Naomba kuwa chawa wako...Mi ni bahili nadhani hata nakuzidi x 100, but sitaki kujitesa, na gari zuri expensive one, nina nyumba kali, kwangu kutamu balaa, na kila weekend nakula bata na saving kama kawa...... na hii kwangu ndo definition ya maisha
Kujitesa ni mwiko eti ili nije kuwa tajiri , never[emoji848]