Unaacha kuonesha mpira unaonesha matamthilia... kwahiyo matamthilia ni ruksa msibani?Wako msibani wamepoteza waajira saba kwa mpigo kwenye ajali
Mmh ok ok sawa nimekuelewa... Lakini kwa kupoteza team kubwa kama ile sidhani kama hao walioko kazini wanaweza kuendelea na kaziKwani ni msiba wa tz nzima? Si msiba wao? Sisi misibabyetu huwa wanalia? Si hawatutambui kabisa? Sikatai, ajali inasikitisha lkn huo sio msiba wa tz nzima,namaanisha sio kila mtu ni mfuwa hapa.
Tamthilia ni CD tu zileUnaacha kuonesha mpira unaonesha matamthilia... kwahiyo matamthilia ni ruksa msibani?
Kwahiyo tatizo ni kuonesha live match au kuonesha vitu visivyoendana na maombolezo? Wanaweza kuonesha ngono ili mradi ni CD?Tamthilia ni CD tu zile
Mchaga unapenda ngono wewe duuu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]Kwahiyo tatizo ni kuonesha live match au kuonesha vitu visivyoendana na maombolezo? Wanaweza kuonesha ngono ili mradi ni CD?
Hahahaha acha ujinga we mbwange...Mchaga unapenda ngono wewe duuu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Unaweza kufafanua vizuri mkuu?
Mara nyingi mtu anayehudumia jamii huwa na lengo la kutoa huduma bora pasipo kubagua jinsia, dini wala kabila, sasa inapokuja mtoa huduma anazuia product isifike kwa mtumiaji labda anakaa kimya au anatoa kisingizio chochote kisicho na istihali unategemea nini?.Unasema?
Kupitia Rwanda Tv unaona AFCON kwenye king'amuzi cha dstv hapa hapa TanzaniaKupitia uzi huu nimegundua wanaopondaga Azam Tv wakizuga wanamiliki Dstv kumbe wengi wetu tunadowea Afcon ya bure kutoka Utv yaani Kitonga.
Wabongo mnabidi mfahamu hili, Televisheni za Taifa kama Rwanda Tv, Uganda Tv na KBC huwa wanarusha michuano hii bure lakini kwa masharti matangazo hayo yasiwe nje ya nchi zao. Ndio maana Azam Tv anazipiga pin wakati wa mechi zisionekane huku Tanzania. Kama ambavyo Utv hii ya Azam Tv ambayo tunaangalia Afcon hapa Tanzania haipatikani kwa nje ya Tanzania mpaka hapo michuano itakapoisha.
Poleni Azam Tv kwa msiba ila next time inabidi muwe na plan B kwani kwa kitendo cha leo kimewapunguzia credibility kubwa sana.
Huvi mshana wewe ni kabila gani? Vp umri wako? Kama awajakulewa na hapo watakuwa na matatizo kichwani.Tamthilia ni CD tu zile
Hii kitu imenishangaza kidogo ile ni Pay Tv suala lolote ambalo sio technical halipaswi kumkosesha huduma mteja.Wanamiliki channeli zaidi ya moja wangeweza kuchagua moja na kuomboleza ndugu zetu.
Wenye azam mtujuze utv ni FTA au pay tv? Mbona kwenye visimbuzi vingine haionekani?UTv ni bure kama TBC
Kupitia kisimbuzi gani?Mbona Congo tv wanaonyesha Tena mechi zote, Mimi naangalia Congo tv Bila matatizo
AiseeAZAM TV semeni neno watu wapone. Robo fainali zinaanza leo. Poleni na msiba maisha yanatakiwa kuendelea.
Na kama kuna tatizo jingine msitumie msiba kama kisingizio.
Mbona channels nyingine mmeziacha?
Vumbi la CongoKupitia kisimbuzi gani?
Ina maana haujui kilichotokea kwa wanahabari wao 5.Wanaheshimu uhai wa mtu hata akifariki akiwa nao bado wanaendelea kutoa heshima zote kwao.Hongera Tido hongera Azam kwa kutambua hilo na poleni sana.Mlipofiwa wao waliendelea bila kujali na ni kazi yao vijana walikuwa wanakwenda kufanya.Ndivyo walivyo wala hatuwezi kuwazoe, tutawaambia tu ili wajue kuwa,Mwenzako akinyolewa,endelea kulowanisha za kwako.Matangazo yao yalikuwa yanaeleza kwamba wataonyesha mechi zote. Leo hawaonyeshi Mali na Ivory Coast, tatizo nini?
Cha kushangaza wamezifunga KBC/UBC ambazo zinaonyesha.