Mbona Anna Tibaijuka ana hasira hivi kila wakati kuhusu uwekezaji wa DP World?

Mbona Anna Tibaijuka ana hasira hivi kila wakati kuhusu uwekezaji wa DP World?

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Hatulii, hakika kuna maslahi yake yaliyoguswa.....haki ya Mungu tena!
IMG-20230829-WA0029.jpg
 
Nalazimika kuamini. Kuna kitu kinamtesa huyu mama zaidi; hiy0 ni 'nitoke vp yake' tu.
Mimi nilikuwa namfuatilia na alianza kuponda kwa kusema dubai ni mshindani wetu kweny transhipment kama mnakumbjka ndio point ya kwanza kabla hata hajachambua mkataba ,.
 
Mimi nilikuwa namfuatilia na alianza kuponda kwa kusema dubai ni mshindani wetu kweny transhipment kama mnakumbjka ndio point ya kwanza kabla hata hajachambua mkataba ,.
yupo sawa analinda mali za tanganyika hata kama analinda masila yake bandari ni mali ya tanganyika
Mkataba ni mbovu dunia nzima
 
Professor hatani na hao vibwengo Bibi zenu, huyo akili ni nyingi sana, alishasema sitaki niwe kwenye record mbaya kwa wajukuu zangu wa nchi hii, tunza record, hilo bibi lenu lipeni muda tu ni matope
Dr Janabi: Haters wa mama Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati.
 
Kwann humuongelei Dk Tulia Ackson?? Huyu Tulia Ackson ndiye mwenye hasira sana na wanaopinga DPW..
 
Sio tabu kwa hili hapa yupo sahihi anatetea mali ya tanganyika
Kwaiyo wewe unavo tetea dp world tukuelewaje sisi wa tanganyika
ESCROW alizingua
Hana points sasa ni ushabiki tu ... Tamaa zake wasaliti hatuwataki.
 
Hela ya madafu na mboga mboga ikiisha lazima kelele ipaeee🤣🤣
 
Back
Top Bottom