Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Ila huyo mama ana tamaa sana nahisi kuna sehemu yake ya ulaji imegusea sana kila siku anakuja na point mpya.ticts ya Karamagi inaenda mama mbogamboha anaona kabisa mapato ya hisa uanaenda.
Nalazimika kuamini. Kuna kitu kinamtesa huyu mama zaidi; hiy0 ni 'nitoke vp yake' tu.Maelekezo ya kanisa hayo ,mtu kazeeka 😅😅ila bado haamini kwamba hayupo kwenye mgao kabisaa.
Mimi nilikuwa namfuatilia na alianza kuponda kwa kusema dubai ni mshindani wetu kweny transhipment kama mnakumbjka ndio point ya kwanza kabla hata hajachambua mkataba ,.Nalazimika kuamini. Kuna kitu kinamtesa huyu mama zaidi; hiy0 ni 'nitoke vp yake' tu.
Professor hatani na hao vibwengo Bibi zenu, huyo akili ni nyingi sana, alishasema sitaki niwe kwenye record mbaya kwa wajukuu zangu wa nchi hii, tunza record, hilo bibi lenu lipeni muda tu ni matope tupuHatulii, hakika kuna maslahi yake yaliyoguswa.....haki ya Mungu tena!
View attachment 2732824
Wewe mbona nawe una hasira sana na wanaopinga DPW!!??Hatulii, hakika kuna maslahi yake yaliyoguswa.....haki ya Mungu tena!
View attachment 2732824
Hahahahahahahaaa!Kinacho mata ni hoja zake, hayo mengineyo hayatuhusu.
Hata kidogo, nawacheka tu kwa kubarikiwa u-hamnazo.Wewe mbona nawe una hasira sana na wanaopinga DPW!!??
Una maslahi binafsi nao hao DPW!!??
yupo sawa analinda mali za tanganyika hata kama analinda masila yake bandari ni mali ya tanganyikaMimi nilikuwa namfuatilia na alianza kuponda kwa kusema dubai ni mshindani wetu kweny transhipment kama mnakumbjka ndio point ya kwanza kabla hata hajachambua mkataba ,.
Wewe unawaza tibaijuka ana maslahi kosa kupinga. Je mbona huongelei wale wanaopambania DPW waje maslahi yao kwenye jambo hili yakoje?Hatulii, hakika kuna maslahi yake yaliyoguswa.....haki ya Mungu tena!
View attachment 2732824
ESCROWyupo sawa analinda mali za tanganyika hata kama analinda masila yake bandari ni mali ya tanganyika
Mkataba ni mbovu dunia nzima
Dr Janabi: Haters wa mama Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati.Professor hatani na hao vibwengo Bibi zenu, huyo akili ni nyingi sana, alishasema sitaki niwe kwenye record mbaya kwa wajukuu zangu wa nchi hii, tunza record, hilo bibi lenu lipeni muda tu ni matope
Atakufa vibaya sana huyo pimbi wa muhimbili ni swala la muda tuDr Janabi: Haters wa mama Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati.
Sio tabu kwa hili hapa yupo sahihi anatetea mali ya tanganyikaESCROW
Hana points sasa ni ushabiki tu ... Tamaa zake wasaliti hatuwataki.Sio tabu kwa hili hapa yupo sahihi anatetea mali ya tanganyika
Kwaiyo wewe unavo tetea dp world tukuelewaje sisi wa tanganyika
ESCROW alizingua