Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Acha uongo. Nina matajiri wana vimada 10. Na watoto 20. Kila kimada ana mtoto. Utajiri ninuwezo wa kupata kipato zaidi ya matumizi yako tu. Kama unadhani kutokula vizuri, kuishi vizuri, kisafiri vizuri ndio kutakujirisha vizuri, Sawa. Utajikuta unaviacha wakula ambao hawakuvichuma.
 
Imagine[emoji134][emoji134]
imagine wakati tunasoma tulikuwa tunashindia mihogo maugari maharage wazazi wakatuambia tukipata kazi tutakula tunachotaka,,,

eti saa hivi unafanya kazi unapata hela bado tena uanze kujitesaaa Aaaakh sasa huku duniani tumekuja kuteseka [emoji846][emoji3526]

Mimi walaaaah nikiwa na hamu ya mbuzi choma nitakula nikiona jeans kali nanunua ,,,, hela ikiisha nitatafuta nyingine,,

Mwili wangu first [emoji39]
 
asee ubahil sawa lakin nna ndugu yangu hatoi hata mia mwaka mzma ajui kuna mzaz anatakiwa bill ya maji umeme wala kingamuz ajabu mkikutana mwsho wa mwaka hata mboga ya skukuu hanunui na bado shat limepauka kama fundi bati sasa najiulza huyu anaweka hzo hela akalie mbingun au
 
Acha uongo. Nina matajiri wana vimada 10. Na watoto 20. Kila kimada ana mtoto. Utajiri ninuwezo wa kupata kipato zaidi ya matumizi yako tu. Kama unadhani kutokula vizuri, kuishi vizuri, kisafiri vizuri ndio kutakujirisha vizuri, Sawa. Utajikuta unaviacha wakula ambao hawakuvichuma.
Kusoma unajua? Hao tayari ni matajiri hivyo sawa tu wakiwa na vimada
Kuwa navyo wewe hapo uone
 
Ukweli mchungu.
Watu wengi wanatamani Sana kuwa matajiri lakini hawajui mbinu gani zinatumika.
Sisemi matajiri wote walikuwa mabahiri, la hasha Ila kikwetukwetu hii mbinu ya ubahili ndio njia nzuri ya kuelekea kuwa tajiri.
Ubahili nachukulia Kama kitendo Cha kutotumia pesa kwenye matumizi yasiyo ya lazima.
Hii njia nimeitumia miaka 10 Sasa na faida yake nimeiona. Kuwa mbahili sana, alafu utanishukuru baadae.
Pesa nilikuwa napata nzuri tu kwenye mishe zangu za gen supplies na kwenye construction Ila nilikuwa naishi maisha ya kawaida Sana, chumba na sebule kwa elfu 60 kimara huko ndani ndani. Ila kwa mwezi nilikuwa nakusanya faida mil 4, huu ni wastani.
Kuna mwezi napata kazi nyingi faida hadi m 8, 10 na Kuna mwezi napata mil 2 na Kuna mwezi hakuna kazi kabisa hivyo nafidia huo mwezi kwa mwezi niliopata zaidi
Ubahili unalipaje?
Baada tu ya kununua plots kadhaa jijini hapa, kila mwezi nikaanza ku-save mil 1.8 kwa ajili ya kujenga na mil 1.8 nyingine kwa ajili ya biashara ya hardware. Hivyo mwezi mzima nauendesha kwa laki 4 tu, inatoa 60 ya kupanga.
Hapo kulikuwa hakuna Cha kwenda kula bata wala kuhonga Wala kulakula ovyo(wengi mnaita eti kula vizuri). Na hakuna cha kununua gari Wala nini, nilikuwa na pikipiki boxer kwa ajili ya kuwahi mishe. Ila hata Sasa natumia ka-IST tu, hayo ma-prado baadae Sana huko.
Ndani ya miaka minne tu nikajikuta karibu ya mil 80(of course nilitumia mil 78) kwenye kujenga na zaidi ya mil 80 kwenye kuanzisha hardware.
Hivi Sasa hardware ndio inaendesha kila kitu changu na inalipa sana tena Sana. Hivyo nipate tender nisipate mambo ni byeeee.

Story itakuwa ndefu Sana, Ila ACHENI UJUAJI UBAHILI UNALIPA SANA.
ACHENI KULA BATA BILA KUWA NA MIPANGO

Next project ni hii dream house(namba mbili), location itakuwa Tegeta - wazo.
Hii natembea nayo kila mahali hadi kitandani ninayo, soon inazikwa kwa ground.
Architect ni mtaalam vantano, yupo sana kule IG, haikuwa yangu Ila niliipenda sana. Soon, soon.....







View attachment 1771255

KWNY HARDWARE,
Mfuko wa cement,bati,nondo,Bulb,bulb holder,&switch huwaga vina net profit ya sh ngapi per each?

BTW, ukihitaji kijana mwaminifu wakukusaidia kuuza hapo dukan npo hapa. thanks
 
anyway kila mtu ana preference zake kwenye maisha ila ni hesabu ndogo tu. kipi heri kutumikia mtu kwa miaka 30 huku ukiwa na maisha average au kujitumikia miaka 10 kwa maana ya kujibana na kuishi maisha ya chini na miaka 20 iliyobaki ukaishi kifalme!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna biashara itayokufa, hapo Kama umenielewa ni kuwa baada ya ubahili Kuna hayo maisha ya Raha.
Wapi ambao tayari washafikia lengo na Sasa hivi wanakula Bata. Ila kwa vijana sisi basa hawa wenye below 40 ndio haswa walengwa

hapa nmeanza kuielewa ile slogan isemayo "life starts at 40"
 
Nalog off
Screenshot_20210502-213902_WhatsApp.jpg
 
Mie nnapojipa maksi ni kwenye kuvaa aisee...yaan mie kununua manguo kila mara walaa...nakaa hata mwezi nisinunue nguo...ila kwenye msosi dah..yaan mboga hata 4...ntakaanga samak...nikipigiwa simu sister firigisi zipo za kienyeji nafata..hapo ntapika firigisi,samak nakaanga uwii sijui juic matunda yote[emoji1784][emoji1784][emoji1784]napenda sana kupika na hubby anamzuka balaa..ila for the first tym leo sijanywa coca...! Naona usiku mzito!
Nataman kuwa bahili mwe
Safi sana...na hayo ndo maisha kula vitu vizuri, sasa unatafuta hela za nini kama hufaidishi mwili wako?[emoji848][emoji849]
 
Back
Top Bottom