Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Hongera sanaa, upo sahihi kulingana na mazingira yako ya shughuli za kila siku.
Ila uhalisia wa maisha ya mtanzania ni 5% wenye uwezo wa kuingiza kipato cha 1 million per month.

Nitafurahi pia nikisikia unaendelea kuwa sababu ya wengine kushiriki mafanikio yako kwa kuwashika mkono,maana vilio ni vingi hata humu tunaona vya kukosa ajira.
 
Umshike mkono mbongo? We hutujui vizuri waswahili
 
Ah ah vijana waendesha crown na kupanga Tabata lazima wake kukunanga na iphone12 zao..all In all ubahili unalipa..mi nmeweza amia kwangu kipindi cha magufuri na hapa najiandaa kujenga nyumba ya Pili...ila washkaji machawa ilibidi niwapunguze...wana wa ukweli familia hawa wengine tunasaidiana maisha tu
 
Bila kusahau waning'iniza funguo[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…