Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
- #181
Sahau kuwa tajiriUshauri sio mzuri kabisa huu, maisha ni kula maisha
Huu unahiri ni kujinyima raha za maisha tu
Wewe ni mlafi na mtumwa wa pesa na mali.
Endelea kuzikisanya then utakufa bila kula kadansee wala pipi za dunia
Kalaga baho