ROGERSHINE
Senior Member
- Aug 15, 2012
- 129
- 82
Nimejifunza kitu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
namba yake ya siri inafahamika na hao jamaa..cha msingi abadili pin harakaHawa tigo wana baadhi ya mambo wanashindwa kuyafanyia marekebisho kwa Wateja hasa inapo tokea umekosea hela bahati mbaya
Safi sana kama kuna kitu umejifunzaNimejifunza kitu hapa
Ni kweliHakuna kazi rahisi asee
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2]Utapeli nilioupata jana,Walinipigia simu wakisema wametoka kitengo cha Bonus cha voda,nimeshinda Laki mbili na simu ya Techno,wakataka kujua mara ya mwisho niliweka shs ngap mpesa? Nikawaambia hivi naongea na nyie nna balance la mia tano,rusheni hiyo laki mbili basi nije voda shop kuchukua techno,mbona walikata simu.
Kwa mazingira ya ushindani wa biashara ni ngumu sana kuwawekea wateja masharti haya.kuna mawakala wapo makini sana bila kitambulisho huchukuwi hela
Mkuu Naomba Uzi wako uwe una uupdate Mara kwa Mara ili tuzidi kuzijua hizo mbinu wanazotumia hawa matapeli
Kwanini usimwambie mwambie jamaa yake amtumie yeye moja kwa moja?.Mkuu kuna wakati anaweza akaja mtu akakuambia Nina ndugu yangu anataka kunitumia hela sasa mi niko mtandao mwingne naomba atume kwenye Namba ya wakala moja kwa moja na akisha toa ukimpa hela anampiga mhusika apige simu Huduma kwa Wateja aseme amekosea namba nawe kwa unaweza ukapigiwa na mtandao husika kuhusiana na huo mwamala