Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,001
- 933
😂 Kwanza marehemu pesa yake atujaitafuna kabisa akiwa haiUtasikia Kila mtu afe na chake!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Kwanza marehemu pesa yake atujaitafuna kabisa akiwa haiUtasikia Kila mtu afe na chake!!!
[emoji16][emoji16][emoji16]me siwezi kujitesa nikiwa na hela mfukoni never ever,,, bora ninyongwe tu
Hii ndo akiliimagine wakati tunasoma tulikuwa tunashindia mihogo maugari maharage wazazi wakatuambia tukipata kazi tutakula tunachotaka,,,
eti saa hivi unafanya kazi unapata hela bado tena uanze kujitesaaa Aaaakh sasa huku duniani tumekuja kuteseka [emoji846][emoji3526]
Mimi walaaaah nikiwa na hamu ya mbuzi choma nitakula nikiona jeans kali nanunua ,,,, hela ikiisha nitatafuta nyingine,,
Mwili wangu first [emoji39]
Dah nataman ningekuwa wewe;
Chai asbh 1000 kwa mwezi 30000/=
Mchana 2500, kwa mwezi 65000/=
Jioni 1000,kula matunda kwa mwezi 30000/=
Nauli 1000 kwa mwezi 30000/=
Mambo ya kijinga yaaanasee ubahil sawa lakin nna ndugu yangu hatoi hata mia mwaka mzma ajui kuna mzaz anatakiwa bill ya maji umeme wala kingamuz ajabu mkikutana mwsho wa mwaka hata mboga ya skukuu hanunui na bado shat limepauka kama fundi bati sasa najiulza huyu anaweka hzo hela akalie mbingun au
Ku save pekee haisadii ..ina bidi kusave na kiasi unachokipata kuinvest kizalishe.. na faida unayoipata utmuie na nyingine kuinvest tenaKama ubahili mbona mie ni zaidi ya mchanyato wa mangi meli ma mangi sina lakini utajiri sipati
Shemeji yako kataka hela ya pedi nimempa mimba.
Hongera kwa kula vizuri haina shida, ilaukitaka kutajirika usinywe tena coca kama leo ulivyofanyaMie nnapojipa maksi ni kwenye kuvaa aisee...yaan mie kununua manguo kila mara walaa...nakaa hata mwezi nisinunue nguo...ila kwenye msosi dah..yaan mboga hata 4...ntakaanga samak...nikipigiwa simu sister firigisi zipo za kienyeji nafata..hapo ntapika firigisi,samak nakaanga uwii sijui juic matunda yote🤧🤧🤧napenda sana kupika na hubby anamzuka balaa..ila for the first tym leo sijanywa coca...! Naona usiku mzito!
Nataman kuwa bahili mwe
HATA MIMI SIJITESI KABISAAAAAAAA,NAKULA NALALA,NAVAA N.K KUISHI KAMA MNYAMA SIWEZIMambo ya kijinga yaaan
We jiulize ihiiihiiiihiii sasa hivi yuko wapi?[emoji849]
Mi sijitesi asee
Nimeanza leo...yaan ntakunywa jmos ijayo nikitoka churchHongera kwa kula vizuri haina shida, ilaukitaka kutajirika usinywe tena coca kama leo ulivyofanya
Duh bas bora ajipikie..yaan apige deshi mchana usk aje apike...ina maana halipi kodi,umeme,Dawasco,hanunui vocha,sabn,mafta,mswaki,alafu akila hanywi maji?? coz ume assume kama vile jamaa yy matumiz yake n msosi tu
20% saveTeam ubahili hebu tuipangie budget laki moja na nusu (150,000) ni namna gani itaweza kutoboa mwezi kwa mtu ambaye hajaoa,hana mke wala mtoto.lakini amepanga
Mkuu unaposema kujitesa unaamanisha nini?me siwezi kujitesa nikiwa na hela mfukoni never ever,,, bora ninyongwe tu
Ubahili anaouzungumzia mtoa mada ni wa matumizi ya vitu visivyo na lazima/ vitu vya matamanio ...Mru mmoja akasema sasa naona nimepata kila kitu mali pesa roho yangu ikae na kufurahi,tazama sauti ikamjia ikisema je wajua siku zako zilizobaki hapa dunian .
Mwombe m
MUNGU NA KUMSHUKURU
Wameamua kujitoa fahamu ila wameelewa, kuna mtu akipata hela anatumia zote kwa matumizi hata yasiyo ya msingi alafu huyo huyo mtu akihitaji hata hela ndogo Kama elfu kumi kutatua kitu cha haraka amekwama inabidi asumbue watu kuwakopa wakati angejisaidia mwenyewe kwenye shida ndogo ndogo kwa kusave.Ubahili anaouzungumzia mtoa mada ni wa matumizi ya vitu visivyo na lazima/ vitu vya matamanio ...
Lakini naona kama hawajaelewa alichokusudia, au wameamua kubadili tu mada..
Nieleweshwe labda sijamuelewa vyema.
vitu vya msingi ni gani mkuu,, uyo jamaa kasema tujibanr kwenye kula sijui uwe na kipatao cha milioni mbili kwa mwezi ukae chumba cha elfu60 uko mpiji magohe ,,,Mkuu unaposema kujitesa unaamanisha nini?
Binafsi naona mtu kupambana na maisha halafu pesa zinaishia kutumika kwenye vitu vya matamanio tu yasiyo na msingi ni utumwa tu.
We c receiver ...mtoto wa kike ..hata wakat wa sex unapokea ..sitakushangaa ukila bata , maana kwa wenye pesa we ndo bata mwenyewe wanae-mla ...ongeza bidii Kwenye ulaji bata ......We acha tu...mimi binafsi sitaki kujitesa, lazima nile bata
Maisha hayana formula
Umewaza kwa sauti mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji110]Doh! sawa bana
Ila wote tukichukua hii nadharia ya ubahili mbona biashara nyingi sana zitateketea mjini
Ukiona jeans kali unanunu ni kwasababu hauna malengo yoyote , ndio maana hauwezi kuona umuhimu wa kusave,Mimi walaaaah nikiwa na hamu ya mbuzi choma nitakula nikiona jeans kali nanunua ,,,, hela ikiisha nitatafuta nyingine,,
Mwili wangu first [emoji39]
Kwa siku asizid 5000 ...ikitokea amezidisha 5000 siku inayofuata ajipige adhabu ...kufidia hela iliyozidi jana ..hiyo ndo principle ....haya yote yanawezekana ukiwa na roho ngumu tuu...kuhusu mademu ...komaa na ma beki tatu tuu wengine fanya kama huwaoniTeam ubahili hebu tuipangie budget laki moja na nusu (150,000) ni namna gani itaweza kutoboa mwezi kwa mtu ambaye hajaoa,hana mke wala mtoto.lakini amepanga