Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

asee ubahil sawa lakin nna ndugu yangu hatoi hata mia mwaka mzma ajui kuna mzaz anatakiwa bill ya maji umeme wala kingamuz ajabu mkikutana mwsho wa mwaka hata mboga ya skukuu hanunui na bado shat limepauka kama fundi bati sasa najiulza huyu anaweka hzo hela akalie mbingun au
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23] lazima ni mangi huyo
 
Acha uongo. Nina matajiri wana vimada 10. Na watoto 20. Kila kimada ana mtoto. Utajiri ninuwezo wa kupata kipato zaidi ya matumizi yako tu. Kama unadhani kutokula vizuri, kuishi vizuri, kisafiri vizuri ndio kutakujirisha vizuri, Sawa. Utajikuta unaviacha wakula ambao hawakuvichuma.
Saw mkuu iga matumizi ya hao Matajiri na Mienendo ya matumizi yao.. uje utupe mrejesho,

Achana na mtoa mada anayekushauri uhifadhi pesa ,ni muongo tu kama ulivyosema hapo mwanzo wa sentence.
 
Ni kweli ndo maaana Matajiri wengi hawaonekan kweny viwanja vya kula bata Mara kwa mara kwasababu walisha jizoesha ubahili enzi zao za utafutaji ili waweze kusave pesa
 
Team ubahili hebu tuipangie budget laki moja na nusu (150,000) ni namna gani itaweza kutoboa mwezi kwa mtu ambaye hajaoa,hana mke wala mtoto.lakini amepanga
Kabla ya yote tuangalie wastani tulionao kimatumizi,si tuna assume kila mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake. So 150,000 ÷ 30 = 5000, una 5k kwa matumizi ya siku when other factors remain constant. Sasa hapo jipigepige uhakikishe katika kila buku5 la siku unapunguza kiasi kwa ajili kodi, bili ya umeme, maji e.t.c

Maajabu ya dunia sasa kuna watu wana kipato chini ya hapo na wana familia yani mke na watoto en still gurudumu linasonga na ni Dar hii hii, no wonder toto likianza kudanga mzazi hana say aisee.
 
Ukweli mchungu.
Watu wengi wanatamani Sana kuwa matajiri lakini hawajui mbinu gani zinatumika.
Sisemi matajiri wote walikuwa mabahiri, la hasha Ila kikwetukwetu hii mbinu ya ubahili ndio njia nzuri ya kuelekea kuwa tajiri.
Ubahili nachukulia Kama kitendo Cha kutotumia pesa kwenye matumizi yasiyo ya lazima.
Hii njia nimeitumia miaka 10 Sasa na faida yake nimeiona. Kuwa mbahili sana, alafu utanishukuru baadae.
Pesa nilikuwa napata nzuri tu kwenye mishe zangu za gen supplies na kwenye construction Ila nilikuwa naishi maisha ya kawaida Sana, chumba na sebule kwa elfu 60 kimara huko ndani ndani. Ila kwa mwezi nilikuwa nakusanya faida mil 4, huu ni wastani.
Kuna mwezi napata kazi nyingi faida hadi m 8, 10 na Kuna mwezi napata mil 2 na Kuna mwezi hakuna kazi kabisa hivyo nafidia huo mwezi kwa mwezi niliopata zaidi
Ubahili unalipaje?
Baada tu ya kununua plots kadhaa jijini hapa, kila mwezi nikaanza ku-save mil 1.8 kwa ajili ya kujenga na mil 1.8 nyingine kwa ajili ya biashara ya hardware. Hivyo mwezi mzima nauendesha kwa laki 4 tu, inatoa 60 ya kupanga.
Hapo kulikuwa hakuna Cha kwenda kula bata wala kuhonga Wala kulakula ovyo(wengi mnaita eti kula vizuri). Na hakuna cha kununua gari Wala nini, nilikuwa na pikipiki boxer kwa ajili ya kuwahi mishe. Ila hata Sasa natumia ka-IST tu, hayo ma-prado baadae Sana huko.
Ndani ya miaka minne tu nikajikuta karibu ya mil 80(of course nilitumia mil 78) kwenye kujenga na zaidi ya mil 80 kwenye kuanzisha hardware.
Hivi Sasa hardware ndio inaendesha kila kitu changu na inalipa sana tena Sana. Hivyo nipate tender nisipate mambo ni byeeee.

Story itakuwa ndefu Sana, Ila ACHENI UJUAJI UBAHILI UNALIPA SANA.
ACHENI KULA BATA BILA KUWA NA MIPANGO

Next project ni hii dream house(namba mbili), location itakuwa Tegeta - wazo.
Hii natembea nayo kila mahali hadi kitandani ninayo, soon inazikwa kwa ground.
Architect ni mtaalam vantano, yupo sana kule IG, haikuwa yangu Ila niliipenda sana. Soon, soon.....







View attachment 1771255

Ushauri sio mzuri kabisa huu, maisha ni kula maisha
Huu unahiri ni kujinyima raha za maisha tu

Wewe ni mlafi na mtumwa wa pesa na mali.
Endelea kuzikisanya then utakufa bila kula kadansee wala pipi za dunia

Kalaga baho
 
Wameamua kujitoa fahamu ila wameelewa, kuna mtu akipata hela anatumia zote kwa matumizi hata yasiyo ya msingi alafu huyo huyo mtu akihitaji hata hela ndogo Kama elfu kumi kutatua kitu cha haraka amekwama inabidi asumbue watu kuwakopa wakati angejisaidia mwenyewe kwenye shida ndogo ndogo kwa kusave.
Ni kweli mkuu umeongea vyema na umeelewa kusudio la mleta mada
 
vitu vya msingi ni gani mkuu,, uyo jamaa kasema tujibanr kwenye kula sijui uwe na kipatao cha milioni mbili kwa mwezi ukae chumba cha elfu60 uko mpiji magohe ,,,

Binafsi siwezi kuwa milion alfu nianze kula maugali Aaaagr Bora ninyongwe
emoji1781.png


me nikipokeaga mshahara wangu wa laki3 kwa muhindi lazima kwanza niende pale marrybrown napiga kuku chips 12,500/= alfu kila siku lazima nipigr juice ya tende pale buguruni,

hela ikiisha mwezi nao unakuwa umeisha marufuku mshahara wangu kukutana mfukoni
Hahaha mkuu naanza kukuelewa hapa,

Jitahidi sasa, sio mpaka upokee mshahara wa muhindi mwiso wa mwezi hizi fastfood ni za kwenda kula kila weekend..

na uhakikieshe una smartphone yenye camera kali, wakati unakula unajisnap .. na kushare na sisi kwenye social media, maisha ndio haya haya kula bata mkuu,

Kama ulivyosema hakikisha mshahara haukutani, ni mwendo wa kutumia tu!
 
Ukweli mchungu.
Watu wengi wanatamani Sana kuwa matajiri lakini hawajui mbinu gani zinatumika.
Sisemi matajiri wote walikuwa mabahiri, la hasha Ila kikwetukwetu hii mbinu ya ubahili ndio njia nzuri ya kuelekea kuwa tajiri.
Ubahili nachukulia Kama kitendo Cha kutotumia pesa kwenye matumizi yasiyo ya lazima.
Hii njia nimeitumia miaka 10 Sasa na faida yake nimeiona. Kuwa mbahili sana, alafu utanishukuru baadae.
Pesa nilikuwa napata nzuri tu kwenye mishe zangu za gen supplies na kwenye construction Ila nilikuwa naishi maisha ya kawaida Sana, chumba na sebule kwa elfu 60 kimara huko ndani ndani. Ila kwa mwezi nilikuwa nakusanya faida mil 4, huu ni wastani.
Kuna mwezi napata kazi nyingi faida hadi m 8, 10 na Kuna mwezi napata mil 2 na Kuna mwezi hakuna kazi kabisa hivyo nafidia huo mwezi kwa mwezi niliopata zaidi
Ubahili unalipaje?
Baada tu ya kununua plots kadhaa jijini hapa, kila mwezi nikaanza ku-save mil 1.8 kwa ajili ya kujenga na mil 1.8 nyingine kwa ajili ya biashara ya hardware. Hivyo mwezi mzima nauendesha kwa laki 4 tu, inatoa 60 ya kupanga.
Hapo kulikuwa hakuna Cha kwenda kula bata wala kuhonga Wala kulakula ovyo(wengi mnaita eti kula vizuri). Na hakuna cha kununua gari Wala nini, nilikuwa na pikipiki boxer kwa ajili ya kuwahi mishe. Ila hata Sasa natumia ka-IST tu, hayo ma-prado baadae Sana huko.
Ndani ya miaka minne tu nikajikuta karibu ya mil 80(of course nilitumia mil 78) kwenye kujenga na zaidi ya mil 80 kwenye kuanzisha hardware.
Hivi Sasa hardware ndio inaendesha kila kitu changu na inalipa sana tena Sana. Hivyo nipate tender nisipate mambo ni byeeee.

Story itakuwa ndefu Sana, Ila ACHENI UJUAJI UBAHILI UNALIPA SANA.
ACHENI KULA BATA BILA KUWA NA MIPANGO

Next project ni hii dream house(namba mbili), location itakuwa Tegeta - wazo.
Hii natembea nayo kila mahali hadi kitandani ninayo, soon inazikwa kwa ground.
Architect ni mtaalam vantano, yupo sana kule IG, haikuwa yangu Ila niliipenda sana. Soon, soon.....







View attachment 1771255
Ubahili na kuacha kuhonga na kutotapanya hela ama kipato.
 
Ubahili anaouzungumzia mtoa mada ni wa matumizi ya vitu visivyo na lazima/ vitu vya matamanio ...

Lakini naona kama hawajaelewa alichokusudia, au wameamua kubadili tu mada..

Nieleweshwe labda sijamuelewa vyema.
Mkuu inaujua UBAHILI? Kimsingi hauna vitu vya matamanio hata vile muhimu ba vyenye maana hubifanyi huwa mtu Ana focus ktk kitu kimoja tuujj
 
Mkuu inaujua UBAHILI? Kimsingi hauna vitu vya matamanio hata vile muhimu ba vyenye maana hubifanyi huwa mtu Ana focus ktk kitu kimoja tuujj
Mkuu wewe umekuja na Definition yako na mtazamo wako pia ila mimi ndivyo nilivyelewa, ubahili sio kushindia kashata na kahawa tu, ubahili ni kuacha mbwembwe zisizo na msingi.
 
Mi ni bahili nadhani hata nakuzidi x 100, but sitaki kujitesa, na gari zuri expensive one, nina nyumba kali, kwangu kutamu balaa, na kila weekend nakula bata na saving kama kawa...... na hii kwangu ndo definition ya maisha


Kujitesa ni mwiko eti ili nije kuwa tajiri , never[emoji848]
That's your lifestyle, leave his life style alone since you have no mandate to interfere his lifestyle. Got me you man?
 
Mi ni bahili nadhani hata nakuzidi x 100, but sitaki kujitesa, na gari zuri expensive one, nina nyumba kali, kwangu kutamu balaa, na kila weekend nakula bata na saving kama kawa...... na hii kwangu ndo definition ya maisha


Kujitesa ni mwiko eti ili nije kuwa tajiri , never[emoji848]
Unaonesha wazi una wivu na una stress!
 
Mkuu principle ya utajiri ni kutumia pesa upate pesa, hiyo ya ubahiri kulala kwenye ngozi ya ng'ombe ni principle ya kizamani sana na inakufanya uwe tajiri uliyepitwa na wakati...
Bora hivyo ilimradi tu uwe tajiri!
 
Wana Jf wote humu ndani wanajiona km wewe hivi kwa nini lkn?
Disclaimer: Si maanishi huna maisha hayaa hasha
 
Mie nnapojipa maksi ni kwenye kuvaa aisee...yaan mie kununua manguo kila mara walaa...nakaa hata mwezi nisinunue nguo...ila kwenye msosi dah..yaan mboga hata 4...ntakaanga samak...nikipigiwa simu sister firigisi zipo za kienyeji nafata..hapo ntapika firigisi,samak nakaanga uwii sijui juic matunda yote🤧🤧🤧napenda sana kupika na hubby anamzuka balaa..ila for the first tym leo sijanywa coca...! Naona usiku mzito!
Nataman kuwa bahili mwe
Dah baasi we lazima utakua umbo namba Tisa aka kenda yaani. NB: usiache kutumbua coz no one knows their tomorrow.
 
Back
Top Bottom