ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
OK. Mimi pia ni mtaalam wa maji chukua mchoro huoGER detector
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK. Mimi pia ni mtaalam wa maji chukua mchoro huoGER detector
Mkuu tuchekiane kama uwezekano upo, PMOK. Mimi pia ni mtaalam wa maji chukua mchoro huo
Huko dodoma maji kuyapata ni kuanzia mita 80Shukrani kiongozi, samahani kama kuna wadau wanachimba visima kwa dodoma unaweza nichekia namba zao niwaone maana jamaa kufanya ivo anadai 300k 😅
Kama unayo channel niunganishe mkuu, sijapata mtu(kampuni) wa uhakika badoHuko dodoma maji kuyapata ni kuanzia mita 80
Unachimba pia au unadetect tu mkuu!
Ebwana, taarifa niliyo nayo hawezi kufanya kazi Dodoma. Sababu moja yeye ana mitambo inayochimba kwa technologia ya mud rotter huko Dom wanahitaji Hammer (njia ya kupiga na kupuliza upepo miamba). Njia anayotumia yeye inafaa mazingira ya ukanda huu wa Pwani usio na miamba. Uko mji gani mkuu?Tunamsubiri Class mate
Ebwana, taarifa niliyo nayo hawezi kufanya kazi Dodoma. Sababu moja yeye ana mitambo inayochimba kwa technologia ya mud rotter huko Dom wanahitaji Hammer (njia ya kupiga na kupuliza upepo miamba). Njia anayotumia yeye inafaa mazingira ya ukanda huu wa Pwani usio na miamba.Sawa Mkuu ntashukuru sana!
Sawa kaka, shukrani. Kuna jamaa nimewapata tupo tunaelekea siteEbwana, taarifa niliyo nayo hawezi kufanya kazi Dodoma. Sababu moja yeye ana mitambo inayochimba kwa technologia ya mud rotter huko Dom wanahitaji Hammer (njia ya kupiga na kupuliza upepo miamba). Njia anayotumia yeye inafaa mazingira ya ukanda huu wa Pwani usio na miamba.