green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Mawazo ya kukatishana tamaaukisha maliza kujenga hiyo nyumba halafu unakufwa
ndugu wanaamua bora waiuze halafu hela wanaenda kula bata
ni kama mzoga kuliwa na siafu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya kukatishana tamaaukisha maliza kujenga hiyo nyumba halafu unakufwa
ndugu wanaamua bora waiuze halafu hela wanaenda kula bata
ni kama mzoga kuliwa na siafu tu
We mwanamke ndio type yangu kabisa! 😂😂😂Mi ni bahili nadhani hata nakuzidi x 100, but sitaki kujitesa, na gari zuri expensive one, nina nyumba kali, kwangu kutamu balaa, na kila weekend nakula bata na saving kama kawa...... na hii kwangu ndo definition ya maisha
Kujitesa ni mwiko eti ili nije kuwa tajiri , never[emoji848]
Nakuaminia sana boss...!yes..utaambiwa unademka😀😀!hongeraHahaha OK
Hyo formula nna mwaka wa 2 sasa natumia
Unaweza kujinadi humu mafanikio
Watu wakaanza ksema unajifagilia
Any way wengine tunamkimbiza mwizi kimya kimya
Wangari Maathai
Ova
Nimekwambia we ndio my type kabisa kama hujaolewa tunaweza kuwa wa kufa na kuzikana😂😂😂We uko kama mimi...nijitese eti kwa ajili ya future, siijui kesho yangu asee
Sawa mkuu, Ila mi naona ni kuweka tu vizuri mipango na vipaumbele vya maisha yako maana neno "Ubahili" sioni Kama ni sifa nzuri kuwa nayo kwenye jamiiHakuna biashara itayokufa, hapo Kama umenielewa ni kuwa baada ya ubahili Kuna hayo maisha ya Raha.
Wapi ambao tayari washafikia lengo na Sasa hivi wanakula Bata. Ila kwa vijana sisi basa hawa wenye below 40 ndio haswa walengwa
Hii ndio watu huwakata kabisa mori wa kupambanaukisha maliza kujenga hiyo nyumba halafu unakufwa
ndugu wanaamua bora waiuze halafu hela wanaenda kula bata
ni kama mzoga kuliwa na siafu tu
[emoji1787][emoji1787]hayo ndo maisha bwana tafuta, save, tumia. Unajibanabana kwani umekuwa ushuzi.
Mru mmoja akasema sasa naona nimepata kila kitu mali pesa roho yangu ikae na kufurahi,tazama sauti ikamjia ikisema je wajua siku zako zilizobaki hapa dunian .Nilivyotaka nilivipata ,ndio maana unaona Sasa hivi nataka hii nyumba
Dah nataman ningekuwa wewe;Team ubahili hebu tuipangie budget laki moja na nusu (150,000) ni namna gani itaweza kutoboa mwezi kwa mtu ambaye hajaoa,hana mke wala mtoto.lakini amepanga
Rahisi sana lakini jiandae kuja kutibu vidonda vya tumbo utapokuwa tajiri kwa baadaye.Team ubahili hebu tuipangie budget laki moja na nusu (150,000) ni namna gani itaweza kutoboa mwezi kwa mtu ambaye hajaoa,hana mke wala mtoto.lakini amepanga
2500 *30=75,000Dah nataman ningekuwa wewe;
Chai asbh 1000 kwa mwezi 30000/=
Mchana 2500, kwa mwezi 65000/=
Jioni 1000,kula matunda kwa mwezi 30000/=
Nauli 1000 kwa mwezi 30000/=
Umejitahidi kuifafanua japo itakuwa 155, 000/= ambayo ni zaidi ya 150, 000/=Dah nataman ningekuwa wewe;
Chai asbh 1000 kwa mwezi 30000/=
Mchana 2500, kwa mwezi 65000/=
Jioni 1000,kula matunda kwa mwezi 30000/=
Nauli 1000 kwa mwezi 30000/=
Atajisawazisha tu humo...Umejitahidi kuifafanua japo itakuwa 155, 000/= ambayo ni zaidi ya 150, 000/=
Wewe subiri sifa kutoka kwa jamii, Ila nakuhakikishia kwa Sasa usipokuwa bahili badae hiyohiyo jamii itakucheka sanaSawa mkuu, Ila mi naona ni kuweka tu vizuri mipango na vipaumbele vya maisha yako maana neno "Ubahili" sioni Kama ni sifa nzuri kuwa nayo kwenye jamii
me siwezi kujitesa nikiwa na hela mfukoni never ever,,, bora ninyongwe tuKuwa bahili kwa kadri utavyoweza
Mkuu vp umeoaWell said boss, hata mimi sio bahiri kivile ila kupitia kubana salary na viposho vya hapa na pale nimejikuta angalau nina saving ya maana kwa bank. Zaman nilikuwa mpuuz natumia kila kitu nabaki empty