LUKAMA
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,117
- 1,343
Toa point wewe sasa sisi wengine tunamuelewa sanaHana points sasa ni ushabiki tu ... Tamaa zake wasaliti hatuwataki.
Japo huko nyuma alizingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa point wewe sasa sisi wengine tunamuelewa sanaHana points sasa ni ushabiki tu ... Tamaa zake wasaliti hatuwataki.
Hana msimamo kama unamfuatilia ,zile pesa za utapeli Escrow zishaisha apambane na hali yake.Toa point wewe sasa sisi wengine tunamuelewa sana
Japo huko nyuma alizingua
Wenye akili wote tuna hasiraHatulii, hakika kuna maslahi yake yaliyoguswa.....haki ya Mungu tena!
View attachment 2732824
Learn to respect elders young man.. usianzishe mada kwa lengo la kutoa nafasi Prof. Tibajuka kutukanwa au kukashifiwa kwa msimamo wake..kumbuka ipo siku utahitaji sana kutambuliwa UTU na hadhi yako hutaipata hata kutoka kwa watoto wako mwenyewe! Usiwe km hukufunzwa adabu kote ulikopita!Hatulii, hakika kuna maslahi yake yaliyoguswa.....haki ya Mungu tena!
View attachment 2732824
Escrow sawa watanzania tunajua kweli alituoiga ila chini ya Jk na ccm wakamwachia sisi watanganyika hatuna lakumfanya kwetu amebakia Mungu tu wakumuhukumuHana msimamo kama unamfuatilia ,zile pesa za utapeli Escrow zishaisha apambane na hali yake.
Mwenye akili hajisemi na pengine hata hajijui. Ukiona jamaa linajisifu akili ujue ni 'dunduka' hilo yaani hakuna kitu!Wenye akili wote tuna hasira