Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Karibu sana wazo mitaa ya mashamba ya jeshi...nyakalekwa
Kino done
Wazo done
Kigamboni nakuja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ilaubahiri kweli inasaidia+matumiz yasiyo na tija tupa kule+washkaji,ndg wa mizinga wakatie line

Ova
Jitahidi uwe bahili kwa kadri utavyoweza, usikubali kuitwa mwana na machawa
 
Well said boss, hata mimi sio bahiri kivile ila kupitia kubana salary na viposho vya hapa na pale nimejikuta angalau nina saving ya maana kwa bank. Zaman nilikuwa mpuuz natumia kila kitu nabaki empty
Jitahidi uongeze ubahili zaidi, utanishukuru baadae.
Mwisho wa mwaka unaweza kuta una mil 5 hivihivi ukafanyia Jambo lako la maana Sana.
#kuwa bahili sana#
 
yaani ulale sehem ya hovyo ushindwe kula vizuri eti kisa baadae uje kuwa tajiri uo ni ukichaa,, hela unatafuta za nini sasa uku unaishi kwa kujitesa,,,

kula vizuri vaa vizuri lala sehemu nzuri,,, Ishi vizuri
Kuwa bahili kwa kadri utavyoweza
 
yaani ulale sehem ya hovyo ushindwe kula vizuri eti kisa baadae uje kuwa tajiri uo ni ukichaa,, hela unatafuta za nini sasa uku unaishi kwa kujitesa,,,

kula vizuri vaa vizuri lala sehemu nzuri,,, Ishi vizuri
Imagine[emoji134][emoji134]
 
Hili wazo la ubahili ni zuri ila uhalisia wake unategemea background ya mtu na mtu. Wengine ndio wategemezi wa wadogo zao na sio marafiki,hivyo mnyororo wa utegemezi haukatiki kirahisi.
Unaweza kuwapunguza marafiki lakini sio ndugu. Kama ndugu aliwahi kukusaidia buku ya daftari basi tayari ni kitanzi kingine.
Afrika ngumu sana hii.
 
Hii ndio akili, usije hata siku moja ukawathamini machawa.
Kuwa bahili jenga kwa kadri utavyopata, Kama hutaona faida Sasa baada ya miaka 10 au 20 utaona faida yake.
Usikubali wakuite mwana, hili neno mwana linachelewesha Sana maendeleo yako binafsi.
Utasikia "mwana Mtu poa Sana", "mwana Mtu Safi", Mara "mwana sio mchoyo"
Mwana hana baya
 
Achana na kufa, kuwa bahili Sana utanishukuru baadae
Mi ni bahili nadhani hata nakuzidi x 100, but sitaki kujitesa, na gari zuri expensive one, nina nyumba kali, kwangu kutamu balaa, na kila weekend nakula bata na saving kama kawa...... na hii kwangu ndo definition ya maisha


Kujitesa ni mwiko eti ili nije kuwa tajiri , never[emoji848]
 
Jitahidi uongeze ubahili zaidi, utanishukuru baadae.
Mwisho wa mwaka unaweza kuta una mil 5 hivihivi ukafanyia Jambo lako la maana Sana.
#kuwa bahili sana#
Endelea kuwa bahili tu hata mzee zakaria alikuwa bahili ila kansa ya koo ikamchukua 😅😅😅 mie nakitu kimoja! Naamini falsafa ya kutafuta maisha na kula maisha!

Nipate million 4 kwa mwezi halafu nile bamia kila siku 😂😂😂??? Never on earth!!!

Maendeleo ntafanya ila lazma million moja niende nayo sawa! Hizo tatu zitaenda kwenye maendeleo! Yani nisivae vizuri wala kula wine kidogo! Unaweza ukafa kabla hata ya hio dream house yako haijaisha na hela bank ikataifisha!
 
Endelea kuwa bahili tu hata mzee zakaria alikuwa bahili ila kansa ya koo ikamchukua [emoji28][emoji28][emoji28] mie nakitu kimoja! Naamini falsafa ya kutafuta maisha na kula maisha!

Nipate million 4 kwa mwezi halafu nile bamia kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]??? Never on earth!!!

Maendeleo ntafanya ila lazma million moja niende nayo sawa! Hizo tatu zitaenda kwenye maendeleo! Yani nisivae vizuri wala kula wine kidogo! Unaweza ukafa kabla hata ya hio dream house yako haijaisha na hela bank ikataifisha!
We uko kama mimi...nijitese eti kwa ajili ya future, siijui kesho yangu asee
 
Mkuu principle ya utajiri ni kutumia pesa upate pesa, hiyo ya ubahiri kulala kwenye ngozi ya ng'ombe ni principle ya kizamani sana na inakufanya uwe tajiri uliyepitwa na wakati...
Principle ya utajiri nj kutumia pesa BIG YES, Ila pesa imatumiwa kwenye investment na ndio maana hapo nimekueleza kuwa nilitumia m80 kuanza na hardware.
Pia, hakuna niliposema ulale kwenye ngozi ya ng'ombe na ndio maana unaona hapo nimekuambia natamani kujenga hilo ghorofa
 
Ukweli mchungu.
Watu wengi wanatamani Sana kuwa matajiri lakini hawajui mbinu gani zinatumika.
Sisemi matajiri wote walikuwa mabahiri, la hasha Ila kikwetukwetu hii mbinu ya ubahili ndio njia nzuri ya kuelekea kuwa tajiri.
Ubahili nachukulia Kama kitendo Cha kutotumia pesa kwenye matumizi yasiyo ya lazima.
Hii njia nimeitumia miaka 10 Sasa na faida yake nimeiona. Kuwa mbahili sana, alafu utanishukuru baadae.
Pesa nilikuwa napata nzuri tu kwenye mishe zangu za gen supplies na kwenye construction Ila nilikuwa naishi maisha ya kawaida Sana, chumba na sebule kwa elfu 60 kimara huko ndani ndani. Ila kwa mwezi nilikuwa nakusanya faida mil 4, huu ni wastani.
Kuna mwezi napata kazi nyingi faida hadi m 8, 10 na Kuna mwezi napata mil 2 na Kuna mwezi hakuna kazi kabisa hivyo nafidia huo mwezi kwa mwezi niliopata zaidi
Ubahili unalipaje?
Baada tu ya kununua plots kadhaa jijini hapa, kila mwezi nikaanza ku-save mil 1.8 kwa ajili ya kujenga na mil 1.8 nyingine kwa ajili ya biashara ya hardware. Hivyo mwezi mzima nauendesha kwa laki 4 tu, inatoa 60 ya kupanga.
Hapo kulikuwa hakuna Cha kwenda kula bata wala kuhonga Wala kulakula ovyo(wengi mnaita eti kula vizuri). Na hakuna cha kununua gari Wala nini, nilikuwa na pikipiki boxer kwa ajili ya kuwahi mishe. Ila hata Sasa natumia ka-IST tu, hayo ma-prado baadae Sana huko.
Ndani ya miaka minne tu nikajikuta karibu ya mil 80(of course nilitumia mil 78) kwenye kujenga na zaidi ya mil 80 kwenye kuanzisha hardware.
Hivi Sasa hardware ndio inaendesha kila kitu changu na inalipa sana tena Sana. Hivyo nipate tender nisipate mambo ni byeeee.

Story itakuwa ndefu Sana, Ila ACHENI UJUAJI UBAHILI UNALIPA SANA.
ACHENI KULA BATA BILA KUWA NA MIPANGO

Next project ni hii dream house(namba mbili), location itakuwa Tegeta - wazo.
Hii natembea nayo kila mahali hadi kitandani ninayo, soon inazikwa kwa ground.
Architect ni mtaalam vantano, yupo sana kule IG, haikuwa yangu Ila niliipenda sana. Soon, soon.....







View attachment 1771255
Umesahau kutuambia tuwe tayari kuachwa na Pisi kali nyingi sana mjini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Endelea kuwa bahili tu hata mzee zakaria alikuwa bahili ila kansa ya koo ikamchukua [emoji28][emoji28][emoji28] mie nakitu kimoja! Naamini falsafa ya kutafuta maisha na kula maisha!

Nipate million 4 kwa mwezi halafu nile bamia kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]??? Never on earth!!!

Maendeleo ntafanya ila lazma million moja niende nayo sawa! Hizo tatu zitaenda kwenye maendeleo! Yani nisivae vizuri wala kula wine kidogo! Unaweza ukafa kabla hata ya hio dream house yako haijaisha na hela bank ikataifisha!
Kuwa bahili, utanishukuru baadae
 
Back
Top Bottom