Mbinu zipi wamezitumia Wakinga kuwa wafalme Kariakoo?


Hao aliowataja wanajulikana wengine walianza biashara kabla ya uhuru na baada ya uhuru, wengine kipindi cha mwinyi, kawaacha magu kama walivyo na maisha yanasonga hivo acha kutisha watu, hapo ukiona haumo kwenye list pambana uwepo miaka ijayo
 
Niwe Mkibosho au nisiwe, hizo mali ni zao. Aje kiongozi mwingine abomoe hayo maghorofa yao tumuone
 
Hao aliowataja wanajulikana wengine walianza biashara kabla ya uhuru na baada ya uhuru, wengine kipindi cha mwinyi, kawaacha magu kama walivyo na maisha yanasonga hivo acha kutisha watu, hapo ukiona haumo kwenye list pambana uwepo miaka ijayo
Sawa Najua wakibosho mkianza league na mm Hapa Naweza nikatolewa Nje ya ulingo ...nyie watu Ni wabishi kinoma...cwezi shinda Najua Hilo. ' Ila Hao wengne league naiweza.
Hata kukesha Hadi niwashinde...kwenu yaishe tu..niendelee na Mambo yangu.Salute.
 
Niwe Mkibosho au nisiwe, hizo mali ni zao. Aje kiongozi mwingine abomoe hayo maghorofa yao tumuone

Hayupo na hakuna sababu ya kutiana uoga hauwezi kuja na sentesi za umiliki wa biashara kkoo kwa majina ya akina fred vunjabei ambae hata kwa sandaland hafiki, utaje akina wanyama na kibadamo na wengine baadhi uishie hapo wakati tunahitaji fact za kueleweka, tunakubali wakinga wanafanya vizuri na miaka inayokuja watakua mbali kibiashara lakini kwa sasa kariakoo madon ni wachaga hawakwepeki wanamiliki uchumi mkubwa kuliko wengine kwa ngozi nyeusi
 
Na wewe Unamiliki nini? Sio lazima ujibu lakin!🤔
 
Hao aliowataja wanajulikana wengine walianza biashara kabla ya uhuru na baada ya uhuru, wengine kipindi cha mwinyi, kawaacha magu kama walivyo na maisha yanasonga hivo acha kutisha watu, hapo ukiona haumo kwenye list pambana uwepo miaka ijayo
...Ukiona haupo kwenye list Pambana uwepo miaka ijaya!....
Hiyo list ya Forbes? Billboards au list gani Tuanzie hapo kwanza!
 
Yule Vunjabei si mkinga yule anawawakilisha, ila nimevutiwa na huyo mangi kaoa mchina...teh.
 
Thomas lyimo huyu mwenye chuo cha walimu
Ni mtoto wake yupi huyo ambyae ni agent wa rangi
 
Uh aisee umeua mkuu
 
Heee
Aiseee
Haya
 
Thomas lyimo huyu mwenye chuo cha walimu
Ni mtoto wake yupi huyo ambyae ni agent wa rangi
Mi sijui mkuu, kuna Wakinga fulani huwa wanauza chupi za jumla pale Kariakoo walikuwa wananitisha wao ni kabila lenye utajiri mkubwa na uwekezaji nikawa nawapa data kubwakubwa zinazojulikana watu kama mzee Michael Shirima mwenye hisa nyingi Precision Air, wakabisha wakataja biashara za kulangua na kuuza jumla.
Muda si mrefu ukaja uzi humu sijui ndio haohao walivimbishana vichwa wakauleta nikaona jamaa katoa hizo data alafu kapotea. Nikazichukua for future use, tangu hapo wameufyata wakilishana upepo nachomoa kipengele kimoja tu, "nataja mahoteli ya Wachaga nitajie ya Wakinga" wanakimbia
 

Mkinga bado yuko level za uchuuzi wa bidhaa, wenzako huko wametoka muda na watu hawajui kua unaweza kuacha kufuata bidhaa uturuki na china na bado hapa hapa ukapiga pesa ndefu tu
 
Yes
Kuna upande hata sijui kama kuna hao wakinga
Mfano cosmetics

Sijajua huu ukabila una manufaa gani hata
Wakinga nguo wanaagiza sana kupitia GNM ya Mchaga na Mapembelo ya Mkinga mwenzao na makampuni mengine. Kwingine si sana na kama unavyosema kwenye cosmetics hawapo na electronics sio wakubwa. Ukabila hauna manufaa bora tumuelekeze mleta mada aujue mji asikariri
 
Nasema na narudia kusema Tena, wakinga wanatukuzwa na kusifiwa na watu wenye chuki na Wachagga, wakinga wapo wachache sana kariakoo lakn wanavyosifiwa hatariiii! Wako dominant kwao Njombe (Tena wakiwa 50:50 na Wabena, mbeya Tena siyo dominant kihivyo, basii! Hao Wachagga wapo DSM, Moro, dodoma, singida, tabora, mwanza, Arusha, Moshi, Tanga nk! Ukisikia mtu anasifia wakinga muulize akutajie biashara kubwa 20 za wakinga hawezi, atakuambia maghorofa kariakoo lakn hawezi kuwa specific, kariakoo hata Waha wana maghorofa kule ila kwa kiwango kipi? Tukienda kwenye micro business karibu kila mji Tanzania Kuna maduka mengi mitaani ya mangis (dukani kwa mangi ni msemo maarufu, haukuja kwa bahati mbaya)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…