ya niliyoipika wiki 4 nyumaa... leo nimepika imekuwa safi zaidi... halafu mzikute nyie ndo hamjui kupika...Yaaani mbaya.....
Nimeitest Kwa picha...
Hajui rosti huyu
Sawa mkuu... ila hiyo ni variety moja ... kuna ya mchicha pia nikipika ni hatari... kwenye mapishi nipo vizuriiUkimpata rosti la kazimoto pork.....utapiz wewe kama hiyo hapo unaona ni kazi kazi
Chuma hichoo wewee...kitimotooo.😡😡😠😠😠
Yaaani upo sahihi mkuu, ikishalainika tu kwa kuichemsha na kama uliweka limao basi inakuwa na taste nzuri..Uzuri wa kitimoto hakinaga makeke mengi hata ukikosea kuipika bado taste yake haiwezi kufanana na kuku iliyopikwa kiufundi
Mmmh.. hii vita mi sipo... hahahaa🤣🤣 THE BIG SHOW na FaizaFoxy mnaitwa huku
Njoo mle sotojo mnawiri
Sio mnatembea mtaani mmekondeana na kupauka Kama mwaka saruji🤣🤣🤣
Daaaah pole sana aiseee... nakusikitikiaaaMkuu sisi tumekatazwa kuanzia ya kuchoma, kurosti, kuoka hata kuchemsha supu.
Hamnaa, familia wamesafiri sasa nikaona hii kula migahawani nitakuja kudhohofika ndo maana najitahidi kupikaa..🤣🤣Bila shaka hujaoa mkuu
Nyie hamjaonja cha leo.... hicho ni picha tu ya nilichopika majuzi... ya leo sikupata muda wa kupiga picha ila kiilivyokuwa kitamu nikaona nilete uzi kabisa kwa wadauSana yaan
Shukrani mkuu, nitajitahidi next weekend nifanye haya mamboHabari wakuu, kwa wale wadau wa hii nyama yetu pendwa, ngoja leo nikupe mbinu.
1. Nunua nyama yako, ni vizuri kama atakukatia katia pale.
2. Weka nyama kwenye sufuria, weka na maji, halafu anza kuisuuza ili uondoe vile vimifupa vidogo vidogo.
3. Weka nyama kwenye sufuria safi, kisha kamulia limao, tia na chumvi halafu uichanganye.
4. Washa jiko lako la gesi uibanike ukiwa umeifunikia. (Usiweke maji kwanza)
5. Itachemka kwa kujichuja maji yenyewe. Kama haina mafuta sana yale maji ya kwanza yakikauka hapo unaweza sasa kuweka maji mengine na uiache walau kwa dakika 25..... kama ina mafuta sana, mimi huwa nachofanya siongezi maji bali naacha mpaka zile nyama za mafuta zinajichuja mafuta na kuanza kujikaanga... hapo sasa ni kukoroga ili isishike chini, ikianza kubadili rangi... ondoa kipande kimoja kimoja uweke pembeni...
6. Chukua sufuria mpya kaanga kitunguu, kikiva kidogo weka karoti, hoho kwa pamoja na uweka na pili pili ambayo umeikatia katia vipande vidogo vidogo...
7. Baada ya hapo, weka ile nyama kwenye mchanganyiko wa karoti na hoho halafu uikorogo mpaka ichanganyika vya kutosha.
8. Ikishachanganyikana, weka nyanya ili kutengeneza mchuzi.
9. Endelea kuchanganya, usifunikie kwa sababu haina maji itashika kwenye sufuria, wewe koroga tu vya kutosha.
10. Mchanganyiko ukikolea, sasa weka maji kidogo sana na ukoroge, ukiona mchuzi kidogo unejitengeneza, basi waweza funikia kwa dakika moja au moja na nusu...
11. Kisha funua na endelea kukoroga kwa dakika kama tatu zingine, na chakula chako kitakuwa tayari.
12. Huwa inapendeza kama utakula na ugali, ndizi za kukaanza, au Chipsi yote inaenda vizuri sana. Pembeni ukiwa na parachichi itapendeza zaidi.View attachment 2752470
Leo sikupiga bahati mbaya... nimemaliza kula ndo nikaandika uzi...Ungetupa hiyo picha sasa
Yaani ni mateso bila chuki 🙆♂️Daaaah pole sana aiseee... nakusikitikiaaa
🤣🤣SawaNyie hamjaonja cha leo.... hicho ni picha tu ya nilichopika majuzi... ya leo sikupata muda wa kupiga picha ila kiilivyokuwa kitamu nikaona nilete uzi kabisa kwa wadau
Pamoja mkuu... ulete feedback kabisaShukrani mkuu, nitajitahidi next weekend nifanye haya mambo
Wakati mwingine tunapitishwa kwenye mitihani sana, imagine unazungumzia rost na sisi ndiyo tumekatazwa kula
Mzee kama haya maelekezo ndio yanazalisha hicho ambacho nakiona kwenye hio sahani hapo basi una safari ndefu sana katika tasnia ya rosti ya mdudu.Habari wakuu, kwa wale wadau wa hii nyama yetu pendwa, ngoja leo nikupe mbinu.
1. Nunua nyama yako, ni vizuri kama atakukatia katia pale.
2. Weka nyama kwenye sufuria, weka na maji, halafu anza kuisuuza ili uondoe vile vimifupa vidogo vidogo.
3. Weka nyama kwenye sufuria safi, kisha kamulia limao, tia na chumvi halafu uichanganye.
4. Washa jiko lako la gesi uibanike ukiwa umeifunikia. (Usiweke maji kwanza)
5. Itachemka kwa kujichuja maji yenyewe. Kama haina mafuta sana yale maji ya kwanza yakikauka hapo unaweza sasa kuweka maji mengine na uiache walau kwa dakika 25..... kama ina mafuta sana, mimi huwa nachofanya siongezi maji bali naacha mpaka zile nyama za mafuta zinajichuja mafuta na kuanza kujikaanga... hapo sasa ni kukoroga ili isishike chini, ikianza kubadili rangi... ondoa kipande kimoja kimoja uweke pembeni...
6. Chukua sufuria mpya kaanga kitunguu, kikiva kidogo weka karoti, hoho kwa pamoja na uweka na pili pili ambayo umeikatia katia vipande vidogo vidogo...
7. Baada ya hapo, weka ile nyama kwenye mchanganyiko wa karoti na hoho halafu uikorogo mpaka ichanganyika vya kutosha.
8. Ikishachanganyikana, weka nyanya ili kutengeneza mchuzi.
9. Endelea kuchanganya, usifunikie kwa sababu haina maji itashika kwenye sufuria, wewe koroga tu vya kutosha.
10. Mchanganyiko ukikolea, sasa weka maji kidogo sana na ukoroge, ukiona mchuzi kidogo unejitengeneza, basi waweza funikia kwa dakika moja au moja na nusu...
11. Kisha funua na endelea kukoroga kwa dakika kama tatu zingine, na chakula chako kitakuwa tayari.
12. Huwa inapendeza kama utakula na ugali, ndizi za kukaanga, au Chipsi yote inaenda vizuri sana. Pembeni ukiwa na parachichi itapendeza zaidi.View attachment 2752470
Kupizi tena duh 😂😂Ukimpata rosti la kazimoto pork.....utapiz wewe kama hiyo hapo unaona ni kazi kazi